Leo tu Kaka (Riwaya - Utamu 18+)


 
“Ukifika pale piga namba hii, utakutana na dada mgeni wangu mmoja mlete hapa,” alisema Roi, mhudumu akaondoka na simu.
Baada ya dakika mbili, mhudumu aliongozana na Martha mpaka alipokaa Roi na marafiki zake. Kazi ikawa, Martha akae wapi sasa? Akae kwenye kiti cha jirani na kaka yake, Roi au?

“Karibu hapo,” alisema Roi akimtengea kiti Martha ili akae jirani na yeye.
Martha siku hiyo alivaa suruali ya jinsi iliyomkaa sawasawa kwa kumbana, alionekana ni mwanamke mwenye kujiamini sana. Ongea yake, tazama yake ilimfanya kila mmoja kati ya Roi mwenyewe, Pauli na Julio kujua kuwa, Martha ni mwanamke...
“Bro,” Martha alituma meseji palepale kwenda kwa Roi...
“Sema sweet sista.”
“Mimi nina majina mawili. La kwanza, Martha. La pili ni Liz. Lakini jina ambalo limezoeleka sana ni Liz. Kwa hiyo kuanzia leo nitapenda uniite Liz na achana na jina la Martha.”
Roi alipoisoma meseji hiyo aliona sawasawa tu. Atumie jina la Martha, atumie la Liz sawa, kwake majina yote yalikuwa ni mazuri...
“Poa sista, love u sana...”
“Love u too.”
Mazungumzo kati ya Roi na marafi zake yaliendelea huku Liz akiwa ametulia kimya pembeni kwenye kiti akiwasikiliza. Ilifika mahali, Roi akawaomba watulie ili atoe utambulisho...
“Jamani...jamani...” Roi alisema kwa maana ya kuomba utulivu...
“Sema kaka...”
“Huyu anaitwa Liz, ni dada yangu kipenzi,” alisema Roi huku akimshikashika begani dada yake huyo...
“Kumbe hapa Dar upo na dada yako? Sisi tulikuwa hatujui,” alisema Julio...
“Hata mimi nimeshangaa sana,” alidakia Pauli huku wote wakimkaribisha Liz tena na tena...
“Asanteni jamani, nashukuru sana.”
Baada ya utambulisho huo, mazungumzo ya wote yalikata, sasa ikawa wote wako na simu zao. Kila mmoja alituma meseji alikokujua yeye...
“Bro!” alituma Liz kwa Roi...
“Yes, niambie...”
“Upo oke?”
“Nipo sawa mama, wewe?”
“Hata mimi my bro. Nipo happy kuwa na wewe.”
“Wewe kama mimi.”
“Kumbe tuko sare!”
“Umeona ee?”
“Yes! Sijakuboa lakini?”
“Wala! Hujaniboa! Hivi sista wewe ni mwenyeji wa wapi?”
“Natokea Iringa bro.”
“Oke...oke...kamwene,” alitania Roi...
“Kamwene...”
“Mnogage?”
“Ndi mnofu...Teh! Teh! Teh! Sijakaa sana Iringa lakini nakijuajua bro...teh!”
Roi naye alimrudishia meseji kwa kicheko huku akimchombezea kwa maneno kama...
“Umependeza sana my darling sista...”
“Hata wewe sweetheart bro.”
Walikunywa, walikula, ikafika mahali Liz akaamua kuaga kwa Roi kwa njia ya meseji...
“Baby bro, mimi naondoka zangu.” instagram @kulayasimulizi
“Mh! Mara hii sista?”
“Usijali, siku nyingine tutakaa wote kwa muda mrefu sana.”
“Basi poa.”
Roi alisimama, Liz naye akasimama, akawaaga Pauli na Julio, Roi akamsindikiza hadi barabarani kwa ajili ya kupanda daladala.
Walisimama kando ya barabara, Roi akapeleka mdomo wake pembeni mwa shavu la Liz, akambusu...
“Mmmwaaa....”
“Thanx my bro, usiku mwema, tutachati,” alisema Liz...
“Poapoa.”
Roi alirudi kuungana na marafiki zake, Julio na Pauli...
“Ee bwana naona sista kama hajayazoea mazingira haya,” alisema Pauli...
“Ni kweli, amesema pana kelele sana.”
“Lakini jamani ni kweli. Mnajua kukaa hapa panataka moyo maana hakuna utulivu. Kama umetoka kazini na unataka kupumzika, si mahali pazuri sana.”
“Ni kweli kabisa,” alidakia Julio...
“Ni kweli,” alidakia Roi mwenyewe sasa.
***
Liz alipofika nyumbani kwake, alimtumia meseji Roi kwamba amefika...
“Bro, nimefika. Leo nimefurahi sana kukutana tena na wewe.”
“Hata mimi...”
“Oke, nataka kuoga kwanza halafu baadaye tutaendelea kaka yangu.”
“Usijali dada yangu Martha.”
“Bro! Nilikwambia tumia Liz na siyo Martha.”
“Ha! Nilisahau sista jamani! Oke dada Liz...”
Roi na wenzake waliendelea kunywa, wakanywa wee! Wakanywa mpaka kila mmoja akaanza kuonesha dalili kwamba amelewa...
“Jamani vipi? punde tunatimia?” Julio aliwasilisha hoja binafsi...
“Ni kweli,” alishadadia Pauli...
“Sawasawa,” alimalizia Roi.
***
Usiku wa saa tano, Roi alikuwa kitandani, alilala chali akiwa ndani ya bukta tu. Alikuwa ameingia kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuangalia nini kinaendelea. Mara meseji kwenye WhatsApp ikaingia...
“Baby...” ilitoka kwa Liz, Roi akashangaa kuona meseji ya Baby imeingia bila nyongeza. Alizoea baby bro, sweetheart bro na mengineyo...
“Darling,” na yeye alitingisha kiberiti, akatuma meseji hiyo bila kuongezea neno sista...
“Umeshatoka hapo?”
“Zamani sana sista, niko home.”
“Unafanyaje muda huu?”
“Nimejilaza kitandani tayari kwa kusinzia. Wewe je?”
“Hata mimi nimelala my bro...”
“Umelalaje hapo kitandani my sweetheart sista? Please niambie..

“Nimelala chali au niseme nimelala naangalia juu.”
“Umejifunika shuka?”
“Hapana my bro! Na joto lote hili? Wewe je?”
“Mimi nimelala naangalia chini, yaani tumbo limegusa godoro, tofauti na wewe mgongo ndiyo umegusa godoro.”
“Duu! Tumebadilishana, mimi naangalia juu wewe unaangalia chini...teh! teh!”
“Kumbe tumelala vizuri sana. ndiyo inavyotakiwa, mwanaume analala hivyo na mwanamke analala hivyo kama wewe.”
“Teh! Teh! Mi nalala bwana kaka, kesho.” “Kabla hujalala nataka nikuombe kitu kimoja sista...”
“Kipi hicho braza?”
“Kesho tukutane lakini iwe sehemu ya siri sana.”
“Sehemu ya siri kama ipi bro? Unanitisha.” “Kama hotelini.”
“Mh! Jamani kaka! Hotelini tena? Yaani chumbani au?”
“Yes!”
“Ah! Sasa itakuaje mtu na kaka yake chumbani? Inawezekana kweli?”
“Mimi naweza sana.”
“Mimi siwezi kaka.”
“Kwa nini huwezi dada?”
“We unajua ni vigumu. Unaweza kuzidiwa ukanibaka bure, sitaki.”
“Yaani sikia sista...tukiwa mle hatutakaa pamoja, wewe kona nyingine na mimi kona nyingine. Halafu kila mmoja atakuwa ndani ya mavazi...”
“Lakini kisa cha yote hayo ni nini?” aliuliza Liz...
“Sikia Martha...”
“Nilisema usiniite Martha, niite Liz.”
“Oke. Sikia Liz...hakuna kisa ila nimependa tu. Isitoshe mimi na wewe ni mtu na dada yake, siwezi kuwaka tamaa kama ambavyo najua na wewe hutaweza kuwaka tamaa.”
“Mh! Una maneno matamu sana bro! Haya sawa, lakini asitokee mtu akakiuka.”
“Hatutaweza sista bwana.”
“Sawa. Usiku mwema basi, kesho my kaka.”
“Lala salama my sista.”
Liz alipanda kitandani huku akiwa na maswali kibao kuhusu ombi la Roi kwamba kesho yake wakutanie chumbani hotelini...
“Hivi amekusudia nini? Au anataka kuonesha kwamba, hata tukiwa chumbani wawili hatuwezi kuzini kwa vile tumeshakuwa kaka na dada? Anyway, tutaona hiyo kesho,” aliwaza Liz na kupitiwa na usingizi.
Kwa Roi hali ilikuwa hiyohiyo, naye aliwaza...
“Lakini si naweza kabisa...naingia naye hotelini, chumbani lakini sifanyi naye chochote...mwenyewe atashangaa sana.”
***
Kulikucha, Liz ndiye aliyekuwa wa kwanza kumtumia meseji Roi...
“Morning my bro...”
Roi alifurahi sana kuamshwa na Liz, akamjibu...
“Morning my sista...umeamkaje?”
“Nimemka salama bro...wewe?”
“Hata mimi pia.”
“Oke, kumekucha.”
“Ni kweli sista...sasa vipi ile safari yetu?”
“Saa ngapi?” instagram @kulayasimulizi
“Nataka iwe mchana wa leo.”
“Utaniambia ni wapi!”
“Poa sista.”
“Lakini bro, ni kweli hutafanya lolote kwangu?”
“Ni kweli kabisa sista, wala usiwe na shaka.”
“Basi sawa.”
***
Ilikuwa saa saba mchana, Roi alimtumia meseji Liz ya kumshtua kwa ajili ya kumfuata alipo...
“My sweetheart sista...”
“Honey bro!”
“Sasa?” “Nakusikiliza wewe kaka’angu mpenzi.”
“Mimi nipo hapa Kisasa Hotel, Kinondoni. Njoo basi.”
“Duu! Bro uko shap sana! umeshatafuta na hoteli kumbe? Poa nakuja sasa hivi.”
Roi alikuwa ndani ya chumba cha hoteli hiyo. Mwili ulimtetemeka kila mara. Alianza kuhisi kwamba, kiapo chake kwa Liz si cha kweli...
“Hivi nitaweza kweli kukaa naye mpaka mwisho bila chokochoko?” alijiuliza.
Dakika kumi na tano mbele, Liz alimpigia simu kwamba amefika yuko nje...
“Njoo mpaka ndani sista, utaoneshwa chumba nilichopo. Ni namba hamsini.”
“Poa bro.” Mara mlango uligongwa, Roi akaruhusu mtu kuingia, Liz akazama ndani...
“Oohooo! Huyu mchokozi sasa,” alisema moyoni Roi baada ya kumwona Liz amevaa suruali ya matirio kama t-shirt, mbaya zaidi imembana vilivyo na juu kiblauzi chepesi mpaka unaona ramani ya kifua chote.
“Karibu sana sista,” alikaribisha Roi.
Liz aliweka kipochi chake kwenye meza kisha akakaa upande wa miguuni mwa kitanda na kuangalia ukutani wakati Roi alikaa eneo la kichwani naye akiangalia ukutani...
“Za hapa?” alisalimia Liz...
“Poa sista, za safari?”
“Njema tu. Ndiyo umeamua kweli kabisa kuchukua chumba kaka jamani?”
“Usijali sista, hili ni eneo salama sana kwetu.”
“Mh! Mfano akija mtu akauliza sisi ni akina nani tukasema ni mtu na kaka yake itakuaje? Ataamini kweli bro?”
“Nani kwanza atakuja sista?”
“Mfano yaani bro...”
“Hamna cha mfano sista, hakuna atakayekuja humu ndani.”
Walianza maongezi ya mbali kwa mbali, kila mmoja akiangalia ukutani. Mwishowe Liz alilala chali, nusu ya mwili kuanzia kiunoni kwenda juu kitandani, nusu iliyobaki ikining’inia chini...
“Umechoka nini sista?” aliuliza Roi...
“Nahisi kusinzia bro...”
“Hata mimi pia,” alisema Roi na kulala kama alivyolala Liz, wakakutana vichwa!

“Basi tulale ili tupunguze usingizi japo kidogo tu!”
“Sawa sista.”
“Lakini tulale hivihivi,” alisema Liz kwa sauti iliyokuwa ikienda kwenye kukatika.
Ulipita ukimya kidogo, ni lazima wote, kila mmoja alikuwa kwenye mawazo yake anayoyajua yeye...
“Huu mtihani...tena mtihani mkubwa sana,” alisema moyoni Roi...
“Halafu alivyovaa sasa...yaani mtu anajua wazi kwamba anakuja kukutana na mwanaume ambaye si ndugu yake, tena chumbani halafu anavaa nguo za kuonesha mwili namna hii? Kwa kweli hajanitendea haki,” Roi aliendelea kusema moyoni mwake...
“Lakini inataka moyo kweli! Na hivi sijaduu siku nyingi halafu nakutana na mwanaume, tena gesti lazima niwe na roho ngumu sana,” aliwaza Liz.
Wakati wakiendelea kuwaza hayo, Roi alipitiwa na usingizi mzito kwani alisikika akikoroma moja kwa moja...
“Kroooo...kroooo...”
“Mh! Kweli alikuwa na usingizi,” alisema Liz baada ya kumsikia Roi akikoroma.
Katika kulala huko, Roi alifika mahali akakunja miguu, akapanda juu kidogo na kurusha mkono pembeni, ukaangukia kwenye paja moja la Liz...
“Mh! Huyu naye...ameanza sasa...” alisema Liz. Akautoa mkono huo na kuuweka pembeni kwa taratibu kabisa.
Roi hakuona sababu ya kuendelea kulala huku akining’inia, alipanda moja kwa moja mzimamzima na kulala sanjari na Liz sasa...
“Mh! Kaka...bro...” aliita Liz akimtingisha, Roi akaamka...
“Mh! Mh!”
“Mbona unakiuka sasa?”
“Nakiuka nini sista?” aliuliza Roi huku akijifuta usoni...
“Unapanda kulala juu...”
“Ah! Usingizi, jana nilichelewa kulala ndiyo maana. Panda basi na wewe ulale.”
“Aaah! Bro, si utavuka mipaka jamani?”
“Wala! Nilishakwambia kwamba siwezi kwenda kinyume na makubaliano.”
“Oke,” alisema Liz akipanda kitandani kulala sawasawa. Alimwamini Roi kwamba hawezi kufanya kitu chochote.
Sasa walilala sambamba, Liz aliangalia ukutani, Roi aliangalia mlangoni. Wakaanza kuzungumza kwa staili hiyohiyo, Liz ukutani, Roi mlangoni...
“Ina maana sista wewe bado una wasiwasi na mimi siyo?”
“Hapana, ila natoa tahadhari tu.”
“Ooo! Sawa, niamini mimi sista.”
“Nakuamini sana bro.”
Walilala, wakapitiwa na usingizi mzito. Kwa hiyo hakuna aliyekuwa akiukontroo mwili wake. Kuna wakati Liz alirusha mikono na kumfikia Roi na kuna wakati Roi alijikuta amegeuka upande wa Liz wakalala wakiangalia kumoja.
Kuna wakati, Roi akageuka, Liz naye akageuka, wakaangalia kumoja, mlangoni, Liz akapitiliza, mkono wake mmoja ukaenda ubavuni kwa Roi, Roi naye akaushika na kung’ang’ania.
Liz akautoa, akamshika kifuani, akamsogelea, wakawa beneti zaidi, Liz akatoa mkono ubavuni, akaupeleka kwenye kiuno, Roi akashtuka kwamba mbali na kubaini kuwa, yuko kitandani na Liz..
“Daa! Kumbe sista! Lakini mbona ananifanyia hivi, anakiuka makubaliano?” alijiuliza Roi… Whatsapp +255 758 018 597

Post a Comment

0 Comments