“Nilikwenda,
lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja.”
“Ndani
ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba
tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba
itapatikana vipi?”
“Mimi
sijui Masofa.”
“Mh!
Haya, kwa sababu tumeambiwa na mtu tunayemwamini tuangalie, labda kweli daktari
yule atatusaidia. Hakusema uende na mimi?”
“Hakusema
Masofa, ila alisema kama naweza kesho na keshokutwa niende usiku saa moja ili
anipime vizuri.”
“Alikupa
dawa?”
“Dawa
atanipa kesho.”
Masofa
alichukua simu akampigia rafiki yake Miraji…
“Ee
bwana Miraji, yule dokta uliyemsema kasema ‘waifu’ aende kesho saa moja usiku,
wewe si unamwamini?”
“Yule
hana neno, aende tu. Bwana Masofa we hukumbuki jinsi mimi na shemeji yako
tulivyohangaika kutafita mtoto?”
“Nakumbuka.”
“Sasa
kama si huyo daktari wa wanawake unadhani tungepata mtoto?”
“Oke,
nimekuelewa bwana Miraji.”
“Sawa
Masofa.”
Masofa
alikata simu, akaendelea kukaa chumbani. Akili yake ilikuwa nzito sana
kumruhusu mkewe arudi hospitali kesho yake, tena usiku wa saa moja…
“Sasa
huyo daktari wa watoto ni kwa nini anataka mke wangu arudi usiku? Ni tiba gani
hiyo ya usiku wa saa moja?”
***
Siku
ya pili iliingia, saa moja jioni Sulee alikuwa kwa daktari wa wanawake anaitwa
Dokta Kisarawe.
Dokta
Kisarawe alikuwa amekaa ndani ya chumba cha utabibu kwenye zahanati yake huku
akimwangalia Sulee kwa macho yenye huruma…
“Kwa
hiyo tatizo kubwa ni mtoto tu anti yangu?”
“Ni
mtoto tu.”
“Miraji
unamjua?”
“Ndiyo,
ni rafiki wa mume wangu Masofa kwani vipi dokta, mbona umemtaja huyo?”
“Ah!
Nimeangalia kwenye maelezo yako, nikagundua kuwa mnatoka eneo moja kwa maana ya
ubalozi…,” Dokta Kisarawe alijibu huku akimuangalia Sulee kwa macho ya kumkagua
f’lani hivi.
“Ooh…!,
maana nilishangaa ni kwa nini umuulize huyo na umejuaje kama ninafahamiana
naye…,” Sulee alihoji huku akiyakimbiza macho yake pembeni baada ya kukutanisha
na ya Dokta Kisarawe.
“Hata
mkewe alikuwa na tatizo kama la kwako, lakini aliponea kupitia mikono hiihii…”
“Kweli
dokta…?”
“Kweli
nakuambia, niamini mimi.”
“Mm!,
sawa lakini nimesumbuka sana kwani naumia kukosa mtoto jamani…,” alisema Sulee
safari hii akionesha sura ya upole zaidi, hali iliyomfanya Dokta Kisarawe
amkazie macho zaidi.
“Kwani
mmehangaika kwa muda mrefu sana anti…?”
“Yaani
wee acha tu dokta, ikishindikana na hapa itabidi niridhike tu kuwa sikupangiwa
kuzaa kabisa…”
“Ndoa
yenu ina muda gani sasa…?,” Dokta Kisarawe alizidi kumdadisi Sulee huku muda
nao ukizidi kuyoyoma na tayari saa iliyokuwa ukutani ilisomeka saa mbili na
dakika nne.
“Miaka
mitatu sasa dokta…”
“Mm..!”
“Mbona
unaguna dokta jamani, au huamini?”
“Hapana
anti, naguna kwa kushangaa mwanamke mzuri kama wewe hujapata mtoto…!,” alijibu
Dokta Kisarawe huku akimkazia macho Sulee hasa maeneo ya kifuani na mapajani
kutokana na sketi aliyokuwa amevaa kupanda hadi kuvuka juu ya magoti.
“Kwani
mimi mzuri ja..ma..ni…?,” aliuliza Sulee lakini safari hii kwa sauti
iliyokatakata.
“Dah!
Wewe ni mzuri sana anti, nashangaa hadi sasa hujapata mwanaume wa kukupa
mimba…!”
Hapo
Sulee hakusema neno zaidi ya kuendelea kumtumbulia macho Dokta Kisarawe
aliyekuwa bize na kumungalia.
Alipoona
Sulee yuko kimya, Dokta Kisarawe akazidi kumsifia huku akimhakikishia ni lazima
atapata mimba.
“Yaani
mwanamke umeumbika haswa, ona maeneo kama haya ya kifuani jamani…,” Dokta
Kisarawe aliendelea kumchombeza Sulee huku sasa akionesha kwa vitendo na
kuyagusa maeneo ya kifuani ya mwanamke huyo mrembo wa sura na umbo achilia
mbali rangi yake ya chokoleti.
“Kwe…kwe…lii
dokta jamani…?,” Sulee aliuliza kama kweli anaweza kuzaa lakini kwa sauti ya
mkwamo kutokana na mkono wa dokta kugusa maeneo nyeti ya kifuani.
“Duh!
yaani anti na nido nzuri kama hizi halafu huzai…!”
“Mm!,”
Sulee aliishia kuguna huku akijikunja kiaina kwani safari hii vidole vya dokta
viligusa kisawasawa nido zake kutokana na blauzi nyepesi aliyoivaa mwanamke
huyo.
“Hujapata
tu mwanaume rijali…”
“Kwanini
unasema hivyo dokta jamani…,” Sulee aliuliza katika hali ya kutojiweza, huku
macho yake yakianza kubadilika rangi na kuwa mekundu kiasi.
“Mimi
ni daktari si kwa matokeo ya mtihani bali kwa kukidhi vigezo, ina maana nina
uwezo wa kujua tatizo la mgonjwa hata kwa saikolojia tu, yaani wewe unahitaji
mwanaume rijali tu, kweli tena nakuambia,” Dokta Kisarawe alizidi kutoa
maelekezo kwa vitendo zaidi na safari hii mikono yake ikiparaza juu ya mapaja
ya Sulee.
“Aah!
Sasa huyo mwanaume rijali nitampata wapi jamani mbona haya ni majaribu sana
dokta…?”
“Kha!
Mbona wapo wengi sana, huko mitaani au hata mimi…”
“Mimi
wa mitaani naogopa, mume wangu ni mkorofi sana…”
“Basi
mimi…,” Dokta Kisarawe alipasua ukweli wake huku mikono yake ikiwa na kazi ya
kumpapasa na kumbinya kimtindo Sulee, kuanzia maeneo ya kifuani, mapajani hadi
mgongoni na kumalizia kwenye kiuno kipana na cha mviringo cha mwanamke huyo.
Kutokana
na joto la mikono ya dokta, Sulee alikuwa akipeleka upinzani hafifu na kuruhusu
mikono hiyo izidi kutalii kadri iwezavyo na kumuacha akilalamika kimahaba huku
akitamka maneno ya kukolea penzi.
“Aaah,
jamani dokta lakini mimi siumwi huukooo…,”
Whatsapp/Call - +255 758 018 597 utatumiwa muda huu
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji