Katika jitihada zangu za kutafuta kazi baada ya kuhitimu chuo nilijikuta
nikipata tabu sana bila mafanikio. Niliomba kazi sehemu nyingi tofauti lakini
sikupata bahati ya ajira. Hapo ndipo nilipojikuta nashawishiwa kwenda kwa
mganga fulani wa kienyeji na mmoja kati ya rafiki zangu wa karibu, aitwaye
Aziza.
Shoga yangu huyo alimnadi mganga wake kuwa ndiye
aliyefanya yeye akapata kazi nzuri katika kampuni fulani ya michezo ya
kubahatisha. Alisema kuwa mambo yake mengi yalimnyookea kwa sababu ya yule
mtaalamu. Alinisihi sana nikubali anipeleke. Hakupenda kuona shoga yake nikiwa
sina kazi.
Hata hivyo haikuwa rahisi kunishawishi kwa kuwa
sikuwa nimewahi hata kufikiria kwamba siku moja ningeenda kwa mganga wa
kienyeji. Huwa siamini mambo hayo na pia mimi ni muoga wa mambo ya kishirikina.
Lakini nikajikuta nimefika kwa mganga.
Mganga huyo alikuwa anaishi nje kidogo ya mji
ambapo pia alikuwa anafanyia shughuli zake. Kwa muonekano wake nadhani ana
miaka kama 40 na kidogo hivi. Tulipofika pale nikaeleza shida yangu ya hitaji
la kazi baada ya salamu huku Aisha akinisaidia kujieleza maana ndiye aliyekuwa
mwenyeji wangu.
"Sawa. Nimekuelewa binti. Tutajaribu
kufanya vitu vyetu ili Mungu akusaidie upate kazi. Unaitwa nani?"
Akaniuliza huku akichukua karatasi moja nyeupe
kutoka kwenye moja ya karatasi zilizokuwa pembeni yake. Alikuwa amekaa kwenye
mkeka huku mimi nikiwa kwenye kigoda pembeni ya Aziza ambaye alikuwa amekalia kigoda
kingine.
"Naitwa Aisha."
"Na jina la mama ni nani?"
Akauliza na jina la mama angu huku akianza
kuandika vitu vyake kwenye karatasi nyeupe kwa kutumia wino mwekundu. Nikamtaji
jina la mama. Akaendelea kuandika vitu alivyovijua mwenyewe. Alinyamaza kimya
kwa dakika chache akiendelea kuandika.
"Sasa mwili wako inaonekana una nuksi.
Inabidi uoge maji ya kuondoa nuksi na mikosi."
Yalikuwa maneno ya mganga yule aliyekuwa mrefu
na mweusi. Alikuwa na sura ya kutisha kidogo. Nashindwa kutamka neno 'sura mbaya'.
Akaniambia kuwa nirudi peke yangu usiku majira ya saa moja siku iliyofuata ili
aniogeshe kuondoa mikosi kwenye mwili wangu kabla ya kufanya dawa zake kwa
ajili ya mvuto wa kazi. Nikajibu "Sawa". Kisha tukamuaga na kutoa
pesa kidogo kama malipo ya awali. Tukaondoka.
Lakini swala la kuogeshwa na mganga, tena
kuogeshwa usiku, kwangu ulikuwa mtihani. Ilibidi nimuulize shoga yangu iwapo na
yeye alifanyiwa hivyo. Niliishi labda pengine kuna kitu mganga alikuwa anataka
kutoka kwangu maana kiukweli nimejaaliwa.
Nilidhani labda alivutiwa jinsi alivyoniona
nawaka. Maana tulipokwenda nilikuwa nimevaa suruali nyeupe ya kubana na
kuonesha mshepu wangu wa maana. Juu nilikuwa na blauzi fulani ya nakshi
iliyoonesha kidogo sehemu matiti yangu makubwa ya kupendeza. Nikahisi labda
alinitamani mganga yule. Aziza akasema na yeye aliogeshwa pia hivyo nisiwe na
wasiwasi.
"Ina maana unavua nguo zote wakati wa
kuogeshwa Aziza?"
Nikauliza zaidi.
"Unavaa kanga moja. Acha uoga na wewe
Aisha. Kwani unaogopa nini?"
Aziza aliniambia huku anacheka kwa mbali. Mimi
sikuwa na swali la ziada.
Kesho yake saa moja usiku nikawa kwa mganga
nikiwa peke yangu kama nilivyoagizwa. Nilimkuta peke yake nyumbani kwake akiwa
nje amekaa kwenye kigoda chake. Nahisi hakuwa anaishi na familia kwenye kile
kinyumba chake cha vyumba viwili. Maana hata siku ya kwanza hatukukuta mtu
mwingine.
Akanikaribisha ndani. Muda wa kuogeshwa ukafika.
"Inabidi utoe nguo zote na uvae kanga moja
Aisha..."
Aliniambia na kisha akatoka nje na kuniacha pale
ndani kwake ili nibadili nguo na kuvaa kanga. Nikavua gauni langu refu la rangi
ya bluu nilililokuwa nimevaa na kisha nikavaa kanga niliyokuwa nimeibeba ndani
ya pochi yangu. Ndani nilibaki na chupi tu.
Zoezi la kuogeshwa likaanza pale pale ndani
kulipokuwa na mwanga hafifu wa kibatali. Nilidhani ningeogeshewa nje lakini haikuwa
hivyo. Nahisi pengine ndio masharti ya dawa. Ila sikushangaa sana kwa kuwa
nyumba yenyewe haikuwa hata na sakafu ya simenti.
Akaanza kunimwagia maji kichwani huku akiongea
maneno yake ambayo sikuwa nayaelewa. Akanimwagia makopo kadhaa taratibu nikiwa
nimetulia tu na kufumba macho. Nikahisi kama nimepapaswa kifuani kidogo.
Nikastuka lakini nikanyamaza. Akaendelea kunimwagia maji. Kisha akasitisha.
"Toa na hiyo kanga basi. Maji inabidi
yafike vizuri kila sehemu. Inaonekana mwili wako una mikosi na mabalaa. Ndio
maana hupati kazi."
Maneno yake hayo yalinistua. Lakini ningefanyaje
jamani na nilikuwa nahangaika kutafuta kazi? Ilibidi nimsikilize. Msione kama
mimi napenda. Nikatoa kanga na kubaki na chupi. Akaanza kunimwagia maji kifuani
huku akinisugua chuchu zangu taratibu. Mmmh kiukweli nilikuwa nasikia raha.
Nilitulia tu.
Jamani! Akashuka mbaka kwenye kitovu.. jamaanii
mgangaaa…………. A….a.. ONYO kwa 18+ wafike
whatsapp na 1500 kupata full
+255 758 018 597
Full collection
iliyokamilika zipo Saba ndani yake kwa 1500 tu il ani 18+
Pakua KULAYA SIMULIZIAPP PLAY STORE Boflya HAPA kupakua app
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji