Mvulana wa Chuo (Riwaya) - Utamu



Ilikuwa ijumaa usiku saa nne kasolo nje ya kidogo ya jiji la Dar es Salaam, mtaa wa M'buyuni Kibamba Ccm, ndani ya nyumba moja kubwa sana iliyozungushiwa ukuta mkubwa(fensi) na nyumba nyingine ndogo tatu za vyumba viwili na sebule za kupangisha, na moja iliyokuwa na chumba kimoja tu! licha kujengwa kwa ajili ya mlinzi lakini nacho kilipangishwa.
Binti mmoja mrembo sana mwenye miaka 28 anayeitwa Suzana, mtaani vijana humuita Suzana Mahips kutokana na jinsi mwili wake ulivyo, maana amejaliwa umbo namba nane likipambwa na mapaja manene na makalio makubwa sana, ilifikia kipindi vijana wakolofi huwa wanapiga miluzi hasa wakimuona anapita mtaani akitembea kwa miguu, kitendo kilichosababisha awe anashindwa kushuka ndani ya gali lake aina ya totota lav 4 hata anaponunua kitu kama gazeti au mboga za majani, nyama kwenye mabucha, samaki, huwa ana agiza akiwa ndani ya gari, bahati nzuri kwake wadau wenye kuuza vitu hivyo pale mtahani walikuwa wanamjua na walikuwa wanafahamu usumbufu aliokuwa anaupata.
Usiku huu Suzana Mahips alikuwa amejilaza kitandani mtupu kama alivyozaliwa na kufanya umbo lake lionekane wazi kabisa, mle chumbani pia alikuwepo mzee Mashaka, ni mzee wa makamo wa miaka 59, alikuwa anamalizia kufunga mkanda wa suruali yake, "Baby ina maana ndiyo basi hatufanyi tena?" aliuliza Suzana kwa sauti ya unyonge sana akionesha kuhitaji kitu fulani, "Nimechelewa sana halafu nimechoka sana, usijali kesho utaenjoy" alisema mzee Mashaka huku akiichukua simu yake na funguo za gari mezani na kuanza kutoka nje, "Kila siku unasema hivyo hivyo ukija unanichezea tu! halafu unaniacha na hamu zangu, sijui unazani nani atanikata kiu zaidi yako" alijisemea kimoyo moyo Suzana huku anajiinua na kuichukua nguo yake nyepesi inayoangaza ya kulalia nakuivaa bila nguo nyingine yoyote ndani na kufanya mwili wake uonekane vyema hasa mahips na makalio yake manene na makubwa, "Ila husijali mpenzi hata leo nimeenjoy sana mpaka kiuno kinaniuma" aliongea Suzana akimliwaza mzee Mashaka asijione zaifu, lakini moyoni alimlaumu kwa tabia yake ya kumuacha njiani kila siku, tokea wamekutana na kuanza kufanya mapenzi bila kumfikisha kwenye kilele cha utamu wenyewe, "Hahahaha sasa ungenikuta enzi zangu ungekimbia bila vitatu nilikuwa sibanduki" aliongea mzee Mashaka akionesha uso wa tabasamu la ushindi, waliagana na mzee Mashaka akangia kwenye gali lake aina ya nisan safari na kuondoka zake huku Suzana mpenzi wake ambae umri wake ni sawa na binti yake wapili Sophia akimfungulia geti nayeye akapita na na kutokomea zake, Suzana alifunga geti huku akiwa ana mawazo mengi sana juu ya penzi lake na huyu mzee Mashaka, baba wa rafiki yake Sophia, ambae ni penzi linalomtesa sana ni mwaka watatu sasa toka akutane na kuanza kuwa wapenzi na mzee Mashaka lakini hakuwai kuenjoy penzi la mzee huyu tena mbaya zaidi mzee Mashaka ndie mpenzi wake wa kwanza na ndie alieuchukua usichana wake na kumuingilia kwa mala ya kwanza, aliwaza sana Suzana akiwa amesimama pale kwenye gate ambalo hakuweka mlinzi maana kulikuwa na wapangaji familia tatu pia kuna kijana mmoja ambae alijulishwa kuwa ni mwanafunzi wa chuo anahitaji kupanga chumba kimoja, licha ya kuruhusu kijana huyo aingie kwenye chumba hicho lakini ni wiki sasa ilikuwa inakaribia kuisha bila kukutana na mpangaji huyu na kupeana mkataba na kupewa pesa yake ya miezi mitatu, hii ni kutokana na shughuri zake za kila siku.
