Ilikuwa ijumaa usiku saa nne kasolo nje ya kidogo ya jiji
la Dar es Salaam, mtaa wa M'buyuni Kibamba Ccm, ndani ya nyumba moja kubwa sana
iliyozungushiwa ukuta mkubwa(fensi) na nyumba nyingine ndogo tatu za vyumba
viwili na sebule za kupangisha, na moja iliyokuwa na chumba kimoja tu! licha
kujengwa kwa ajili ya mlinzi lakini nacho kilipangishwa.
Binti mmoja
mrembo sana mwenye miaka 28 anayeitwa Suzana, mtaani vijana humuita Suzana
Mahips kutokana na jinsi mwili wake ulivyo, maana amejaliwa umbo namba nane
likipambwa na mapaja manene na makalio makubwa sana, ilifikia kipindi vijana
wakolofi huwa wanapiga miluzi hasa wakimuona anapita mtaani akitembea kwa
miguu, kitendo kilichosababisha awe anashindwa kushuka ndani ya gali lake aina
ya totota lav 4 hata anaponunua kitu kama gazeti au mboga za majani, nyama
kwenye mabucha, samaki, huwa ana agiza akiwa ndani ya gari, bahati nzuri kwake
wadau wenye kuuza vitu hivyo pale mtahani walikuwa wanamjua na walikuwa
wanafahamu usumbufu aliokuwa anaupata.
Usiku huu
Suzana Mahips alikuwa amejilaza kitandani mtupu kama alivyozaliwa na kufanya
umbo lake lionekane wazi kabisa, mle chumbani pia alikuwepo mzee Mashaka, ni
mzee wa makamo wa miaka 59, alikuwa anamalizia kufunga mkanda wa suruali yake,
"Baby ina maana ndiyo basi hatufanyi tena?" aliuliza Suzana kwa sauti
ya unyonge sana akionesha kuhitaji kitu fulani, "Nimechelewa sana halafu
nimechoka sana, usijali kesho utaenjoy" alisema mzee Mashaka huku
akiichukua simu yake na funguo za gari mezani na kuanza kutoka nje, "Kila
siku unasema hivyo hivyo ukija unanichezea tu! halafu unaniacha na hamu zangu,
sijui unazani nani atanikata kiu zaidi yako" alijisemea kimoyo moyo Suzana
huku anajiinua na kuichukua nguo yake nyepesi inayoangaza ya kulalia nakuivaa
bila nguo nyingine yoyote ndani na kufanya mwili wake uonekane vyema hasa
mahips na makalio yake manene na makubwa, "Ila husijali mpenzi hata leo
nimeenjoy sana mpaka kiuno kinaniuma" aliongea Suzana akimliwaza mzee Mashaka
asijione zaifu, lakini moyoni alimlaumu kwa tabia yake ya kumuacha njiani kila
siku, tokea wamekutana na kuanza kufanya mapenzi bila kumfikisha kwenye kilele
cha utamu wenyewe, "Hahahaha sasa ungenikuta enzi zangu ungekimbia bila
vitatu nilikuwa sibanduki" aliongea mzee Mashaka akionesha uso wa tabasamu
la ushindi, waliagana na mzee Mashaka akangia kwenye gali lake aina ya nisan
safari na kuondoka zake huku Suzana mpenzi wake ambae umri wake ni sawa na
binti yake wapili Sophia akimfungulia geti nayeye akapita na na kutokomea zake,
Suzana alifunga geti huku akiwa ana mawazo mengi sana juu ya penzi lake na huyu
mzee Mashaka, baba wa rafiki yake Sophia, ambae ni penzi linalomtesa sana ni
mwaka watatu sasa toka akutane na kuanza kuwa wapenzi na mzee Mashaka lakini
hakuwai kuenjoy penzi la mzee huyu tena mbaya zaidi mzee Mashaka ndie mpenzi
wake wa kwanza na ndie alieuchukua usichana wake na kumuingilia kwa mala ya
kwanza, aliwaza sana Suzana akiwa amesimama pale kwenye gate ambalo hakuweka
mlinzi maana kulikuwa na wapangaji familia tatu pia kuna kijana mmoja ambae
alijulishwa kuwa ni mwanafunzi wa chuo anahitaji kupanga chumba kimoja, licha
ya kuruhusu kijana huyo aingie kwenye chumba hicho lakini ni wiki sasa ilikuwa
inakaribia kuisha bila kukutana na mpangaji huyu na kupeana mkataba na kupewa
pesa yake ya miezi mitatu, hii ni kutokana na shughuri zake za kila siku.
