Asubuhi
na mapema niliamka nakuanza kufanya usafi kwa kukata majani na kuiweka bustani
vizuri kiufupi licha ya Jaffary kuwa mgeni katika vifaa vile vya kukatia majani
alijitahidi hivyo hivyo nakuiweka bustani safi alizunguka nyumba nzima kwa kila
jani lilikaa ovyo Jaffary alisawazisha na kuyakata vizuri, boss suzy alitoka
nje asubuhi akiwa amevalia taulo tu tena taulo yake ilikuwa fupi sana taulo
ilikuwa imefunika matiti na sehemu ndogo iliposehemu yake huku sehemu kubwa ya
chini ikiwa wazi ""wow!! safi sana, very good yani umeifanya kazi
vile inavyotakiwa" alisema boss lady suzy huku akinisogelea sogelea "ah!
ahsante Madam" nilimjibu huku nikiachia fyekeo chini" boss suzy baada
ya kuzunguka kila sehemu alijiridhisha kabisa kwa usafi nilioufanya "okey!
we endelea na kazi" Madam Suzane aliongea kimapozi kisha akaugeuza mkia n
kuingia ndani.. "hakika inapendeza jamaa yangu kwa style hii boss
atakupenda sana na imani yangu lazima atakupa mkwanja mrefu" mlinzi
aliongea neno baada ya Madam Suzane kuingia ndani "aah! kazi ndogo hii
rafiki yangu" "eeh! uko vizuri mdogo wangu" tulipiga stori mbili
tatu.. masaa yalisogea na sasa yapata sanne asubuhi siku hiyo house girl
aliamka akiharisha sana tumbo lilikuwa linamsumbua sana "dada yani tumbo
linaniuma kweli siwezi kusimama" ni sauti ya house girl akiwa amechutama
nje kidogo ya mlango wa kuingilia ndani "dah! pole umetumia dawa?"
baada ya kuwa nimesogelea pale "ndio nimetumia" alinijibu "sawa
pumzika kama nichai nitawachemshia kwa leo sio mbaya" nilimwambia yule
house girl "sawa kaka angu utakuwa umenisaidia sana yani" alinijibu
kisha akajikaza na kunipeleka jikoni akanipa maelezo yote na aina ya chai
ambayo huwa anawaandalia kila siku. nilishika kila maelekezo nikawasha jiko la
umeme kisha nikaiandaa chai vizuri nakuiweka kwenye chupa ili isipoe kisha
nikaanza kupita kwenye chumba kimoja baada ya kingine kuwaamsha wale madada
wawili ambao wao walikuwa wamelala. "Jeffu hebu muashe Jackline mtoto
analala huyu yani hawezi kuamka mapema jamani na ngoja vyuo vifunguliwe sijui
na hukk atakuwa analala hivi??" boss lady alisema nilipita sebureni na
kuivuka korido ndogo iliokitenganisha chumba cha boss na binti yake Jackline.
kwa kufata maelekezo niliweza kufika hadi kilipo chumba cha binti huyo.
nilifika na kukuta mlango ukiwa umeegeshwa tu. nilisogea karibu kisha nikapiga
taratibu "nko! nko! nkooo!" "siuingie" sauti ya Jackline
iliskika akiniamuru niingie ndani, nilisita kwanza kuingia kwani kile kilikuwa
ni chumba cha binti, "siuingie" alirudia tena "chai iko tayari
dada" nilimjibu nikiwa nje ya mlango tu "we utanikaribishaje chai
ukiwa nje nimekwambia uingie" licha ya kuwa sauti aliitambua niyakiume
lakini bado alitaka niingie ndani moyoni nilijisemea huu mtihani kisha
nikasukuma mlango nakuingia kidogo tu. lahaula Jackline alikuwa amekaa
kitandani kwake huku akiwa amevaa upande wa kanga tu mapaja nje nje na sehemu
kidogo ya kufuri ilionekana. moyo ulilipuka lakini kwa Jackline hata chembe
wala kukwapua macho hakuonyesha "haya sema sasa" aliongea Jackline
huku akiitingisha miguu yake kitendo kilichofanya kanga yake iezuke nakumwacha
uchi kabisa "umeona nini??" Jackline aliuliza huku akinitupia macho "sijaona
kitu" nilimjibu huku nikkwa nimeinamisha uso chini. "haya tangulia
huko mi nivae alafu! ona hebu naomba nipe ile pale chupi" Jackline alisema
bila aibu nafsi ya matamanio ilikuwa inanizunguka sema nilijikaza tu kwa kuwa
alikuwa ni mtoto wa boss lady. "haya we nenda mi nivae" alisema
Jackline kisha nikatoka "unabahati we boya we niletee mitego ya ajabu
nitakunfyonza hayo matiti wewe??" nilijisemea kisha nikaelekea ulipo
mlango wa chumba kingine cha marry yeye hakunisumbua nilipomwita aliitika na
mda huo huo tuliongozana kuelekea mezani.
