Fanuel
Mgimbilo ndilo lilikuwa jina langu, wengi waliniita “Fan” ikiwa ni kifupi cha jina
langu. Kwa muda huo nilikuwa nimeshamaliza kidato cha sita. Na miaka yangu
ishirini na mbili ya kuishi duniani, sikuwahi hata siku moja kushuhudia pale
kati kwa mwanamke zaidi ya kuona kwenye picha za pilau. Kuna kipindi nilikuwa
nikijitahidi sana kusoma hadithi za chombezo mitandaoni lakini ziliishia
kunitesa na kusababisha mguu wangu wa tatu nilioupa jina la “mkono wa mtoto”
kutokana na umbo lake. Akili kichwani mwangu ilielewa kwamba wanawake wa kizazi
hiki wanahitaji mwanaume mwenye mguu wa tatu ulionona, wakidai ndio unaokuna
vyema na kuiita miguu mingine iliyokosa afya “Vibamia.”
Siku
moja nikiwa nyumbani, wazazi wangu walisafiri nje ya nchi. Nyumbani tukabaki
watatu, mlinzi getini, dada wa kazi pamoja na mimi. Sio kwamba sikuwahi
kumuwaza dada wa kazi kwenye kona ya kusuuza mguu wangu wa tatu. Tatizo alikuwa
mkali sana na nilipojaribu kutumia ubavu, nikajikuta naambulia kuona kufuri
lake tu, na alinionya nikirudia atawaeleza wazazi wangu. Sikutaka kumharibia
mtoto wa watu kibarua eti kwasababu ya mihemko yangu ya mwili. Nilitembelewa na
binamu zangu watatu, hawakunizidi umri sana lakini wote walikuwa wakubwa zangu.
Siku
hiyo nilipanga kusuuza rungu kwa mtindo wa tofauti sana, sikujali kwamba hao ni
binamu zangu. Mihemko ya mwili wangu niliijali zaidi.
“We
dogo, mbona hatukuelewi?” aliongea Josefina, ndiye aliyekuwa mkubwa kuliko wote
“Kama
maandishi hayasomeki, soma picha,” niliongea kwa kujilegeza kidogo kama
mwanamke, wote wakacheka. Salma na Zawadi wakaitana pembeni, hawakujua kama
nilikuwa nikiwasikia walichokwenda kujadili,
“Ina
maana Fan ni shoga?”
“Mwenzangu!
Kuna cha kuuliza hapo? Mwanaume gani kizazi hiki ajirembe vile usoni, wanja!
Lipustiki! Mekapu!”
“Inavyoonyesha
sio mara yake ya kwanza kujiremba,”
“kwanini?”
“Amejiremba
vizuri kama mwanamke,”
“Kha!
Siamini kwakweli!” walijadiliana hivyo kisha wakarejea sebuleni ambapo nilikuwa
naendelea kupiga stori na Josefina.
Siku
hiyo nilijiremba kama mwanamke, na kale kangozi kangu keusi mterezo, ‘mekapu’
ilikubali. Nikaenda chumbani kwa mama na kupekua nguo kisha nikavalia sketi na
blauzi, kusema kweli nilionekana kama mwanamke. Kuna muda nilitamani kujicheka
mwenyewe lakini mihemko ya mwili ilihitaji kutulizwa. Nikiwa nimekaa nao wote
sebuleni wakiwa bado hawaamini walichokiona, halmashauri ya kichwa changu
ilianza kutunga kisa kilichohuzunisha kisha taarifa zikatumwa mdomoni nikaanza
kuongea,
“Ninyi
ni ndugu zangu, nimeona niwaonyeshe uhalisia wangu pengine mnaweza kunisaidia.
Si wazazi wangu wala mtu yeyote aliyewahi kujua kuwa mimi ni shoga. Lakini
nikisoma maandiko yanakataza mambo hayo, na watu kama sisi tunapigwa vita kila
sehemu, nifanyeje ndugu zangu? Napenda kutoka na wanawake na kutumia muda
mwingi kuwa nao, lakini nashindwa kwasababu naona aibu kwa jinsi nilivyoumbwa.
Kama Mungu hapendi kuwepo na mashoga duniani kwanini aliruhusu tuwepo?
Nimewaambia lakini naomba iwe siri yenu.”
Niliishia
hapo huku machozi yakinitoka, wanawake nao machozi yao yalivyokuwa karibu,
wakajikuta wote wanalia na kunikumbatia kwa hisia. Moyoni nikajisemea “Nyie lieni
tu, lakini lazima mmoja wenu atemebelewe na mguu wangu wa tatu.”
Kweli
waliumia sana kusikia nikiongea vile, na nilivyolia ndio kabisa niliigusa mioyo
yao. Wakanifariji kwa maneno mazuri huku wakinichukulia kama mwanaume
nisiyekuwa na madhara, waswahili hutuita “Nyuki wa mashineni” kwavile nyuki hao
huwa hawang’ati. Salma ndiye aliyeguswa zaidi, alinibusu shingoni na kuendelea
kunikumbatia. Mwili mzima ulisisimka, hiyo kufuri niliyoivaa ilinibana hasa,
nilijiandaa kiasi kwamba hata kama mguu wa tatu utanyooka, hautaweza kuonekana
kirahisi.
