Kazee Kafundi (Riwaya) - Utamu 18+



Niliamua kunyata kabla ya kupiga magoti na kutoa simu ili niweze kurekodi nilichokuwa nakisikia na pia ikibidi nichukue na picha. Mpaka wakati huo nilikuwa sijajua kama sauti hizo zilimuhusu Babu G moja kwa moja au alikuwa ni mtu mwingine. Iliniwia ngumu sana kupata mwonekano wao. Nilisogea zaidi huku nikiwa makini ili wasinione. Sauti za migugumio zilizidi kuongezeka. Nilipata shauku kumbwa sana ya kuwaona wahusika lakini ilkuwa ni ngumu. Hicho kichaka safari hii kilizimbwa vizuri. Mawazo yalinijia sijui nirushe jiwe nione nini kitatokea lakini nikaogopa maana ningeweza kuwakurupusha na kusababisha madhara kwao. Niliendelea kusubiri na kwa sauti hizo zilivyokuwa zikitoka nikaamini kweli aliyekuwa kongoza mchezo huo alikuwa fundi sana.
Nilitamani kucheka maana binti alikuwa akilalama. Kwa sauti hizo za upagavu wa aha ilikuwa ni ngumu sana kwangu kutambua kama aliyekuwa akipewa dozi ni Boke au msichana mwingine. Niliendelea kuwa mpole huku nikiishiwa pozi na kukosa la kufanya. Nilitega sikio langu kwa umakini mkumbwa sana huku nikisikilizia mapigo. Mara nilibahatika kusikia kitu kilichonipa uthibitisho. . “Ooooooohhh mmmmh asanteee Babu G……”. Nilitabasamu maana hiyo ilionesha aliyekuwa akitoa dozi hiyo ni Babu G. Baada ya muda kimya kilitawala na sasa nilijisogeza pembeni na kujibanza ili nione ni nani atakayetokea. Nilisubiri hapo kwa dakika kadhaa lakini hakuna aliyetokea. Nilishangaa kwa nini mtu huyo alikuwa akichelewa kutoka. Muda ulienda sana na kimya kilitawala nikajikuta naamua kusogea tena lile eneo. Nilisogea karibu lakini kimya kilikuwa kimetawala. Hapakuoesha kama kulikuwa na dalili ya uwepo wa watu. Nilistaajabu na kujiuliza wamepitia wapi. Nilistaajabu kwa sababu haiwezanai mimi nimekaa hapo muda wote nisiwaone. Nilihisi nipo ndotoni.
Mara niliona simu yangu ikiwa inaita. Niliitoa na nilipoangalia aliyekuwa akipiga alikuwa ni babu G. Nilistaajabu na nilihisi labda alikuwa ameniona. Kabla ya kuipokea niligeuka na kaungalia kila pande ili nione kama alikuwa jirani. Sikuoa kitu wala dalili ya mtu.
Swali la kwanza aliloniuliza ni kuwa nipo wapi? Swali hili lilikuwa gumu sana kwangu na badala ya kujibu nilimuuliza yeye yupo wapi. Akaanza kuniponda na kuniambia kuwa kwa tatizo la vijana wengi hawajielewi kwa maana haiwezekani mtu akakuuliza swali na kabla hujatoa jibu ukaauliza swali. Simu hiyo ikawa imenipa nafasi ya mimi kuanza kujisogeza na kurudi shuleni. Nilikuwa mpole na kwa kuwa babu G alikuwa akilazimishia ajue nilipo nilikuwa nakwepa swala kwa kuanzisha mada ingine. Niljichekesha chekesha kabla ya kumuambia kuwa nipo shuleni. Akazidi kucheka na kuniambia niache uwongo maana ananiona. Eeeh nilichanganyikiwa na kujikuta nikigeuka huku na kule kutaka kujua nini kilikuwa kikiendelea. Sikumuona mtu yeyote na nilihisi labda mzee huyo yupo kule kule nilipotoka. Nilikata simu na kuanza kurudi kule bustanini. Nilirudi mpaka pale kwenye kile kichaka ili niweze kuangalia tena.