Kabla ya kuajiliwa na Bank ya Wananchi kama mhasibu msaidizi wa tawi la Ubungo, Suzana alikuwa anasoma chuo cha usimamizi wa fedha akiwa ametokea mkoani Iringa kwenye familia ya kawaida ya watoto watatu, wawili wakiwa ni wanaume ambao ni kaka zake, baba na mama yake waliwalea kwa misingi ya maadili mema kitendo kilichosababisha mpaka mwaka wa pili katikati akiwa chuo bado Suzana alikuwa hajawai kuruhusu dudu ya mwanaume yoyote kuingia kwenye kitumbua chake.
Sasa akiwa chuo ndipo alipo kutana na Sophia Mashaka, huyo alikuwa mtoto wapili wa mzee Mashaka kati ya watoto watano, akitanguliwa na kaka yake Atony wenyewe walimuita Tony, pale chuo Suzana aliwapa wakati mgumu sana vijana wakiume kutokana na uzuri wake wa mwili na sura pia tabia yake ya upole na utulivu uliwavutia wengi sana, vijana kwa wazee wa mjini walihangaika sana wakipanda dau kwa ahadi nyingi sana, huku wengine wakitangaza ndoa na kutanguliza offer mbalimbali lakini zote ziligonga mwamba hadi siku ambayo Tony alipomuona dada yake Sophia akiwa na Suzana alipokuwa amemtembelea pale chuo, "Sophy unaonaje ukiniunganishia huyo demu?" Tony alimpigia simu dada yake baada ya kurudi nyumbani, maana dada yake alikuwa anakaa hoster chumba kimoja na Suzan, "Mh! ni mgumu huyu, halafu mshamba fulani hivi, sijui kama utaweza" alijibu Sophia lakini Tony akajipa moyo, "Hakuna kitachoshindikana wewe mlete home kisha nitajua lakufanya" "Poa, Jumamosi nakuja naye".
Kweli ikawa hivyo, Jumamosi Sophia na Suzana walienda nyumbani kwa kina Sophia, licha ya kumkuta Tony lakini hakuweza kuongea chochote na binti huyu mrembo, ni baada ya kumkuta baba yao mzee Mashaka akiwa amejaa tele nyumbani, ni mzee mwenye tabia ya kupenda sana mabinti wadogo, hilo likawa tatizo kwa Tony, angekuwepo mama yao peke yake isingekuwa tatizo na mbaya zaidi mzee Mashaka alikuwa nao bega kwa bega pale sebuleni, hata muda wa kuondoka ulipowadia aliwachukuwa kwenye gari na kuwapeleka kwanza madukani na kuwafanyia shoping ya nguvu kabla ya kuwapeleka kwenye hotel moja kubwa kwa ajili ya chakula cha jioni, Suzana hakuwa ametilia mashaka juu ya offer hiyo ya mzee Mashaka, baba yake Sophia, hasa ukizingatia ni baba wa rafiki yake, siku hiyo ilipita salama, mzee Mashaka akawarudisha wakina Suzana hoster akiahidi kuwapitia week end ijayo, lakini haikuwa hivyo, mzee Mashaka akacheza mchezo wa akili mingi, kwanza akaanzia nyumbani, akaongea kirefu na mkewe akijifanya kuwa hazielewi tabia za watoto wake, hasa hawa wakubwa Tony na Sophia hivyo amuite Sophia ili akae nao wote kwa pamoja aongee nao juu ya mwenendo wao, kweli mama alimpigia simu mwanae Sophia na kumwambia aje halaka peke yake kwani ana mazungumzo muhimu.