Kabla ya
kuajiliwa na Bank ya Wananchi kama mhasibu msaidizi wa tawi la Ubungo, Suzana
alikuwa anasoma chuo cha usimamizi wa fedha akiwa ametokea mkoani Iringa kwenye
familia ya kawaida ya watoto watatu, wawili wakiwa ni wanaume ambao ni kaka
zake, baba na mama yake waliwalea kwa misingi ya maadili mema kitendo
kilichosababisha mpaka mwaka wa pili katikati akiwa chuo bado Suzana alikuwa
hajawai kuruhusu dudu ya mwanaume yoyote kuingia kwenye kitumbua chake.
Sasa akiwa
chuo ndipo alipo kutana na Sophia Mashaka, huyo alikuwa mtoto wapili wa mzee
Mashaka kati ya watoto watano, akitanguliwa na kaka yake Atony wenyewe
walimuita Tony, pale chuo Suzana aliwapa wakati mgumu sana vijana wakiume
kutokana na uzuri wake wa mwili na sura pia tabia yake ya upole na utulivu
uliwavutia wengi sana, vijana kwa wazee wa mjini walihangaika sana wakipanda
dau kwa ahadi nyingi sana, huku wengine wakitangaza ndoa na kutanguliza offer
mbalimbali lakini zote ziligonga mwamba hadi siku ambayo Tony alipomuona dada
yake Sophia akiwa na Suzana alipokuwa amemtembelea pale chuo, "Sophy
unaonaje ukiniunganishia huyo demu?" Tony alimpigia simu dada yake baada
ya kurudi nyumbani, maana dada yake alikuwa anakaa hoster chumba kimoja na
Suzan, "Mh! ni mgumu huyu, halafu mshamba fulani hivi, sijui kama
utaweza" alijibu Sophia lakini Tony akajipa moyo, "Hakuna
kitachoshindikana wewe mlete home kisha nitajua lakufanya" "Poa,
Jumamosi nakuja naye".
Kweli ikawa
hivyo, Jumamosi Sophia na Suzana walienda nyumbani kwa kina Sophia, licha ya
kumkuta Tony lakini hakuweza kuongea chochote na binti huyu mrembo, ni baada ya
kumkuta baba yao mzee Mashaka akiwa amejaa tele nyumbani, ni mzee mwenye tabia
ya kupenda sana mabinti wadogo, hilo likawa tatizo kwa Tony, angekuwepo mama
yao peke yake isingekuwa tatizo na mbaya zaidi mzee Mashaka alikuwa nao bega
kwa bega pale sebuleni, hata muda wa kuondoka ulipowadia aliwachukuwa kwenye
gari na kuwapeleka kwanza madukani na kuwafanyia shoping ya nguvu kabla ya
kuwapeleka kwenye hotel moja kubwa kwa ajili ya chakula cha jioni, Suzana
hakuwa ametilia mashaka juu ya offer hiyo ya mzee Mashaka, baba yake Sophia,
hasa ukizingatia ni baba wa rafiki yake, siku hiyo ilipita salama, mzee Mashaka
akawarudisha wakina Suzana hoster akiahidi kuwapitia week end ijayo, lakini
haikuwa hivyo, mzee Mashaka akacheza mchezo wa akili mingi, kwanza akaanzia
nyumbani, akaongea kirefu na mkewe akijifanya kuwa hazielewi tabia za watoto wake,
hasa hawa wakubwa Tony na Sophia hivyo amuite Sophia ili akae nao wote kwa
pamoja aongee nao juu ya mwenendo wao, kweli mama alimpigia simu mwanae Sophia
na kumwambia aje halaka peke yake kwani ana mazungumzo muhimu.
Saa tano
asubuhi mzee Mashaka alisimamisha gari kwenye hoster, akijifanya kumuulizia
mwanae Sophia, akaambiwa ametoka ila yupo rafiki yake, akaomba aitiwe huyo
rafiki yake ambaye ni Suzana, Suzana alipofika akamsalimia mzee Mashaka kisha
akaambiwa kuwa akajiandae ili waende mjini wakachukue baadhi ya mahitaji ya
Sophia maana yeye mwenyewe ana kikao na mama yake, Suzana pasipo kujua kuwa
Mzee Mashaka ana lake jambo akaenda kujiandaa halaka na kuondoka na mzee
Mashaka, kwanza kabisa walianza kwenye maduka ya nguo na viatu vya kike, pia
kwenye maduka ya urembo, kitu kilichoanza kumshangaza Suzana ni kwamba,
manunuzi yote yaliyofanywa yalimuhusu yeye na siyo Sophia kama alivyoambiwa,
hatimaye saa saba mchana walikuwa wameingia kwenye hotel moja kubwa ya ghalama,
wanayoingia watu wenye uwezo mkubwa kifedha, na kwa kisingizio cha busara na
heshima ya kutopenda kuonekana na watu sehemu kama ile, mzee Mashaka akashauri
wachukue chumba chenye chumba na sebule(suit) ili wakae wakipata chakula cha
mchana, akiwa mwenye wasiwasi Suzana alikubali lakini moyoni mwake akipanga
namna ya kuepuka mtege wowote ambao ungetegwa na baba Sophia, waliingia ndani
ya chumba kizuri ambacho kina kila kitu ambapo ungeweza kukaa humo hata wiki
nzima pasipo kutoka nje, wakaletewa vinywaji vyao wakati wakisubiri chakula,
mzee Mashaka aliagiza wine na Suzana aliagiza soda, walikunywa huku mzee
Mashaka akijitahidi kuongea kwa ucheshi uliosababisha Suzana aondokewe na
wasiwasi na kumuamini mzee huyu kwamba hakuwa na nia mbaya.
Saa moja
baadae walikuwa wameshamaliza kula na walishazoeana sana, hata Suzana hakuwa na
wasiwasi tena, hapo ndipo mzee Mashaka akaanza kumshawishi Suzana kuchanganya
soda na wine nyekundu, licha kuhofia kidogo lakini alipoijaribu ili mpendeza
Suzana, akaanza kunywa bila kujua kuwa itamsababishia vitu vingine, ilichukua
dakika 45 kumlegeza Suzana huku mzee Mashaka aki……
Ilikuwa ijumaa usiku saa nne kasolo nje ya kidogo ya jiji
la Dar es Salaam, mtaa wa M'buyuni Kibamba Ccm, ndani ya nyumba moja kubwa sana
iliyozungushiwa ukuta mkubwa(fensi) na nyumba nyingine ndogo tatu za vyumba
viwili na sebule za kupangisha, na moja iliyokuwa na chumba kimoja tu! licha
kujengwa kwa ajili ya mlinzi lakini nacho kilipangishwa.
Binti mmoja
mrembo sana mwenye miaka 28 anayeitwa Suzana, mtaani vijana humuita Suzana
Mahips kutokana na jinsi mwili wake ulivyo, maana amejaliwa umbo namba nane
likipambwa na mapaja manene na makalio makubwa sana, ilifikia kipindi vijana
wakolofi huwa wanapiga miluzi hasa wakimuona anapita mtaani akitembea kwa miguu,
kitendo kilichosababisha awe anashindwa kushuka ndani ya gali lake aina ya
totota lav 4 hata anaponunua kitu kama gazeti au mboga za majani, nyama kwenye
mabucha, samaki, huwa ana agiza akiwa ndani ya gari, bahati nzuri kwake wadau
wenye kuuza vitu hivyo pale mtahani walikuwa wanamjua na walikuwa wanafahamu
usumbufu aliokuwa anaupata.
Usiku huu
Suzana Mahips alikuwa amejilaza kitandani mtupu kama alivyozaliwa na kufanya
umbo lake lionekane wazi kabisa, mle chumbani pia alikuwepo mzee Mashaka, ni
mzee wa makamo wa miaka 59, alikuwa anamalizia kufunga mkanda wa suruali yake,
"Baby ina maana ndiyo basi hatufanyi tena?" aliuliza Suzana kwa sauti
ya unyonge sana akionesha kuhitaji kitu fulani, "Nimechelewa sana halafu
nimechoka sana, usijali kesho utaenjoy" alisema mzee Mashaka huku
akiichukua simu yake na funguo za gari mezani na kuanza kutoka nje, "Kila
siku unasema hivyo hivyo ukija unanichezea tu! halafu unaniacha na hamu zangu,
sijui unazani nani atanikata kiu zaidi yako" alijisemea kimoyo moyo Suzana
huku anajiinua na kuichukua nguo yake nyepesi inayoangaza ya kulalia nakuivaa
bila nguo nyingine yoyote ndani na kufanya mwili wake uonekane vyema hasa
mahips na makalio yake manene na makubwa, "Ila husijali mpenzi hata leo
nimeenjoy sana mpaka kiuno kinaniuma" aliongea Suzana akimliwaza mzee
Mashaka asijione zaifu, lakini moyoni alimlaumu kwa tabia yake ya kumuacha
njiani kila siku, tokea wamekutana na kuanza kufanya mapenzi bila kumfikisha
kwenye kilele cha utamu wenyewe, "Hahahaha sasa ungenikuta enzi zangu ungekimbia
bila vitatu nilikuwa sibanduki" aliongea mzee Mashaka akionesha uso wa
tabasamu la ushindi, waliagana na mzee Mashaka akangia kwenye gali lake aina ya
nisan safari na kuondoka zake huku Suzana mpenzi wake ambae umri wake ni sawa
na binti yake wapili Sophia akimfungulia geti nayeye akapita na na kutokomea
zake, Suzana alifunga geti huku akiwa ana mawazo mengi sana juu ya penzi lake
na huyu mzee Mashaka, baba wa rafiki yake Sophia, ambae ni penzi linalomtesa
sana ni mwaka watatu sasa toka akutane na kuanza kuwa wapenzi na mzee Mashaka
lakini hakuwai kuenjoy penzi la mzee huyu tena mbaya zaidi mzee Mashaka ndie
mpenzi wake wa kwanza na ndie alieuchukua usichana wake na kumuingilia kwa mala
ya kwanza, aliwaza sana Suzana akiwa amesimama pale kwenye gate ambalo hakuweka
mlinzi maana kulikuwa na wapangaji familia tatu pia kuna kijana mmoja ambae
alijulishwa kuwa ni mwanafunzi wa chuo anahitaji kupanga chumba kimoja, licha
ya kuruhusu kijana huyo aingie kwenye chumba hicho lakini ni wiki sasa ilikuwa
inakaribia kuisha bila kukutana na mpangaji huyu na kupeana mkataba na kupewa
pesa yake ya miezi mitatu, hii ni kutokana na shughuri zake za kila siku.
Kabla ya
kuajiliwa na Bank ya Wananchi kama mhasibu msaidizi wa tawi la Ubungo, Suzana
alikuwa anasoma chuo cha usimamizi wa fedha akiwa ametokea mkoani Iringa kwenye
familia ya kawaida ya watoto watatu, wawili wakiwa ni wanaume ambao ni kaka
zake, baba na mama yake waliwalea kwa misingi ya maadili mema kitendo
kilichosababisha mpaka mwaka wa pili katikati akiwa chuo bado Suzana alikuwa
hajawai kuruhusu dudu ya mwanaume yoyote kuingia kwenye kitumbua chake.
Sasa akiwa
chuo ndipo alipo kutana na Sophia Mashaka, huyo alikuwa mtoto wapili wa mzee
Mashaka kati ya watoto watano, akitanguliwa na kaka yake Atony wenyewe walimuita
Tony, pale chuo Suzana aliwapa wakati mgumu sana vijana wakiume kutokana na
uzuri wake wa mwili na sura pia tabia yake ya upole na utulivu uliwavutia wengi
sana, vijana kwa wazee wa mjini walihangaika sana wakipanda dau kwa ahadi
nyingi sana, huku wengine wakitangaza ndoa na kutanguliza offer mbalimbali
lakini zote ziligonga mwamba hadi siku ambayo Tony alipomuona dada yake Sophia
akiwa na Suzana alipokuwa amemtembelea pale chuo, "Sophy unaonaje
ukiniunganishia huyo demu?" Tony alimpigia simu dada yake baada ya kurudi
nyumbani, maana dada yake alikuwa anakaa hoster chumba kimoja na Suzan,
"Mh! ni mgumu huyu, halafu mshamba fulani hivi, sijui kama utaweza"
alijibu Sophia lakini Tony akajipa moyo, "Hakuna kitachoshindikana wewe
mlete home kisha nitajua lakufanya" "Poa, Jumamosi nakuja naye".