Niliangalia kwa umakini sana lakini sikumuona mtu. Nilijiona kama mjinga na nilianza kupatwa na hisia mbaya nilihisi labda mzee huyo ni mchawi. Nilikuwa na hofu sana hivyo niliamua kurudi zangu shuleni. Akili ilikuwa haifanyi kazi vizuri na niliamini kama mzee huyo ametoka kutembea na Boke msichana ambaye alikuwa akivutia sana na msichana ambaye alionekana kuwa alikuwa akijiheshimu sana basi atakuwa ameshatembea na wasichana wengi sana hapo shuleni. Niliingia ofisini na niligundua kuwa nina kipindi muda huo na muda ulikwa umepita. Kwa kuwa nilikuwa naipenda kazi hiyo niliamua kuingia darasani. Nilikuta wanafunzi wakiwa wanapiga tu stori. Nilikuwa nimechelewa hivyo wanafunzi walikuwa wamechoka kusubiri na walikuwa wakipiga stori.
Ilibidi niingie na kuwaambia nilikuwa na hudhuru hivyo wanaweza kuuliza maswali yoyote hasa kwa vipi

Nilipiga jicho huku na kule kumuangalia Boke lakini sikumwona. Nilitamani hata kumuuliza kiongozi wao lakini niliogopa maana anaweza kuhisi vibaya. Kipindi kiliisha na nilirudi zangu ofisini. Nilikaa hapo mpaka muda wa kazi uliisha. Nilirudi nyumbani na nilipanga baadaye jioni kurudi ili kuongea na babu G. Ratiba hazikuenda kama nilivyozipanga maana nilivyofika nyumbani babu alinipa majukumu mengine.
Siku zilisonga huku nikiwa napata wakati mgumu sana wa kuonana na babu G. Ratiba zilikuwa zikipishana lakini wikiendi moja niliamua kumbana na kubaki anga zake. Niliongea naye habari nyingi sana na niliamua kumgusia habari za mapenzi. Hapo mzee alicheka sana na kusema ni ajabu kwa kijana mdogo kama mimi kumuulizia habari za mapenzi. Aliniambia yeye kwa umri huo hana jipya zaidi ya kulea wajukuu. “Mjukuu wangu habari za mapenzi waulize vijana wenzio ila kwa sisi ujana wetu ulishaisha”. Hapa na mimi nilianza kucheka na kuonesha kuwa alikuwa akinidanganya. Kwa kuwa nilikuwa nikihitaji kupata habari zake zaidi niliamua kutoa simu yangu na kumsikilizisha lile tukio lake la kwanza lilofanya mpaka mimi kutamani kuwa karibu naye.
Babu G alisikiliza kwa umakini mkumbwa sana na alikuwa mpole. Ilibidi sasa tutafute sehemu tufanye mazungumzo. “Mimi sikuwa na nia mbaya kukurekodi mzee wangu ila ninachotaka kujua ni mbinu unazozitumia kuwapata hawa mabinti hili hali ni ngumu sana”. Nilimtoa hofu kwa kumwambia kauli hiyo.
“Sasa nitakupa mbinu na pia ujuzi wowote utakaotaka kwenye sekta hiyo ya mapenzi. Lakni sasa kunirekodi tu ni kunishtua na kunifanya niwe na wasiwasi juu ya kusambaa. Ujue siku hizi teknolojia imekuwa sana hivyo ikitokea ikasambaa basi uje nitakuwa nimepoteza kibarua changu. Ujue mjuku wangu katika vitu ninavyoviogopa na nisingependa vitokee kwa wakati huu ni kupoteza kazi katika shule hii ya wasichana. Sio kwa sababu ya kuwa wananilipa vizuri la hasha ni kwa sababu nafaidi vitu vizuri sana ambavyo vinanipa raha huku duniani”. Alisema kama akizikosa raha hizo basi atawahi kufa mapema.
Nilitamani kucheka lakini nilicheka kimoyomoyo na nilikuwa bize nikimsikiliza. Leo na mimi nilimkamata pabaya. Na nilataka kujua vitu vinavyomfanya kwa umri huo kuendelea kuwapagawisha wajukuu zake. Hili kwangu lilikuwa ni jambo la muhimu sana kuliko vyote. Nilimuahidi kumtunzia siri kama atanipa siri tutafanya siri. Mzee akatabasamu tabasamu lake ambalo linamfanya aonekane bado kijana. Wakati tukiwa hapo huku utamu wa mazungumzo ukikolea mara alikuja binti mmoja ambaye naye alikuwa si haba. Nilibaki nimemkodolea macho na kusubiri kwa hamu ataongea nini na babu G. Hama kweli dunia ina mambo na tembea uyaone maana binti huyo alifanya kitu ambacho kilinishangaza sana. Alifika na badala ya kuongea na Babu G alinijia moja kwa moja na kunisalimia kwa kunikumbatia. Alining’ang;ania kwa nguvu na alininong’oneza masikioni kuwa ananipenda. Nilibaki njia panda nikishindwa kuelewa nifanye nini.
Mapigo ya moyo yaliongezeka na nilikuwa sielewi nimjibu nini mara baada ya kuniambia kuwa alikuwa akinipenda. Sikuwahi kufikiria akilini mwangu kuwa inaweza kutokea binti huyo nikawa naye. Alikuwa ni mrefu sana na alijaliwa wembamba wenye mvuto. Sura alijaliwa na alikuwa ni binti ambaye inatosha kumwita mrembo. Baada ya kumbatio hilo lilonihamisha kutoka uliwengu huu na kunipeleka ulimwengu mwingine binti huyo aliniachia. Akanipa kikaratasi ambacho alikuwa ameandika namba zake. “Babu G naomba unisaidaie kazi yangu na mimi nipate ninachokipata”. Alisema binti huyo na kuzidi kuniacha njia panda.
Kwachu kwachu binti huyo kwa mwendo wa madaha alianza kuondoka. Nilibakia nimeshangaa na kushindwa kuelewa nini maana ya mchezo huo. Wakati nimeendelea kushanaga na kutafakari jambo hilo la kukumbatiwa na kutamkiwa maneno hayo yenye mvuto baba G aliniondoa kwenye mawazo.
“Mjukuu wangu umeonesha udhaifu wa hali ya juu. Kumbe ndo dhaifu hivyo. Sina uhakika kuwa una mpenzi au umeshawai kuwa na mpenzi. ”
“Kwa nini babu G kwani nimefanya nini cha tofauti. . ?”Nilimuuliza huku nikiendelea kutafakari kauli zake.
“Mjukuu wangu lazima utambue kuwa mwanaume haitakiwa kuwa dhaifu. Mwanaume inatakiwa utambue kuwa mwanamke ni zawadi na si fumbo. Zawadi siku zote inahitaji kufunguliwa na fumbo linahitaji kufumbuliwa. Mjukuu wangu futa zile picha nikufundishe ujanja.
Wanawake wameumbiwa wanaume. Wanawake ni zawadi na mwanamke siku zote ni dhaifu. Mimi kwa kuwa hapa shuleni wananilipa mishahara midogo hivyo huwa najilipa. . Haya ebu futa hizo picha zangu ili tuende sawa”. Aliongea babu G na kutulia.
Nilifikiria sana kufuta picha zile huku nikiwa na hofu huenda nikizifuta hawezi kunipa siri zake. Nilimwambia kuwa kwa kuwa giza limeshaingia ni vizuri kama nikawahi nyumbani maana babu atakuwa na wasiwasi. Hapo mzee huyo aliangua kicheko na kuniambia kumbe bado ni mtoto. “Mjukuu wangu kwa umri wako huo hutakiwa kuwahi nyumbani kulala mapema kama kuku. Au unawahi kupika? Babu G aliuliza huku akinikazia macho.
“Hapana sijawahi kupika na wala mimi sio kuku ila ni kifaranga. Bado ni mdogo hivyo nahitaji kufuata sheria za huko. Babu yangu namweshimu siwezi kumpanda kichwani”. Wakati nikitoa ufafanuzi huo mara mwalimu wa nidahamu alitujia. Alifika hapo na kutusalimia. Baada ya salamu aliniita pembeni tuzungumze kidogo. Alinambia kuwa kama nitaweza nimsaidie kuwasimamia wanafunzi muda wa prepo ambao unaaanza saa 2 usiku mpaka saa 4. Alinambia kuwa yeye siku hiyo alikuwa hajisikii vizuri hivyo alihitaji msaada. Mwalimu huyo alieleza kuwa wanafunzi hao wasiposimamiwa huwa hawasomi na muda mwingi huwa wapo bize wakichati na kutumia simu ambazo zinakatazwa.
Niliangalia saa yangu ndo kwanza ilikuwa saa moja na wanafunzi muda huo walikuwa vipindi vya dini. Nilifikiria ombi hilo na nilimwambia kuwa ngoja niende kwanza nyumbani kwa kuwa nilikuwa sijaenda. Kwamba nilikuwa na hofu kuwa babu yangu atakuwa na hofu juu yangu. Alinikubalia na hapo nilimwaga babu G nikimwabia kuwa nitarudi. Alifurhi maana ilionekana na yeye alikua akipenda kampani yangu. Huyo nilianza kuondoka na kuelekea nyumbani. Nilimkuta babu akiwa nje huku akisikiliza kipindi cha michezo. Nilimsalimia na kujiunga naye hapo. Nilimweleza nahataji kurudi kule kwa maana mwalimu wa taaluma alinambia nimsaidie jambo. Babu alaionesha wasiwasi wake na kuniuliza kwa nini napenda mambo y
Nilimwelewesha babu kuwa hasiwe na wasiwasi maana kama anaogopa mimi kutembea usiku nitalala kwa babau G. Babu hapo akatabasamu na kuniambia huyo mzee atakupoteza mjukuu wangu. Ataanza kukufundisha mambo ambayo yataharibu maisha yangu. Nilijaribu kumdadisi babu ili nijue mambo gani hayo lakini babu hakuwa wazi. Alichonambai kuwa mzee huyo hapaswi kuwa na urafiki na vijana maana anajua vitu vingi sana ambavyo ni sumu kwenye ubongo wa vijana. “Ujue Babu G si mtu mzuri na huenda ni mchawi kwa sababu mambo anayoyafanya kwenye shule hiyo ni mambo mazito sana lakini hatukuwahi kusikia kuwa amesimamishwa kazi au kufukuzwa kabisa”.
“Tatizo babu unapenda sana kuaamini kuhusu uchawi. Wewe mara ya kwanza uliwahi kuniambia kua mzee huyo ni mchapa kazi anayejituma sana na hiyo ndio sababu ya wao kumwamnini. ”
“Mjukuu wangu sio kila kitu nitakwambia vitu vingine havijengi vina bomoa. Mimi ni mtu mzima siwezi kukuambia mambo ya kipuuzi lakini nikiona unataka kukengeuka nitakueleza kila kitu. Lakini kama uanenda kwa ajali ya mambo ya shule wewe nenda mjukuu wangu. Ila kama ni kwa ajili ya mambo mengine jua sijabariki. Bado tunakupenda na tunataka uwe na maisha mazuri huko mbeleni. ”
“Babu usijali nitaenda na kurudi. . Na nimekuelewa sitofanya mambo mabaya na wala sitokuwa rafiki wa babu G”.
Nilimwabia hivyo na kuingia ndani. Muda ulikuwa umeenda niliongea na bibi na nilimuomba chakula aniwekee chumbani kwangu. Bibi yangu alikuwa mzungu hakuwa mtu wa kuhoji hoji sana aliniitikia na alinambia kaa kizungu take care. Niiondoka hima hima na kueleka huko shuleni. Nilikuwa natafakari sana kauli za babu huku nikitafakari pia mtazamo wake kuhusu babu G.