tulikusanyika
wote mezani huku mi ndio nikisimamia maswala yote ya upishi na upakuaji
uandaaji na usundaji vyote nilivifanya mimi kumsidia yule house girl..
"daah!! kaa nawe unywe chai yako mwenyewe" boss lady alisema nilikaa
mbele ya Jackline, Jackline alikunywa mara ya kwanza chai kisha akasema daah!!!
mama sijawahi kunywa chai tamu kama hii" alisema Jackline huku akinitizama
machoni kwa jicho la mitego fulani ya mahaba, nami sikumwangalia sana..
kesho
yake asubuhi nikiwa nje boss alikuwa anajiandaa kutoka kuelekea kazini kwake
kwakua siku hiyo ilikuwa ni jumatatu ghafla niliskia akiniita kwa sauti nami
niliitika "naam!!" kisha nikasogea kufata wito wake mwanzoni
nilifikiri yupo sebuleni lakini nilishanga hayupo na alipoita tena ndio
niligundua yupo chumbani kwake.. "heeeh!! ananiitia chumbani mwake
tena??" nilijiuliza "nakuja Madam" nilisogea mpaka pale ulipo
mlango wa chumba chake "hodi" "we ingia bwana mtu nakuita mara
nyingi hivyo" boss lady alidakia niliingia nakumkuta Madam akiwa amevaa
kile kitaulo chaje cha jana tena akiwa amenitegea mgongo kisha akakiangusha
nakubaki mtupu nakusema chukua haya mafuta nataka unifanyie massage.."
moyo ulilipuka paaap!!!... niliyatoa macho kama mjusi aliebanwa na mlango..
"bado umesimama tu??" boss alisema kisha akajitupia kitandani hivyo
hivyo akiwa uchi wa mnyama...
bado
nilizidi kujiuliza nianzie wapi kuanza kuushika mwili wa boss tena akiwa uchi
kama alivyozaliwa "jeeff hivi bado umesimama hapo tu" boss lady
aliniuliza "na.. na.. nakuja Madam" niliongea kwa kitete kwani mkao
aliolala boss ulikuwa ni mkao wa matamanisho aliipanua miguu yake huku sehemu
yake ya siri ikibaki wazi wazi, baada ya Madam kuona nimeshasogea karibu na
kitanda alisimama nakuelekea mlangoni kisha akaufunga mlango kwa ndani nakurudi
mpaka kitandani. nikizidi kumtazama boss yule mwenye umbo zuri la kuvutia
mapaja yaliyoshiba vizuri na nyama zake za tako zikiwa laini kabisa kiufupi
boss lady alikuwa ni mrembo sana, alirudi na kujilaza tena kifuli fuli
nakuyaachia matako yake juu juu kadiri nilivyozidi kulitazama umbo la boss
wangu aibu na uoga vilianza kusogea pembeni na sasa nikajikuta nikimzoea
nilipanda juu ya mgongo wake nikakalia sehemu za matako yake kisha nikamimina
kidogo mafuta kiganjani na kuyasambaza viganja vyote viwili, nilianza kumchua
taratibu sehemu za juu usawa wa mabega kushuka chini mpaka kiunoni kisha
nikateremka taratibu nakuanza kuyachua matako yake malaini huku nikipitisha
ncha za vidole karibu kabisa na m….
Whatsapp +255 758 018 597
Whatsapp +255 758 018 597
Pia
bofya hapa chini kupakua Swahili Simulizi App
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji