Fundi Cherehani (Riwaya) - Utamu



Ilikua jumapili mida ya mchana na mvua inanyesha sana katika jiji hilo kubwa la Dar Es Salaam mitaa ya mikocheni, fundi Rahimu alikua maarufu sana katika eneo hilo kwa uwezo wake wa kushona mitindo mbalimbali hasa ya kina mama.
Wakina mama walikua wanampenda sana na hata muda mwingine wanamletea zawadi mbalimbali, isitoshe hata wana mitindo mbalimbali wakike alikua anawasaidia kudesign mitindo ya kisasa au watakayo muelekeza kwani alikua ni mtaalamu anaelekewa kwa mdomo anatoa mshono kama vile ndiye aliyedesign.
Alikua ni mtu wa watu fundi Rahimu na alikua anaongea na kila rika kwa heshima yake, hali hii ilimfanya akawa maarufu sana na watu walitoka sehemu mbalimbali na mitaa mbalimbali kama kariakoo, mbezi, kigamboni na sehemu nyingi wakimfuata kwa utaalamu wake.
Fundi rahimu ni kijana mdogo mwenye umri mdogo pia kwani anayoyafanya na umri wake havifanani kabisa, anayo miaka 23 kwani utaalamu alio nao alianza kujifunza toka akiwa namiaka 7 akiwa anaishi na babu yake mzee chikoya kabla hajaaga dunia miaka miwili iliyopita. Rahimu alivyomaliza darasa la Saba kutokana na hali ya nyumbani kuwa ngumu nayeye alikua ameshaanza kushona hadi nguo za watu wazima alivyomaliza darasa la saba akiwa na umri wa miaka 13, hivyo aliamua kuacha kujiunga na shule ya sekondari Makongo na kuamua kufanya kazi hiyo ya kushona maana alikua ameshaanza kukubalika na baadhi ya wateja wake.
Mama Amina ni mama jirani na chumba cha Rahimu, anatabia ya kwenda kupiga story na Rahimu pale kijiweni pake, na pia anayotabia ya kwenda vilevile nyumbani ya kwa Rahimu kwani mara nyingi hawezi kukaa peke yake na mumewe ni muendeshaji magari makubwa ya mikoani kwahiyo akiondoka anarudi baada ya siku mbili tena ni usiku na hasubuhi alfajiri anaondoka tena.
Ilikua mida ya saa saba na nusu mchana, Jua siku hiyo lilikua kali sana na ghafla Rahim aliacha kushona na akajikuta akishangaa Gari aina ya RANGE ROVER SPORT nyeusi iliyopaki nje ya chumba chake cha kazi na ghafla akashuka dada mrembo mpaka Rahim akijikuta anaacha anachokifanya na kumshangaa, alikua amevaa blouse nyekundu, Skirt fupi mno iliyoacha sehemu kubwa ya mapaja yake meupe wazi, na alikua ana makalio makubwa anavyotembea
kama yanagongana, Rahim alijikuta akipata aibu macho yake yalivyogongana na dada huyo na hapo kujua kuwa kumbe dada huyo anakuja dukani kwake.
Rahimu alipatwa na uoga ila akajifanya kuwa yupo busy ghafla na aliendelea kushona kama mtu asiyejua kinachoendelea na punde dada huyo alibisha hodi kwenye chumba cha rahimu na Rahim kuacha kushona na kukmkaribisha kwa mbwembwe “karibu dada, karibu sana dada, karibu nikusaidie” Rahimu alijikuta amesimama mwenyewe akimsogezea mteja wake kiti, Dada huyo alikaa kwenye kiti na akauliza “samahani kaka, mimi kidogo si mwenyeji maeneo haya, kwani hapa ndo kwa Rahimu au unaweza nionyesha kwa Rahimu kama unapafahamu” Rahimu alicheka kidogo akamwambia “Dada, hapa unaongea na Rahimu mwenyewe” Yule dada alicheka na akajikuta akimshangaa Rahimu akisema “duh!! Wewe ndo Rahimu, mtaa mzima unajua sifa zako na unasifika sana mbezi nzima na hapa nimeelekezwa na dada yangu anayekaa Mbagala, kwakweli umri wako hauendani na sifa zako, hongera sana dogo” Rahimu alitabasamu na akamjibu kwa tabasamu “sio kila gari kubwa ni la mwendo kasi dada” walijikuta wote wakicheka kwa furaha.
Rahimu akamwambia “umekuja hapa kwakunijua jina ila namimi ni haki vilevile “dada Yule alitabasamu na kumwambia “naitwa Pink” Rahimu alilisifia jina hilo na kisha Pink akaanza kumwambia bila kupoteza muda dogo naomba nipime kisha uipunguze hii nguo yangu, Rahimu alifanya hivyo kama alivyoambiwa na Pink, alimwmabia Pink asogee karibu, kisha akampima mikono, na kidogo akaisifia mikono ya pink kwani ilikua inaonekana milaini mno kwa kumtania “kweli mtoto mlaini” Pink akacheka, akisema “jamani” alimaliza kuchukua vipimo vyote vya mikono na akaanza kuamia kwenye vipimo vya kiuno, alizungusha ile kamba ya kiuno kiononi mwa Pink wakabaki wanatazamana na Pink usoni ila pink wakati huu alikua kama analegea ila ndo macho yake yalivyo, baada ya hapo Rahim alimgeuza yeye akakaa nyuma yake, Rahimu alimaliza kuchukua vipimo vyote kisha akamwambia Pink kwamba atasubiri au atarudi kuchukua, ila Pink akamwambia hana uhakika ila lazima aondoke kwani amechka sana na ametokea mbali sana, ila kikubwa atachukua namba ili amjulishe kwa njia ya simu, Rahimu alikubali na akamwandikia namba kwenye kikaratasi na Pink akaondoka nazo huku Rahimu akamsindikiza kwa macho “ama kweli kuna binadamu wamejiumba, mtoto hana dosari? Duh” Rahimu alimsindikiza kwa macho mpaka alipoanza kupanda Gari.
Rahimu alijikuta katika mawazo makali akimfikiria dada Yule na hapo alianza kuona umuhimu wa kuoa kwani asingetamani vile.
Aliamua kufikiria kiasi kikubwa namna anayoweza kufanya ili ajisahaulishe na mawazo yale na ghafla akaja mama Sonia, Mama Sonia anapenda kutembea akiwa amevaa kanga mara nyingi ndo tabia yake toka zamani, Rahimu alimuona akija, akajisemea duh “huyu mama ananitia majaribuni jamani, hajui mimi bado mdogo, ona sasa anakuja na akija anatakaga nimpime kila sehemu na hapo yupo na kanga moja kama juzi” Mama Sonia alifika, mwanangu Rahim hujambo, duh haka kakochi kako sijui kwanini hakanitoshi, Rahimu alimjibu kwa kicheko kidogo, “si huo mzigo wako mkubwa” Mama Sonia akacheka akisema “jamani Rahimu kakochi kako ndo kadogo au mkundu wangu, haya bana, embu nipime mie, nataka unishonee kama ulivyomshonea Dada Rose, vilevile, kale kagauni alichochukua wiki iliyopita namimi nakataka kama kile kile ila maua usiyaweke ya rangi ile, niwekee ya rangi ya Njano na nyeupe, umeelewa nadhani maana najua wewe huongeagi bali unaskiliza na haukosei kama vile unaturekodi tukiongea”
Rahimu alicheka kidogo akamwita Mama Sonia karibu akaanza kumpima alimpima magenani, mikononi akaanmpima kiunoni, akampimpa kwenye makalio alafu akamcheka kidogo akisema “duu kweli umefungasha” mama Sonia na Rahimu wamezoeana sana wanapenda sa kutaniana ila leo utani ulizidi baada ya Rahimu kumsifia akayashika matako ya Mama Sonia kwa kuyaminya akamwambia alafu umevaa chupi tu kudadeki, Mama Sonia alitoa kamguno cha kukubali, Rahimu aliendelea kuyaminyaminya Mama Sonia akamwambia “Jamani Rahimu unayabinyia nini lakiniii!!
 WHatsapp +255 758 018 597  kupata full 
au 
Email - emanmic@yahoo.com

Post a Comment

0 Comments