Kwa Bibi (Riwaya) - Fantansia - Kutisha


"njoo uingie bado gari iko wazi hii,
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
Ndani ya daladala mojawapo pale
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
Baada ya muda wa dakika ishirini, ile daladala ilijaa kabisa na Dereva akaiwasha na safari ikaanza.
Ilitumia mwendo wa dakika 30, ile
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
kijana akatelemka na kumlipa konda nauli kisha akashika njia iliyokuwa ikielekea kwenye ghorofa lililokuwa na rangi nyeupe, alipolifikia alipanda ngazi mpaka ghorofa ya tatu na kuingia katika chumba ambacho inaonekana anaishi humo,
'niaje kayoza,? vipi umepata body
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
"Alafu sio ustaharabu huo, muwe mnajifunza kusalimia ndipo muulize shida zenu" Kayoza aliongea huku akitoa shati
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
"Vipi umekula" Rafiki yake mmoja alimuuliza huku alivaa fulana,
"Tayari, sasa nitaendaje mjini alafu nisile?" Kayoza alijibu huku akiutupia mto chini ya kitanda,
"Poa basi, mimi ndio naenda kutafuta msosi" Rafiki yake huyo aliongea huku akifungua mlango,
"Haina noma, Acha nijipumzishe kidogo" Kayoza alijibu.
Siku iliyofuata ilikua sikukuu ya
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
Kayoza alichelelewa
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
"mambo kayoza", ilikua sauti ya binti mrembo ambae
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
Huyu binti anaitwa Stellah
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
"poa, umeamkaje?",Kayoza akajibu
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
"aah safi, mbona meseji yako uliyonitumia jana sikuielewa?", Stellah nae akamtupia swali,
"kwani niliiandika kwa kutumia lugha
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
" Ok, yaishe", stellah akaamua
kukatisha mabishano,
"Samahan naomba utoke nje mimi
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
"mimi naondoka moja kwa moja, ila
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
"kuna ishu gani?, alafu jioni, si bora
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
"usiwe na wasiwasi mpenzi, kama
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
"Mimi sio mpenzi wako Stellah, rekebisha kauli zako" Kayoza alimuonya Stellah huku akiwa amekasirika,
"Sawa, nisamehe kwa hilo. Kwa hiyo jioni utakuja ama?" Stellah aliuliza tena,
" Jioni ya saa ngapi?", Kayozaakauliza,
" saa moja na nusu tutakua pale tunawangojea, nitakua na Tausi",
"Poa, haina noma, nitakuja", Kayoza
akakubali mwaliko. Kama angejua
"Peke yako au?" Stellah aliuliza,
"Vipi kwani, mbona maswali mengi?" Kayoza aliuliza huku akiwa amehamaki,
"Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah alijibu kwa upole,
"We panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia hazitokuhusu" Kayoza aliongea macho yakiwa makavu,
"Basi baba, hatugombani hapa" Stellah aliongea huku akitabasamu,
"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza alimwambia stellah,
"Kwani ukivaa mbele yangu kuna ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa utani,
"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah nje na kubaki ndani peke yake akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..
Ila angejua ambacho kitamtokea, basi asingekubali ule mwaliko!!
"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,
"Bado hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,
"Fungua bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na mwingine alitambulika kwa jina la Denis,
"Vipi wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza Kayoza,
"Umejuaje?, alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akijitupa kitandani,
"Kwa hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,
"Muda wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza Omary kwa hasira,
"Huyu sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku akimgeukia Denis,
"Tetesi gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,
"Maneno tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,
"Maneno gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia Denis,
"Mchane, usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,
"Niambie hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia Omary,
"Bwana mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,
"Mimi siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine, tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,
"Tunasaidiana mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary nae alimsihi Kayoza awaeleze,
"Sina hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?" Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,
"Ila ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,
"Tokea napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,
"Umeshawahi kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,
"Nimeenda mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,
"Na kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,
"Kila nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza wenzake,
"Basi ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku akisikitika,
"Stellah alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,
"Alafu nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,
"Kwa hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,
"Amesema tuende wote watatu" Kayoza alijibu,
"Aisee mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,
"Amesema gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya wenzie wafurahi,
"Basi poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku akijilaza kitandani,
"Ila usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,
"Mimi sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha juu,
"Tutajua uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.
********************
Mida ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
"oya wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
"acha uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
Mara simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
'huyo Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
"usilembe bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
Kayoza akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,
"Mambo..",Kayoza alimsalimia Stellah,
"poa, mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,
"tupo hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,
"mbona simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
"ok.. poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
"sisi tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,
"mambo gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,
"poa, ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.
"Haya waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
"Vicheche? Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,
"Yuko na Tausi" kayoza alijibu,
"Basi twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,
'nyie nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
"Jamaa mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,
"Wamekwambia wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,
"Wapo Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea wanapokwenda.
Walipofika nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti hiyo!!!
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Sauti gani?" Denis aliuliza,
"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,
"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,
"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,
"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,
"Ndio maana ake" Omary alijibu huku akicheka.
Wakiwa wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila walikua nje ya sehemu husika.
"Sasa mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,
"Labda wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.
wakina kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,
"jaman twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
"kwani hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,
" Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
"We mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,
"Nini wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary aliongea huku akimcheka Kayoza,
"Huyu mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku akimtazama Dennis,
"Mzoeeni tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,
" sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,
"Mhm...mi hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,
"Mi naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
"Bar tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,
"Bar hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,
" hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,
"Ahaa wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
Walipofika wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
"Kwa hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,
"Ebu subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
"jamani eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
"haina shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,
"Mhm, kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
"Boy acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.
Baada ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
Baada ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
Ilipofika saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
Stellah akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
Walipotoka tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597
ZAIDI
Kahawa zipo za aina tatu, zipo za wanaume tu, zipo za wanawake tu, na zipo za wenye ugonjwa wa Kisukari na Presha. Za wanaume tu kazi yake kubwa ni kuongeza uwezo wa kufanya tendo la ndoa hasa kwa wanaume waliolegea mishipa ya uume yaani uume hausimama vizuri kwa ukakamavu nah ii inatokana na  kuchua uume, pia kwa wale wanaowahi kumaliza na wanaotoa mbegu zisizo na nguvu yaani nyepesi kama maji zisizoweza kumpa mwanamke ujauzito kirahisi n.k
"njoo uingie bado gari iko wazi hii,
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
Ndani ya daladala mojawapo pale
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
Baada ya muda wa dakika ishirini, ile daladala ilijaa kabisa na Dereva akaiwasha na safari ikaanza.
Ilitumia mwendo wa dakika 30, ile
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
kijana akatelemka na kumlipa konda nauli kisha akashika njia iliyokuwa ikielekea kwenye ghorofa lililokuwa na rangi nyeupe, alipolifikia alipanda ngazi mpaka ghorofa ya tatu na kuingia katika chumba ambacho inaonekana anaishi humo,
'niaje kayoza,? vipi umepata body
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
"Alafu sio ustaharabu huo, muwe mnajifunza kusalimia ndipo muulize shida zenu" Kayoza aliongea huku akitoa shati
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
"Vipi umekula" Rafiki yake mmoja alimuuliza huku alivaa fulana,
"Tayari, sasa nitaendaje mjini alafu nisile?" Kayoza alijibu huku akiutupia mto chini ya kitanda,
"Poa basi, mimi ndio naenda kutafuta msosi" Rafiki yake huyo aliongea huku akifungua mlango,
"Haina noma, Acha nijipumzishe kidogo" Kayoza alijibu.