Saa tano asubuhi mzee Mashaka alisimamisha gari kwenye hoster, akijifanya kumuulizia mwanae Sophia, akaambiwa ametoka ila yupo rafiki yake, akaomba aitiwe huyo rafiki yake ambaye ni Suzana, Suzana alipofika akamsalimia mzee Mashaka kisha akaambiwa kuwa akajiandae ili waende mjini wakachukue baadhi ya mahitaji ya Sophia maana yeye mwenyewe ana kikao na mama yake, Suzana pasipo kujua kuwa Mzee Mashaka ana lake jambo akaenda kujiandaa halaka na kuondoka na mzee Mashaka, kwanza kabisa walianza kwenye maduka ya nguo na viatu vya kike, pia kwenye maduka ya urembo, kitu kilichoanza kumshangaza Suzana ni kwamba, manunuzi yote yaliyofanywa yalimuhusu yeye na siyo Sophia kama alivyoambiwa, hatimaye saa saba mchana walikuwa wameingia kwenye hotel moja kubwa ya ghalama, wanayoingia watu wenye uwezo mkubwa kifedha, na kwa kisingizio cha busara na heshima ya kutopenda kuonekana na watu sehemu kama ile, mzee Mashaka akashauri wachukue chumba chenye chumba na sebule(suit) ili wakae wakipata chakula cha mchana, akiwa mwenye wasiwasi Suzana alikubali lakini moyoni mwake akipanga namna ya kuepuka mtege wowote ambao ungetegwa na baba Sophia, waliingia ndani ya chumba kizuri ambacho kina kila kitu ambapo ungeweza kukaa humo hata wiki nzima pasipo kutoka nje, wakaletewa vinywaji vyao wakati wakisubiri chakula, mzee Mashaka aliagiza wine na Suzana aliagiza soda, walikunywa huku mzee Mashaka akijitahidi kuongea kwa ucheshi uliosababisha Suzana aondokewe na wasiwasi na kumuamini mzee huyu kwamba hakuwa na nia mbaya.
Saa moja baadae walikuwa wameshamaliza kula na walishazoeana sana, hata Suzana hakuwa na wasiwasi tena, hapo ndipo mzee Mashaka akaanza kumshawishi Suzana kuchanganya soda na wine nyekundu, licha kuhofia kidogo lakini alipoijaribu ili mpendeza Suzana, akaanza kunywa bila kujua kuwa itamsababishia vitu vingine, ilichukua dakika 45 kumlegeza Suzana huku mzee Mashaka aki……
Ilikuwa ijumaa usiku saa nne kasolo nje ya kidogo ya jiji la Dar es Salaam, mtaa wa M'buyuni Kibamba Ccm, ndani ya nyumba moja kubwa sana iliyozungushiwa ukuta mkubwa(fensi) na nyumba nyingine ndogo tatu za vyumba viwili na sebule za kupangisha, na moja iliyokuwa na chumba kimoja tu! licha kujengwa kwa ajili ya mlinzi lakini nacho kilipangishwa.
Binti mmoja mrembo sana mwenye miaka 28 anayeitwa Suzana, mtaani vijana humuita Suzana Mahips kutokana na jinsi mwili wake ulivyo, maana amejaliwa umbo namba nane likipambwa na mapaja manene na makalio makubwa sana, ilifikia kipindi vijana wakolofi huwa wanapiga miluzi hasa wakimuona anapita mtaani akitembea kwa miguu, kitendo kilichosababisha awe anashindwa kushuka ndani ya gali lake aina ya totota lav 4 hata anaponunua kitu kama gazeti au mboga za majani, nyama kwenye mabucha, samaki, huwa ana agiza akiwa ndani ya gari, bahati nzuri kwake wadau wenye kuuza vitu hivyo pale mtahani walikuwa wanamjua na walikuwa wanafahamu usumbufu aliokuwa anaupata.