Bado wazo kuwa eti niache urafiki na Babu G alikuniingia akiliini. Kwanza nilikuwa nawaza jinsi ya kujifunza ufundi kwenye mapenzi. Maana mpaka nafika chuo nilikuwa simjui mwanamke. Nilikuwa muoga na wala sikuwahi kutongoza. Mabinti wa chuoni walikuwa wakinipenda sana na nilikuwa nikiwasaidia kwenye masomo lakini sikuwahi hata siku moja kuwatongoza.
Hali hii iikuwa ikininyima sana raha na kwa bahati mbaya wale ambao mimi binfasi nilitokea kuwapenda na kutaka wawe wapenzi wangu wote walikuwa wakinikataa. Nilishawai kukataliwa zaidi ya mara tano na siku zote nilijihisi mwenye mkosi. Kila ikitokea naona mwanamke ananikubali na kujilengesha siku nitakayomtamkia kuwa nampenda basi ndo siku hiyo hiyo ambayo atanikataa na siku urafiki utkwisha. Hli hii ilinijengea uwoga na niliacha kabisa kuwatongoza wasichana. Hayo ndo maisha ambayo niliyachagua. Nilikuwa nawaogopa sana na kila siku nilikuwa natafuta mbinu ya kuwajua na njia ambazo wanaueme wanatumia kuwapata wasichana. Sijisifii lakni nimekulia kwenye maadili ya dini.
Kuna kipindi nilipokuwa sekondari walikuwa wananiita Jose Paroko. Yaani nilikuwa mshika dini sana. Basi nilienda mpaka shuleni lakini wakati naingia nilikumbuka yule binti aliyenipa namba zake. Niliingiza mkono mfukoni na kukichukua kile kikaratasi na kuzisevu zile namba kwenye simu. Niliingia na niliongea maneno machache na Babu G kisha nikaingia kwenye bwalo ambapo watu walikuwa wakisoma. Niliingia na kukaa kiti ambacho nilionekana. Nia ni kuwafanya wanafunzi watambue uwepo wangu ili wasome na kuacha kupiga kelele. Walitulia na mimi nilichukua mitihani ambayo nilikuwa nikisahisha. Mara Boke alikuja na kunishika bega. Niligeuka na kumuuliza alikua akihitji nini. “Sahamai mwalimu nina tatizo je naweza kukaa hapa ili unielekeze?” Ilibidi kufunika ile mitihani yao. Sijakaa sawa yule binti aliyenipa namba naye alikuja na yeye alinishika bega. Hapo pozi likaisha. Nilipogeuka tulikutanisha macho na alinikonyeza. Kuduuuu kuduuuuu moyo wangu uliongeza mapigo. .
Mara wakaja tena mabinti wengine wawili na wao walionesha kuwa walikuwa wanahitaji msaada wa jambo. Bado nilikuwa sijajua ni jambo gani walikuwa wakihitaji niwasaidie. Wakazidi kuongezeka na kuongezeka. Wengine walikuwa nyuma yangu wengine walikuwa mbele yangu. Sikujua nini cha kufanya maana mimi nilikuwa mgeni wa mambo hayo. “Mwalimu kuna swali ya hesabu yametushinda tunataka utusaidie. ”Aliongea mmoja wao.
Kidogo moyo wangu ukatulia na nikawaambia basi wasinizunguke sana nitakosa hewa. Walivuta viti wakakaa na kuanza kuwaelekeza. Cha ajabu yalikuwa ni maswali yale yale ambayo niliyarudia mchana. Nilijua kabisa walielewa basi ndo hivyo huenda vipururu vilikuwa vikiwasumbua. Maswali yalikuwa mengi na kwa jinsi walivyokuwa wakiuliza maswali ya kuvuta muda tulijikuta saa nne imetufikia. Wanafunzi wengine walianza kuondoka tukabaki sisi. Ili kutokuvunja sheria za hapo ilibidi niwaambie waende kupumzika.