Siku iliyofuata ilikua sikukuu ya
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
Kayoza alichelelewa
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
"mambo kayoza", ilikua sauti ya binti mrembo ambae
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
Huyu binti anaitwa Stellah
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
"poa, umeamkaje?",Kayoza akajibu
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
"aah safi, mbona meseji yako uliyonitumia jana sikuielewa?", Stellah nae akamtupia swali,
"kwani niliiandika kwa kutumia lugha
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
" Ok, yaishe", stellah akaamua
kukatisha mabishano,
"Samahan naomba utoke nje mimi
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
"mimi naondoka moja kwa moja, ila
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
"kuna ishu gani?, alafu jioni, si bora
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
"usiwe na wasiwasi mpenzi, kama
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
"Mimi sio mpenzi wako Stellah, rekebisha kauli zako" Kayoza alimuonya Stellah huku akiwa amekasirika,
"Sawa, nisamehe kwa hilo. Kwa hiyo jioni utakuja ama?" Stellah aliuliza tena,
" Jioni ya saa ngapi?", Kayozaakauliza,
" saa moja na nusu tutakua pale tunawangojea, nitakua na Tausi",
"Poa, haina noma, nitakuja", Kayoza
akakubali mwaliko. Kama angejua
"Peke yako au?" Stellah aliuliza,
"Vipi kwani, mbona maswali mengi?" Kayoza aliuliza huku akiwa amehamaki,
"Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah alijibu kwa upole,
"We panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia hazitokuhusu" Kayoza aliongea macho yakiwa makavu,
"Basi baba, hatugombani hapa" Stellah aliongea huku akitabasamu,
"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza alimwambia stellah,
"Kwani ukivaa mbele yangu kuna ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa utani,
"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah nje na kubaki ndani peke yake akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..
Ila angejua ambacho kitamtokea, basi asingekubali ule mwaliko!!
"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,
"Bado hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,
"Fungua bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na mwingine alitambulika kwa jina la Denis,
"Vipi wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza Kayoza,
"Umejuaje?, alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akijitupa kitandani,
"Kwa hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,
"Muda wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza Omary kwa hasira,
"Huyu sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku akimgeukia Denis,
"Tetesi gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,
"Maneno tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,
"Maneno gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia Denis,
"Mchane, usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,
"Niambie hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia Omary,
"Bwana mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,
"Mimi siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine, tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,
"Tunasaidiana mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary nae alimsihi Kayoza awaeleze,
"Sina hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?" Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,
"Ila ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,
"Tokea napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,
"Umeshawahi kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,
"Nimeenda mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,
"Na kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,
"Kila nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza wenzake,
"Basi ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku akisikitika,
"Stellah alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,
"Alafu nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,
"Kwa hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,
"Amesema tuende wote watatu" Kayoza alijibu,
"Aisee mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,
"Amesema gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya wenzie wafurahi,
"Basi poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku akijilaza kitandani,
"Ila usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,
"Mimi sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha juu,
"Tutajua uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.
********************
Mida ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
"oya wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
"acha uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
Mara simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
'huyo Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
"usilembe bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
Kayoza akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,
"Mambo..",Kayoza alimsalimia Stellah,
"poa, mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,
"tupo hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,
"mbona simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
"ok.. poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
"sisi tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,
"mambo gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,
"poa, ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.
"Haya waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
"Vicheche? Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,
"Yuko na Tausi" kayoza alijibu,
"Basi twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,
'nyie nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
"Jamaa mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,
"Wamekwambia wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,
"Wapo Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea wanapokwenda.
Walipofika nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti hiyo!!!
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Sauti gani?" Denis aliuliza,
"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,
"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,
"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,
"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,
"Ndio maana ake" Omary alijibu huku akicheka.
Wakiwa wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila walikua nje ya sehemu husika.
"Sasa mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,
"Labda wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.
wakina kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,
"jaman twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
"kwani hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,
" Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
"We mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,
"Nini wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary aliongea huku akimcheka Kayoza,
"Huyu mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku akimtazama Dennis,
"Mzoeeni tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,
" sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,
"Mhm...mi hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,
"Mi naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
"Bar tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,
"Bar hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,
" hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,
"Ahaa wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
Walipofika wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
"Kwa hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,
"Ebu subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
"jamani eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
"haina shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,
"Mhm, kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
"Boy acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.
Baada ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
Baada ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
Ilipofika saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
Stellah akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
Walipotoka tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597


Post a Comment

0 Comments