Kweli ikawa
hivyo, Jumamosi Sophia na Suzana walienda nyumbani kwa kina Sophia, licha ya
kumkuta Tony lakini hakuweza kuongea chochote na binti huyu mrembo, ni baada ya
kumkuta baba yao mzee Mashaka akiwa amejaa tele nyumbani, ni mzee mwenye tabia
ya kupenda sana mabinti wadogo, hilo likawa tatizo kwa Tony, angekuwepo mama
yao peke yake isingekuwa tatizo na mbaya zaidi mzee Mashaka alikuwa nao bega
kwa bega pale sebuleni, hata muda wa kuondoka ulipowadia aliwachukuwa kwenye
gari na kuwapeleka kwanza madukani na kuwafanyia shoping ya nguvu kabla ya
kuwapeleka kwenye hotel moja kubwa kwa ajili ya chakula cha jioni, Suzana
hakuwa ametilia mashaka juu ya offer hiyo ya mzee Mashaka, baba yake Sophia,
hasa ukizingatia ni baba wa rafiki yake, siku hiyo ilipita salama, mzee Mashaka
akawarudisha wakina Suzana hoster akiahidi kuwapitia week end ijayo, lakini
haikuwa hivyo, mzee Mashaka akacheza mchezo wa akili mingi, kwanza akaanzia
nyumbani, akaongea kirefu na mkewe akijifanya kuwa hazielewi tabia za watoto
wake, hasa hawa wakubwa Tony na Sophia hivyo amuite Sophia ili akae nao wote
kwa pamoja aongee nao juu ya mwenendo wao, kweli mama alimpigia simu mwanae
Sophia na kumwambia aje halaka peke yake kwani ana mazungumzo muhimu.
Saa tano
asubuhi mzee Mashaka alisimamisha gari kwenye hoster, akijifanya kumuulizia
mwanae Sophia, akaambiwa ametoka ila yupo rafiki yake, akaomba aitiwe huyo
rafiki yake ambaye ni Suzana, Suzana alipofika akamsalimia mzee Mashaka kisha
akaambiwa kuwa akajiandae ili waende mjini wakachukue baadhi ya mahitaji ya
Sophia maana yeye mwenyewe ana kikao na mama yake, Suzana pasipo kujua kuwa
Mzee Mashaka ana lake jambo akaenda kujiandaa halaka na kuondoka na mzee
Mashaka, kwanza kabisa walianza kwenye maduka ya nguo na viatu vya kike, pia
kwenye maduka ya urembo, kitu kilichoanza kumshangaza Suzana ni kwamba,
manunuzi yote yaliyofanywa yalimuhusu yeye na siyo Sophia kama alivyoambiwa,
hatimaye saa saba mchana walikuwa wameingia kwenye hotel moja kubwa ya ghalama,
wanayoingia watu wenye uwezo mkubwa kifedha, na kwa kisingizio cha busara na
heshima ya kutopenda kuonekana na watu sehemu kama ile, mzee Mashaka akashauri
wachukue chumba chenye chumba na sebule(suit) ili wakae wakipata chakula cha
mchana, akiwa mwenye wasiwasi Suzana alikubali lakini moyoni mwake akipanga
namna ya kuepuka mtege wowote ambao ungetegwa na baba Sophia, waliingia ndani
ya chumba kizuri ambacho kina kila kitu ambapo ungeweza kukaa humo hata wiki
nzima pasipo kutoka nje, wakaletewa vinywaji vyao wakati wakisubiri chakula,
mzee Mashaka aliagiza wine na Suzana aliagiza soda, walikunywa huku mzee
Mashaka akijitahidi kuongea kwa ucheshi uliosababisha Suzana aondokewe na
wasiwasi na kumuamini mzee huyu kwamba hakuwa na nia mbaya.
Saa moja
baadae walikuwa wameshamaliza kula na walishazoeana sana, hata Suzana hakuwa na
wasiwasi tena, hapo ndipo mzee Mashaka akaanza kumshawishi Suzana kuchanganya
soda na wine nyekundu, licha kuhofia kidogo lakini alipoijaribu ili mpendeza
Suzana, akaanza kunywa bila kujua kuwa itamsababishia vitu vingine, ilichukua
dakika 45 kumlegeza Suzana huku mzee Mashaka aki……
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji