"njoo
uingie bado gari iko wazi hii,
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
Ndani
ya daladala mojawapo pale
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
Baada
ya muda wa dakika ishirini, ile daladala ilijaa kabisa na Dereva akaiwasha na
safari ikaanza.
Ilitumia
mwendo wa dakika 30, ile
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
kijana
akatelemka na kumlipa konda nauli kisha akashika njia iliyokuwa ikielekea
kwenye ghorofa lililokuwa na rangi nyeupe, alipolifikia alipanda ngazi mpaka
ghorofa ya tatu na kuingia katika chumba ambacho inaonekana anaishi humo,
'niaje
kayoza,? vipi umepata body
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
"Alafu
sio ustaharabu huo, muwe mnajifunza kusalimia ndipo muulize shida zenu"
Kayoza aliongea huku akitoa shati
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
"Vipi
umekula" Rafiki yake mmoja alimuuliza huku alivaa fulana,
"Tayari,
sasa nitaendaje mjini alafu nisile?" Kayoza alijibu huku akiutupia mto
chini ya kitanda,
"Poa
basi, mimi ndio naenda kutafuta msosi" Rafiki yake huyo aliongea huku
akifungua mlango,
"Haina
noma, Acha nijipumzishe kidogo" Kayoza alijibu.
Siku
iliyofuata ilikua sikukuu ya
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
Kayoza
alichelelewa
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
"mambo
kayoza", ilikua sauti ya binti mrembo ambae
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
Huyu
binti anaitwa Stellah
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
"poa,
umeamkaje?",Kayoza akajibu
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
"aah
safi, mbona meseji yako uliyonitumia jana sikuielewa?", Stellah nae
akamtupia swali,
"kwani
niliiandika kwa kutumia lugha
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
"
Ok, yaishe", stellah akaamua
kukatisha mabishano,
kukatisha mabishano,
"Samahan
naomba utoke nje mimi
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
"mimi
naondoka moja kwa moja, ila
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
"kuna
ishu gani?, alafu jioni, si bora
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
"usiwe
na wasiwasi mpenzi, kama
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
"Mimi
sio mpenzi wako Stellah, rekebisha kauli zako" Kayoza alimuonya Stellah
huku akiwa amekasirika,
"Sawa,
nisamehe kwa hilo. Kwa hiyo jioni utakuja ama?" Stellah aliuliza tena,
"
Jioni ya saa ngapi?", Kayozaakauliza,
"
saa moja na nusu tutakua pale tunawangojea, nitakua na Tausi",
"Poa,
haina noma, nitakuja", Kayoza
akakubali mwaliko. Kama angejua
akakubali mwaliko. Kama angejua
"Peke
yako au?" Stellah aliuliza,
"Vipi
kwani, mbona maswali mengi?" Kayoza aliuliza huku akiwa amehamaki,
"Inatakiwa
nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah alijibu kwa
upole,
"We
panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu
na gharama zangu au wenzangu pia hazitokuhusu" Kayoza aliongea macho
yakiwa makavu,
"Basi
baba, hatugombani hapa" Stellah aliongea huku akitabasamu,
"Haya
nenda nje mimi nivae" Kayoza alimwambia stellah,
"Kwani
ukivaa mbele yangu kuna ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa utani,
"Wewe
mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah nje na kubaki
ndani peke yake akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na
Stellah..
Ila
angejua ambacho kitamtokea, basi asingekubali ule mwaliko!!
"Mpuuzi
kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula
kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa
kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,
"Bado
hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,
"Fungua
bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea
mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na
mwingine alitambulika kwa jina la Denis,
"Vipi
wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza
Kayoza,
"Umejuaje?,
alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akijitupa kitandani,
"Kwa
hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,
"Muda
wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza
Omary kwa hasira,
"Huyu
sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku
akimgeukia Denis,
"Tetesi
gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,
"Maneno
tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,
"Maneno
gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia
Denis,
"Mchane,
usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake
tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,
"Niambie
hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia
Omary,
"Bwana
mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti
haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na
mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na
kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,
"Mimi
siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine,
tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji
Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,
"Tunasaidiana
mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo
letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary
nae alimsihi Kayoza awaeleze,
"Sina
hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?"
Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,
"Ila
ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,
"Tokea
napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,
"Umeshawahi
kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,
"Nimeenda
mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,
"Na
kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,
"Kila
nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au
kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza
wenzake,
"Basi
ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku
akisikitika,
"Stellah
alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,
"Alafu
nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,
"Kwa
hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,
"Amesema
tuende wote watatu" Kayoza alijibu,
"Aisee
mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini
inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,
"Amesema
gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya
wenzie wafurahi,
"Basi
poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku
akijilaza kitandani,
"Ila
usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,
"Mimi
sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis
nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha
juu,
"Tutajua
uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.
********************
Mida
ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
"oya
wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
"acha
uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi
wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
Mara
simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
'huyo
Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
"usilembe
bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
Kayoza
akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,
akaweka sura ya umakini,
"Mambo..",Kayoza
alimsalimia Stellah,
"poa,
mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,
"tupo
hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,
alijibu,
"mbona
simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
"ok..
poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
"sisi
tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,
akatoa udhulu,
"mambo
gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,
"poa,
ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.
"Haya
waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
"Vicheche?
Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,
"Yuko
na Tausi" kayoza alijibu,
"Basi
twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,
'nyie
nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
"Jamaa
mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,
"Wamekwambia
wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,
"Wapo
Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea
wanapokwenda.
Walipofika
nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
"Leo
kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa
kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti
hiyo!!!
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Sauti
gani?" Denis aliuliza,
"Sauti
nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,
"Acha
mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku
akimcheka kayoza,
"Acha
ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza
aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,
"Yaishe
basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au
sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,
"Ndio
maana ake" Omary alijibu huku akicheka.
Wakiwa
wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila
walikua nje ya sehemu husika.
"Sasa
mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,
"Labda
wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.
wakina
kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,
wakapeana salamu,
"jaman
twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
"kwani
hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,
"
Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
"We
mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,
"Nini
wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary
aliongea huku akimcheka Kayoza,
"Huyu
mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku
akimtazama Dennis,
"Mzoeeni
tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,
"
sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,
"Mhm...mi
hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,
"Mi
naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
"Bar
tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,
"Bar
hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,
"
hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,
"Ahaa
wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
Walipofika
wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
"Kwa
hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,
"Ebu
subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
"jamani
eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
"haina
shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,
akajibu,
"Mhm,
kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
"Boy
acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.
Baada
ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
Baada
ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
Ilipofika
saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
Stellah
akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
Walipotoka
tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597
ZAIDI
Kahawa
zipo za aina tatu, zipo za wanaume tu, zipo za wanawake tu, na zipo za wenye
ugonjwa wa Kisukari na Presha. Za wanaume tu kazi yake kubwa ni kuongeza uwezo
wa kufanya tendo la ndoa hasa kwa wanaume waliolegea mishipa ya uume yaani uume
hausimama vizuri kwa ukakamavu nah ii inatokana na kuchua uume, pia kwa
wale wanaowahi kumaliza na wanaotoa mbegu zisizo na nguvu yaani nyepesi kama
maji zisizoweza kumpa mwanamke ujauzito kirahisi n.k
"njoo
uingie bado gari iko wazi hii,
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
mama kaa vizuri hapo mnatosha
watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhairi kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomoni alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".
Ndani
ya daladala mojawapo pale
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.
Baada
ya muda wa dakika ishirini, ile daladala ilijaa kabisa na Dereva akaiwasha na
safari ikaanza.
Ilitumia
mwendo wa dakika 30, ile
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.
kijana
akatelemka na kumlipa konda nauli kisha akashika njia iliyokuwa ikielekea
kwenye ghorofa lililokuwa na rangi nyeupe, alipolifikia alipanda ngazi mpaka
ghorofa ya tatu na kuingia katika chumba ambacho inaonekana anaishi humo,
'niaje
kayoza,? vipi umepata body
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,
"Alafu
sio ustaharabu huo, muwe mnajifunza kusalimia ndipo muulize shida zenu"
Kayoza aliongea huku akitoa shati
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.
"Vipi
umekula" Rafiki yake mmoja alimuuliza huku alivaa fulana,
"Tayari,
sasa nitaendaje mjini alafu nisile?" Kayoza alijibu huku akiutupia mto
chini ya kitanda,
"Poa
basi, mimi ndio naenda kutafuta msosi" Rafiki yake huyo aliongea huku
akifungua mlango,
"Haina
noma, Acha nijipumzishe kidogo" Kayoza alijibu.
Siku
iliyofuata ilikua sikukuu ya
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.
Kayoza
alichelelewa
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,
"mambo
kayoza", ilikua sauti ya binti mrembo ambae
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.
Huyu
binti anaitwa Stellah
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.
"poa,
umeamkaje?",Kayoza akajibu
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,
"aah
safi, mbona meseji yako uliyonitumia jana sikuielewa?", Stellah nae
akamtupia swali,
"kwani
niliiandika kwa kutumia lugha
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,
"
Ok, yaishe", stellah akaamua
kukatisha mabishano,
kukatisha mabishano,
"Samahan
naomba utoke nje mimi
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,
"mimi
naondoka moja kwa moja, ila
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,
"kuna
ishu gani?, alafu jioni, si bora
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,
"usiwe
na wasiwasi mpenzi, kama
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.
"Mimi
sio mpenzi wako Stellah, rekebisha kauli zako" Kayoza alimuonya Stellah
huku akiwa amekasirika,
"Sawa,
nisamehe kwa hilo. Kwa hiyo jioni utakuja ama?" Stellah aliuliza tena,
"
Jioni ya saa ngapi?", Kayozaakauliza,
"
saa moja na nusu tutakua pale tunawangojea, nitakua na Tausi",
"Poa,
haina noma, nitakuja", Kayoza
akakubali mwaliko. Kama angejua
akakubali mwaliko. Kama angejua
"Peke
yako au?" Stellah aliuliza,
"Vipi
kwani, mbona maswali mengi?" Kayoza aliuliza huku akiwa amehamaki,
"Inatakiwa
nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah alijibu kwa
upole,
"We
panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu
na gharama zangu au wenzangu pia hazitokuhusu" Kayoza aliongea macho
yakiwa makavu,
"Basi
baba, hatugombani hapa" Stellah aliongea huku akitabasamu,
"Haya
nenda nje mimi nivae" Kayoza alimwambia stellah,
"Kwani
ukivaa mbele yangu kuna ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa utani,
"Wewe
mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah nje na kubaki
ndani peke yake akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na
Stellah..
Ila
angejua ambacho kitamtokea, basi asingekubali ule mwaliko!!
"Mpuuzi
kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula
kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa
kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,
"Bado
hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,
"Fungua
bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea
mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na
mwingine alitambulika kwa jina la Denis,
"Vipi
wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza
Kayoza,
"Umejuaje?,
alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akijitupa kitandani,
"Kwa
hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,
"Muda
wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza
Omary kwa hasira,
"Huyu
sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku
akimgeukia Denis,
"Tetesi
gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,
"Maneno
tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,
"Maneno
gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia
Denis,
"Mchane,
usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake
tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,
"Niambie
hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia
Omary,
"Bwana
mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti
haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na
mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na
kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,
"Mimi
siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine,
tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji
Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,
"Tunasaidiana
mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo
letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary
nae alimsihi Kayoza awaeleze,
"Sina
hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?"
Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,
"Ila
ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,
"Tokea
napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,
"Umeshawahi
kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,
"Nimeenda
mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,
"Na
kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,
"Kila
nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au
kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza
wenzake,
"Basi
ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku
akisikitika,
"Stellah
alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,
"Alafu
nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,
"Kwa
hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,
"Amesema
tuende wote watatu" Kayoza alijibu,
"Aisee
mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini
inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,
"Amesema
gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya
wenzie wafurahi,
"Basi
poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku
akijilaza kitandani,
"Ila
usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,
"Mimi
sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis
nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha
juu,
"Tutajua
uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.
********************
Mida
ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,
"oya
wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,
"acha
uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi
wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.
Mara
simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.
'huyo
Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,
"usilembe
bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.
Kayoza
akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,
akaweka sura ya umakini,
"Mambo..",Kayoza
alimsalimia Stellah,
"poa,
mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,
"tupo
hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,
alijibu,
"mbona
simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,
"ok..
poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,
"sisi
tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,
akatoa udhulu,
"mambo
gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,
"poa,
ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.
"Haya
waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,
"Vicheche?
Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,
"Yuko
na Tausi" kayoza alijibu,
"Basi
twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,
'nyie
nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.
"Jamaa
mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,
"Wamekwambia
wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,
"Wapo
Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea
wanapokwenda.
Walipofika
nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,
"Leo
kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa
kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti
hiyo!!!
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,
"Sauti
gani?" Denis aliuliza,
"Sauti
nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,
"Acha
mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku
akimcheka kayoza,
"Acha
ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza
aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,
"Yaishe
basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au
sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,
"Ndio
maana ake" Omary alijibu huku akicheka.
Wakiwa
wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila
walikua nje ya sehemu husika.
"Sasa
mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,
"Labda
wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.
wakina
kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,
wakapeana salamu,
"jaman
twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,
"kwani
hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,
"
Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,
"We
mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,
"Nini
wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary
aliongea huku akimcheka Kayoza,
"Huyu
mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku
akimtazama Dennis,
"Mzoeeni
tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,
"
sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,
"Mhm...mi
hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,
"Mi
naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,
"Bar
tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,
"Bar
hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,
"
hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,
"Ahaa
wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.
Walipofika
wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,
"Kwa
hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,
"Ebu
subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,
"jamani
eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,
"haina
shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,
akajibu,
"Mhm,
kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,
"Boy
acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.
Baada
ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.
Baada
ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.
Ilipofika
saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.
Stellah
akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya kwanza kunywa pombe.
Walipotoka
tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza mpaka kitandani, alafu Stellah.
Whatsapp +255 758 018 597
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji