Riwaya - Isha Tekenyeka 18+ Utamu



Katika jitihada zangu za kutafuta kazi baada ya kuhitimu chuo nilijikuta nikipata tabu sana bila mafanikio. Niliomba kazi sehemu nyingi tofauti lakini sikupata bahati ya ajira. Hapo ndipo nilipojikuta nashawishiwa kwenda kwa mganga fulani wa kienyeji na mmoja kati ya rafiki zangu wa karibu, aitwaye Aziza.

Shoga yangu huyo alimnadi mganga wake kuwa ndiye aliyefanya yeye akapata kazi nzuri katika kampuni fulani ya michezo ya kubahatisha. Alisema kuwa mambo yake mengi yalimnyookea kwa sababu ya yule mtaalamu. Alinisihi sana nikubali anipeleke. Hakupenda kuona shoga yake nikiwa sina kazi.

Hata hivyo haikuwa rahisi kunishawishi kwa kuwa sikuwa nimewahi hata kufikiria kwamba siku moja ningeenda kwa mganga wa kienyeji. Huwa siamini mambo hayo na pia mimi ni muoga wa mambo ya kishirikina. Lakini nikajikuta nimefika kwa mganga.

Mganga huyo alikuwa anaishi nje kidogo ya mji ambapo pia alikuwa anafanyia shughuli zake. Kwa muonekano wake nadhani ana miaka kama 40 na kidogo hivi. Tulipofika pale nikaeleza shida yangu ya hitaji la kazi baada ya salamu huku Aisha akinisaidia kujieleza maana ndiye aliyekuwa mwenyeji wangu.

"Sawa. Nimekuelewa binti. Tutajaribu kufanya vitu vyetu ili Mungu akusaidie upate kazi. Unaitwa nani?"

Akaniuliza huku akichukua karatasi moja nyeupe kutoka kwenye moja ya karatasi zilizokuwa pembeni yake. Alikuwa amekaa kwenye mkeka huku mimi nikiwa kwenye kigoda pembeni ya Aziza ambaye alikuwa amekalia kigoda kingine.

"Naitwa Aisha."

"Na jina la mama ni nani?"

Akauliza na jina la mama angu huku akianza kuandika vitu vyake kwenye karatasi nyeupe kwa kutumia wino mwekundu. Nikamtaji jina la mama. Akaendelea kuandika vitu alivyovijua mwenyewe. Alinyamaza kimya kwa dakika chache akiendelea kuandika.

"Sasa mwili wako inaonekana una nuksi. Inabidi uoge maji ya kuondoa nuksi na mikosi."

Yalikuwa maneno ya mganga yule aliyekuwa mrefu na mweusi. Alikuwa na sura ya kutisha kidogo. Nashindwa kutamka neno 'sura mbaya'. Akaniambia kuwa nirudi peke yangu usiku majira ya saa moja siku iliyofuata ili aniogeshe kuondoa mikosi kwenye mwili wangu kabla ya kufanya dawa zake kwa ajili ya mvuto wa kazi. Nikajibu "Sawa". Kisha tukamuaga na kutoa pesa kidogo kama malipo ya awali. Tukaondoka.

Lakini swala la kuogeshwa na mganga, tena kuogeshwa usiku, kwangu ulikuwa mtihani. Ilibidi nimuulize shoga yangu iwapo na yeye alifanyiwa hivyo. Niliishi labda pengine kuna kitu mganga alikuwa anataka kutoka kwangu maana kiukweli nimejaaliwa.

Nilidhani labda alivutiwa jinsi alivyoniona nawaka. Maana tulipokwenda nilikuwa nimevaa suruali nyeupe ya kubana na kuonesha mshepu wangu wa maana. Juu nilikuwa na blauzi fulani ya nakshi iliyoonesha kidogo sehemu matiti yangu makubwa ya kupendeza. Nikahisi labda alinitamani mganga yule. Aziza akasema na yeye aliogeshwa pia hivyo nisiwe na wasiwasi.

"Ina maana unavua nguo zote wakati wa kuogeshwa Aziza?"

Nikauliza zaidi.

"Unavaa kanga moja. Acha uoga na wewe Aisha. Kwani unaogopa nini?"

Aziza aliniambia huku anacheka kwa mbali. Mimi sikuwa na swali la ziada.

Kesho yake saa moja usiku nikawa kwa mganga nikiwa peke yangu kama nilivyoagizwa. Nilimkuta peke yake nyumbani kwake akiwa nje amekaa kwenye kigoda chake. Nahisi hakuwa anaishi na familia kwenye kile kinyumba chake cha vyumba viwili. Maana hata siku ya kwanza hatukukuta mtu mwingine.

Akanikaribisha ndani. Muda wa kuogeshwa ukafika.

"Inabidi utoe nguo zote na uvae kanga moja Aisha..."

Aliniambia na kisha akatoka nje na kuniacha pale ndani kwake ili nibadili nguo na kuvaa kanga. Nikavua gauni langu refu la rangi ya bluu nilililokuwa nimevaa na kisha nikavaa kanga niliyokuwa nimeibeba ndani ya pochi yangu. Ndani nilibaki na chupi tu.

Zoezi la kuogeshwa likaanza pale pale ndani kulipokuwa na mwanga hafifu wa kibatali. Nilidhani ningeogeshewa nje lakini haikuwa hivyo. Nahisi pengine ndio masharti ya dawa. Ila sikushangaa sana kwa kuwa nyumba yenyewe haikuwa hata na sakafu ya simenti.

Akaanza kunimwagia maji kichwani huku akiongea maneno yake ambayo sikuwa nayaelewa. Akanimwagia makopo kadhaa taratibu nikiwa nimetulia tu na kufumba macho. Nikahisi kama nimepapaswa kifuani kidogo. Nikastuka lakini nikanyamaza. Akaendelea kunimwagia maji. Kisha akasitisha.

"Toa na hiyo kanga basi. Maji inabidi yafike vizuri kila sehemu. Inaonekana mwili wako una mikosi na mabalaa. Ndio maana hupati kazi."

Maneno yake hayo yalinistua. Lakini ningefanyaje jamani na nilikuwa nahangaika kutafuta kazi? Ilibidi nimsikilize. Msione kama mimi napenda. Nikatoa kanga na kubaki na chupi. Akaanza kunimwagia maji kifuani huku akinisugua chuchu zangu taratibu. Mmmh kiukweli nilikuwa nasikia raha. Nilitulia tu.

Jamani! Akashuka mbaka kwenye kitovu.. jamaanii mgangaaa………….  A….a.. ONYO kwa 18+ wafike whatsapp na 1500 kupata full

+255 758 018 597

Full collection iliyokamilika zipo Saba ndani yake kwa 1500 tu il ani 18+

Pakua KULAYA SIMULIZIAPP PLAY STORE Boflya HAPA kupakua app


Post a Comment

0 Comments