Binamu
zangu hawa, wote walikuwa wazuri kusema kweli, ila wawili, Josefina na Salma
ndio niliwatamani sana kwasababu ya kuwa na chura laini inayotetema. Zawadi
alikuwa mrefu kuliko wote, mwembamba lakini kale kachura kauchokozi alijaaliwa.
Kosa walilolifanya ni kuanza kunichukulia kama mwanamke mwenzao. Ndio
nikagundua kilichowafanya waje hapo nyumbani, walihitaji kuwa huru kufanya
mambo yao. Pindi nilipokutana na dada wetu wa kazi(Anitha) aliniangalia kwa
huruma kisha akanikumbatia,
“Ni
kweli ulichosema?” aliniuliza huku machozi yakimtiririka
“Ndiyo,
ila naomba iwe siri Anitha, nakuomba sana,” niliigiza sura Fulani ya upole sana
“Mbona
siku ile ulijaribu kuni…” hakumalizia maneno ila nilimwelewa
“Haimaanishi
kuwa shoga basi mguu wa tatu haufanyi kazi, ila ndio hivyo sijui hata
nikuelezee vipi,”
“Sawa
nimekuelewa.” Anitha alionyesha kuniamini lakini sio moja kwa moja
Binamu
zangu hao walifika majira ya saa nne asubuhi, ilipofika saa nane wakaanza
kujiachia wakijua ndani ya nyumba nzima mwanaume ni mlinzi peke yake na yuko
huko getini. Watoto walivalia khanga ndani makufuri tu, yaani hata Zawadi
nilimdhania kuwa sitamtamani, alipojivika vazi hilo la khanga mawazo
yalibadilika. Sijui khanga ina nini Jamani, maana macho yangu yalikuwa makini
kuangalia chura zao zilizojibinua kiuchokozi. Wote walilala kwenye makochi huku
tukiendelea kupiga stori,
“Hivi
unajua Junia eti anataka kati,” Josefina alisema hivyo
“Ndio
umpe sasa! Unambania ili iweje?” Zawadi alijibu
“Nyie
gaweni tu hapo kati, wanaume siwaamini kabisa,” Salma aliwajibu hivyo kwa
upole, nikajua atakuwa ameumizwa na mapenzi
“Eti
Fan! Unanishaurije? Nimwambie Junia aje?”
“Mambo
anayajua? Au ndio kutiana shombo shoga yangu?”
“Yaani
Fan wewe?” Salma alichangia
“Ndio
hivyo, maana wengine wana vibamia,” wote tukacheka hapo sebuleni
“Mimi
nitajuaje sasa kama Junia ana kibamia?”
“Kha!
Na ukubwa wote huo shoga yangu hujui?”
“Ndio
unifundishe sasa?”
“Sasa
nisikilizeni wote kwa makini…” niliposema hivyo nikashangaa kweli wote watatu
wananiangalia kwa umakini, hapo ndipo nilipojua kuwa wanawake wakikaa wenyewe
bila kazi ya maana, huwa wanapenda kupiga stori za udambu udambu.
“Kitu
cha kwanza mwanaume mwenye mguu wa tatu mkubwa, huwa unaonekana kwa nje jinsi
ulivyojichora hata kama haujasimama. Na hata kama mguu huo ukiwa umejificha!
Ukiongea naye kimahaba, lazima utune kwenye suruali yake. Na wakati mwingine
unaweza kuugusa kabisa kijanja tu bila yeye kujua lengo lako. Mpo mashosti?”
Wote
walikuwa makini kunisikiliza kupita maelezo, walihamasika na kuanza kuuliza
maswali,
”Yaani
uiguse kabisa!” Josefina aliuliza
“Ndiyo!
Ni mautundu tu, yaani nyie mnaonekana hamjui vitu vingi,”
“Wee!
Kuna midude mingine haifai hata kushika, inaogopesha!” Zawadi aliongea hivyo
“Ukishaishika
ndio unajipimia sasa kama ni saizi yako au ni levo nyingine,”
****
“Samahani
Fan kwa hili swali nitakalokuuliza,” aliponiambia hivyo, Salma na Zawadi
walikuwa makini pia na sisi
“Wala
hamna shida niulize tu..” nilijibu utadhani mwari wa kizanzibari
“Kwahiyo
unakuwa unajihisi kabisa kuutumia mguu wa tatu au?”
“Mimi
sijawahi kufikiria, hisia zangu ziko kwenye nanihii tu..”
“Ina
maana mguu wako wa tatu hausimami au vipi?”
“Unasimama
lakini sijawahi kuutumia na sitaki kwasababu sijazaliwa kufanya hivyo, mimi
napenda tu kufanyiwa kama ulivyokuwa unafanyiwa,”
“Kwahiyo
hujawahi kupanga kuutumia?”
“Hapana,
sijui kwanza kama unafanya kazi,” niliposema hivyo wote walicheka. Salma
akaingilia kati na kusema,
“Kama
kitu kinasimama basi uwezo wa kushughulika unao,”
“Sasa ngoja tukuonyeshe” Zawadi alisema huku wote wakimsogelea nakuanza kum……” Je watamfanya nini toto ya watu? Whatsapp +255 758 018 597
Pakua KULAYA SIMULIZI APP
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji