Magic of Love (Riwaya) - Utamu 18+





Kijana mwenye urefu wa wastani na mwili ulioonesha wazi kuwa ni mwana mazoezi, alitembea kwa haraka kuelekea ilipo bar moja maarufu sana mjini Songea(kwa kipindi hicho) Nyumbani Peace Lodge, kijana huyo alionekana kuwa mwenye wasiwasi mwingi sana, juu ya kile alichoambiwa aende akashuhudie pale bar.
Yule kijana akiwa ameshakaribia mlango wa kuingilia ndani ya ile bar, akamuona msichana mmoja mzuri na mrembo zaidi ya urembo wenyewe, yule dada alikuwa akishuka kwenye ngazi kwa mwendo wa haraka sana, akionyesha kuwa kuna kitu kilimkwaza huko ndani alikotokea, wakati yule kijana akiendelea kumshangaa yule dada alimshuhudia akiikosa ngazi ya mwisho na kuteleza kisha kuyumba kidogo huku vitu alivyoshika mkononi, pamoja na hand beg na kitabu kidogo cha kumbukumbu(diary), vikimdondoka, naye akiendelea kuyumba na mwisho kuelekea chini, akielekeza uso mbele, hapo kijana huyu kwa wepesi na kasi ya ajabu sana alimuwahi yule dada na kumdaka na kumvuta kwake akimnusuru kufika chini, wakabaki wamegandana kifuani kwa sekunde kadhaa huku kila mmoja akiwaza la kwake yule kijana akishangaa uzuri wa yule binti na yule binti alishangaa jinsi yule kijana alivyowahi kumdaka na kumzuia kudondoka vibaya, pengine angeharibu uso wake maana alikuwa akiangukia uso, pale kwenye kifua kipana cha yule kijana aliyejengeka kimazoezi, binti kama aliyehisi shoti ya umeme, akajitoa haraka sana kifuani kwa yule kijana kisha akaokota mkoba wake.
"Ahsante kaka" ilikuwa sauti tamu sana, toka kwa yule binti mrembo ambayo kiukweli huyu kijana hajawahi kuisikia labda kwenye video, hilo ndilo neno pekee alilotamka yule binti mrembo kisha yule mrembo akaondoka kwa haraka ile ile ya mwanzo aliyokuwa anashuka nayo kwenye ngazi, yule kijana akiwa bado anamshangaa yule mwanamke mrembo mwenye umbo matata sana akielekea kwenye maegesho ya magari na kuingia kwenye gari moja la kifahari, aina ya mercedis benz nyeusi na kuondoka kwa speed akimwacha yule kijana bado akikodolea macho gari hadi lilipotoweka kwenye upeo wa macho yake, “Mh! nimeona wanawake wengi wazuri lakini huyu kiboko yao”, alijiwazia yule kijana, wakati anataka kuendelea na safari yake akakisukuma kitu kwa mguu wake, akatazama chini, akaona kile kitabu kidogo, yaani diary ya yule dada, akakiokota “Nikikutana naye nitamkabidhi.” alisema yule kijana huku akiweka ile diary kwenye begi lake dogo la blue kisha akaanza kupandandisha ngazi kuufuata mlango wa kuingilia kwenye ukumbi wa ile bar kubwa sana na maalufu kipindi hicho mjini Songea.
Ndani bar sauti kubwa ya music ilisikika, wanaonekana watu wengi waliovalia kinazifu wakiwa wamekaa kwa pea, yaani wawili wawili mpaka wanne wakizunguka meza zao zilizopambwa kwa vinywaji mbalimbali, pia walionekana walinzi waliojazia na kujengeka miili yao(mabouncer) wakizunguka huku na kule kuangalia usalama wa mule ndani, basi kijana huyu anaonekana akitazama huku na kule kutafuta kile alichoambiwa akakishuhudie pale bar, naam Baada ya kutazama kwa muda mchache hatimaye macho yake yakatua pembeni kabisa ya ule ukumbi mkubwa kabisa wa bar, kwenye kona moja iliyojitenga nakuwa na mwanga hafifu sana, japo kulikuwa kuna giza fulani mle ndani lakini akaona alichokitarajia kukiona tokea alipokuwa anakuja hapo bar, walionekana watu wawili mwanamke na mwanaume wakiwa wamekaa kwenye kochi dogo la watu wawili, ni kati ya makochi mengi yaliyopo mle ndani ya ukumbi, huku meza yao ikiwa imetapakaa vinywaji(pombe, beer) na sahani ya mishkaki ya mbuzi huku wakifanya kitu ambacho yule kijana hakupenda kukiona, japo macho yake yalimlazimisha kuangalia tukio lile, aliangalia sehemu ile huku akipiga hatua kuwasogelea watu wale.
Yule kijana aliuma meno kwa uchungu maana alimuona mpenzi wake Sophia akiwa ameinamia kwenye mapaja ya mwanaume aliyekuwa nae pale bar akionekana kichwa chake kikicheza cheza juu chini, akiashilia alikuwa ananyonya dudu, roho ilimuuma sana yule kijana, kwanza kusalitiwa na mwanamke aliyemuhangaikia na kumuhudumia kwa kila kitu mpaka kuanzia fedha ya chakula mavazi mpaka kodi ya chumba japo alikuwa anakaa na rafiki yake, pia aliwahudumia mpaka wazazi wake walioko kijijini kwao Namabengo kwa kutegemea mladi wa biashara yake ya viatu vya mitumba, pili katika kipindi chote cha miezi sita waliyokuwa kwenye mahusiano yao, Sophia hakuwahi kumnyonya dudu wala kujaribu kumnyonya dudu akidai ni uchafu na kuwa yeye hawezi kabisa kujaribu kufanya hivyo, japo mapenzi yao yalikuwa na miezi sita tu!, lakini kijana huyu alikuwa anampenda sana Sophia, leo hii alikuwa amesimama mbele yake anamuona kwa macho yake akiwa na mwanaume mwingine akiwa ananyonya dudu, tena alimuona akiinyonya kwa ustadi mkubwa utazani kama vile ile dudu imepakwa asali.
Leo sophia alikuwa amevalia nguo ambayo yule kijana hakuwai kumuona akiwa amevaa, kilikuwa ni kigauni chepesi na kifupi sana na sasa kile kigauni kilikuwa kimepandishwa juu kabisa, usawa wa kiuno, kiasi cha kufanya chupi ya Sophia kuonekana, na yule jamaa aliyekuwa nae alikuwa amepitisha mkono kwenye pindo za chupi ya Sophia aliyekuwa amebinuwa msambwanda wake na kuruhusu mkono wa yule jamaa kufikia kwenye kitumbua chake kisha kidole chake kimoja cha yule jamaa aliyekaa na Sophia, kikifanya kazi ya kuchezea kitumbua cha Sophia. Hapo kwa hasira akavuta hatua za haraka, kuwafuata pale walipo, ambapo alikuwa amebakiza hatuwa chache tu! Tukutane whatsap kupitia +255 758 018 597 kupata full utam...

Post a Comment

0 Comments