Usiku huu Suzana Mahips alikuwa amejilaza kitandani mtupu kama alivyozaliwa na kufanya umbo lake lionekane wazi kabisa, mle chumbani pia alikuwepo mzee Mashaka, ni mzee wa makamo wa miaka 59, alikuwa anamalizia kufunga mkanda wa suruali yake, "Baby ina maana ndiyo basi hatufanyi tena?" aliuliza Suzana kwa sauti ya unyonge sana akionesha kuhitaji kitu fulani, "Nimechelewa sana halafu nimechoka sana, usijali kesho utaenjoy" alisema mzee Mashaka huku akiichukua simu yake na funguo za gari mezani na kuanza kutoka nje, "Kila siku unasema hivyo hivyo ukija unanichezea tu! halafu unaniacha na hamu zangu, sijui unazani nani atanikata kiu zaidi yako" alijisemea kimoyo moyo Suzana huku anajiinua na kuichukua nguo yake nyepesi inayoangaza ya kulalia nakuivaa bila nguo nyingine yoyote ndani na kufanya mwili wake uonekane vyema hasa mahips na makalio yake manene na makubwa, "Ila husijali mpenzi hata leo nimeenjoy sana mpaka kiuno kinaniuma" aliongea Suzana akimliwaza mzee Mashaka asijione zaifu, lakini moyoni alimlaumu kwa tabia yake ya kumuacha njiani kila siku, tokea wamekutana na kuanza kufanya mapenzi bila kumfikisha kwenye kilele cha utamu wenyewe, "Hahahaha sasa ungenikuta enzi zangu ungekimbia bila vitatu nilikuwa sibanduki" aliongea mzee Mashaka akionesha uso wa tabasamu la ushindi, waliagana na mzee Mashaka akangia kwenye gali lake aina ya nisan safari na kuondoka zake huku Suzana mpenzi wake ambae umri wake ni sawa na binti yake wapili Sophia akimfungulia geti nayeye akapita na na kutokomea zake, Suzana alifunga geti huku akiwa ana mawazo mengi sana juu ya penzi lake na huyu mzee Mashaka, baba wa rafiki yake Sophia, ambae ni penzi linalomtesa sana ni mwaka watatu sasa toka akutane na kuanza kuwa wapenzi na mzee Mashaka lakini hakuwai kuenjoy penzi la mzee huyu tena mbaya zaidi mzee Mashaka ndie mpenzi wake wa kwanza na ndie alieuchukua usichana wake na kumuingilia kwa mala ya kwanza, aliwaza sana Suzana akiwa amesimama pale kwenye gate ambalo hakuweka mlinzi maana kulikuwa na wapangaji familia tatu pia kuna kijana mmoja ambae alijulishwa kuwa ni mwanafunzi wa chuo anahitaji kupanga chumba kimoja, licha ya kuruhusu kijana huyo aingie kwenye chumba hicho lakini ni wiki sasa ilikuwa inakaribia kuisha bila kukutana na mpangaji huyu na kupeana mkataba na kupewa pesa yake ya miezi mitatu, hii ni kutokana na shughuri zake za kila siku.
Kabla ya kuajiliwa na Bank ya Wananchi kama mhasibu msaidizi wa tawi la Ubungo, Suzana alikuwa anasoma chuo cha usimamizi wa fedha akiwa ametokea mkoani Iringa kwenye familia ya kawaida ya watoto watatu, wawili wakiwa ni wanaume ambao ni kaka zake, baba na mama yake waliwalea kwa misingi ya maadili mema kitendo kilichosababisha mpaka mwaka wa pili katikati akiwa chuo bado Suzana alikuwa hajawai kuruhusu dudu ya mwanaume yoyote kuingia kwenye kitumbua chake.
Sasa akiwa chuo ndipo alipo kutana na Sophia Mashaka, huyo alikuwa mtoto wapili wa mzee Mashaka kati ya watoto watano, akitanguliwa na kaka yake Atony wenyewe walimuita Tony, pale chuo Suzana aliwapa wakati mgumu sana vijana wakiume kutokana na uzuri wake wa mwili na sura pia tabia yake ya upole na utulivu uliwavutia wengi sana, vijana kwa wazee wa mjini walihangaika sana wakipanda dau kwa ahadi nyingi sana, huku wengine wakitangaza ndoa na kutanguliza offer mbalimbali lakini zote ziligonga mwamba hadi siku ambayo Tony alipomuona dada yake Sophia akiwa na Suzana alipokuwa amemtembelea pale chuo, "Sophy unaonaje ukiniunganishia huyo demu?" Tony alimpigia simu dada yake baada ya kurudi nyumbani, maana dada yake alikuwa anakaa hoster chumba kimoja na Suzan, "Mh! ni mgumu huyu, halafu mshamba fulani hivi, sijui kama utaweza" alijibu Sophia lakini Tony akajipa moyo, "Hakuna kitachoshindikana wewe mlete home kisha nitajua lakufanya" "Poa, Jumamosi nakuja naye".
Kweli ikawa hivyo, Jumamosi Sophia na Suzana walienda nyumbani kwa kina Sophia, licha ya kumkuta Tony lakini hakuweza kuongea chochote na binti huyu mrembo, ni baada ya kumkuta baba yao mzee Mashaka akiwa amejaa tele nyumbani, ni mzee mwenye tabia ya kupenda sana mabinti wadogo, hilo likawa tatizo kwa Tony, angekuwepo mama yao peke yake isingekuwa tatizo na mbaya zaidi mzee Mashaka alikuwa nao bega kwa bega pale sebuleni, hata muda wa kuondoka ulipowadia aliwachukuwa kwenye gari na kuwapeleka kwanza madukani na kuwafanyia shoping ya nguvu kabla ya kuwapeleka kwenye hotel moja kubwa kwa ajili ya chakula cha jioni, Suzana hakuwa ametilia mashaka juu ya offer hiyo ya mzee Mashaka, baba yake Sophia, hasa ukizingatia ni baba wa rafiki yake, siku hiyo ilipita salama, mzee Mashaka akawarudisha wakina Suzana hoster akiahidi kuwapitia week end ijayo, lakini haikuwa hivyo, mzee Mashaka akacheza mchezo wa akili mingi, kwanza akaanzia nyumbani, akaongea kirefu na mkewe akijifanya kuwa hazielewi tabia za watoto wake, hasa hawa wakubwa Tony na Sophia hivyo amuite Sophia ili akae nao wote kwa pamoja aongee nao juu ya mwenendo wao, kweli mama alimpigia simu mwanae Sophia na kumwambia aje halaka peke yake kwani ana mazungumzo muhimu.
Saa tano asubuhi mzee Mashaka alisimamisha gari kwenye hoster, akijifanya kumuulizia mwanae Sophia, akaambiwa ametoka ila yupo rafiki yake, akaomba aitiwe huyo rafiki yake ambaye ni Suzana, Suzana alipofika akamsalimia mzee Mashaka kisha akaambiwa kuwa akajiandae ili waende mjini wakachukue baadhi ya mahitaji ya Sophia maana yeye mwenyewe ana kikao na mama yake, Suzana pasipo kujua kuwa Mzee Mashaka ana lake jambo akaenda kujiandaa halaka na kuondoka na mzee Mashaka, kwanza kabisa walianza kwenye maduka ya nguo na viatu vya kike, pia kwenye maduka ya urembo, kitu kilichoanza kumshangaza Suzana ni kwamba, manunuzi yote yaliyofanywa yalimuhusu yeye na siyo Sophia kama alivyoambiwa, hatimaye saa saba mchana walikuwa wameingia kwenye hotel moja kubwa ya ghalama, wanayoingia watu wenye uwezo mkubwa kifedha, na kwa kisingizio cha busara na heshima ya kutopenda kuonekana na watu sehemu kama ile, mzee Mashaka akashauri wachukue chumba chenye chumba na sebule(suit) ili wakae wakipata chakula cha mchana, akiwa mwenye wasiwasi Suzana alikubali lakini moyoni mwake akipanga namna ya kuepuka mtege wowote ambao ungetegwa na baba Sophia, waliingia ndani ya chumba kizuri ambacho kina kila kitu ambapo ungeweza kukaa humo hata wiki nzima pasipo kutoka nje, wakaletewa vinywaji vyao wakati wakisubiri chakula, mzee Mashaka aliagiza wine na Suzana aliagiza soda, walikunywa huku mzee Mashaka akijitahidi kuongea kwa ucheshi uliosababisha Suzana aondokewe na wasiwasi na kumuamini mzee huyu kwamba hakuwa na nia mbaya.
Saa moja baadae walikuwa wameshamaliza kula na walishazoeana sana, hata Suzana hakuwa na wasiwasi tena, hapo ndipo mzee Mashaka akaanza kumshawishi Suzana kuchanganya soda na wine nyekundu, licha kuhofia kidogo lakini alipoijaribu ili mpendeza Suzana, akaanza kunywa bila kujua kuwa itamsababishia vitu vingine, ilichukua dakika 45 kumlegeza Suzana huku mzee Mashaka aki……
 Whatsapp +255 758 018 597
Email - emanmic@yahoo.com

Post a Comment

0 Comments