Ni kawaida kwa hapo ikifika saa nne kila mtu anatakiwa kuingia kitandani na saa nne na nusu taa zinazimwa. Kwa kuwa mwalimu alinisisitiza kuwa mwisho saa nne basi niliondoka na kwenda kwa babu G. Yule binti aliyenipa namba alinisihi nisiache kumtafuta. Alisema jambo hilo mbele ya wenzake jambo ambalo lilinikera. Lilinikera kwa maana lilikuwa na tafsiri kuwa mimi na yeye tulikuwa na mawasiliano.
Niliondoka na nilimpigia simu mwalimu wa taaaluma na kumweleza kuwa nimeifanya vyema kazi aliyonituma. Alinishukuru na kuniambia nisiwe na hofu nitalipwa pia kwa kazi hiyo. Sikulijua hilo kabla ila ilizidi kunitia moyo kumbe hapo shuleni kulikuwa hakuna kazi za bure. Nilienda mpaka getini na hapo sikumkuta babu G. Nilishangaa kwa sababu sio kawaida yake. Nilichukua simu yangu na kumpigia. Simu iliita mpaka ikakata na sikuelewa nini kilikuwa kikiendelea. Mawazo mabaya yalianza kunijia nikihisi huenda kuna jambo baya ambalo lilikuwa linafanyika muda huo. Niliendelea kusubiri hapo kwa muda wa dakika kadhaa ili nimuage mzee huyo. Hofu yangu ilikuwa huenda ameenda kufanya mambo yake. .
Kwa jinsi giza lilivyokuwa kumbwa niliogopa kwenda mwenyewe nyumbani. Niliogopa kwa sabaabu ili ufike nyumbani kuna korongo lazima ulipite. Korongo hilo lilikuwa na sifa mbaya ya kuwa na vitisho vya kishirikina. Ingawa nilikuwa siamini sana habari za kishirikiana ila waswahili wanasema lisemwalo lipo na kama halipo basi laja. . Sikutaka kulipuuza hilo ukizingatia kuwa tayari muda huo ulikuwa ni saa tano kasoro. Nilijipenda hivyo nilisema ngoja nisubiri kama dakika kumi kuisha ndo niondoke. Niliendelea kukaa hapo na kabla ya dakika kumi kuisha nilimuona babu G akija. Alikuwa akitembea kwa mwendo wa kasi na alikuwa akitokea kwenye mabweni ya wasicahana. Yaani huyu mzee nilikuwa hata simwelewi kwa sababu alionekana mstaarabu lakini kuna mambo mengine aliyokuwa akiyafanya ni mambo ya ajabu ambayo hayastahili kufanywa na mtu wa rika lake.
“Mjukuu wangu pole sana najua utakuwa umenisubiri kwa muda mrefu lakini usijali majukumu hapa yanakuwa mengi. Siunajua kuwa nipo mwenyewe hivyo kuna vitu yanilazimu nivifanye ili wanafunzi waweze kulala kwa usalama”.
“Sawa babau G pole kwa majukumu na sasa mimi nimemaliza yangu nataka niende nyumbani kupumzika. Nataka nikapumzikae maana siku ya leo yote sijapumzika kabisa.
“Sawa mjuuu wangu lakini wewe bado mdogo usipende kupumzika pumzika maana hivyo maenedeleo utayasikia kwa wenzako. Siri ya mafanikio duniani ni kuchelewa kulala na kuwahi kuhamka.
Babu G alianza porojo zake wakati na mimi ni mwanasayansi mzuri. Mimi najua kabisa mwanadamu anatakiwa kupumzika angalau masaa 8 kwa siku. Alafu yeye ananambia eti nichelewe kulala na niwahi kuamka. Nilimsikiliza kwa makini huku nikisubiri aniambie anisindikize ili niende nikalale. Aliongea mengi na nilipoona kuwa hagusii swala hilo la kunisindikiza ilibidi nimwambie ukweli kuwa anisindikize nyumbani.
“Mjukuu wangu siwezi kukusindikiza kwa maana hapa tayari ni usiku na kupaacha penyewe ni hatari. Hawa mabinti wana mambo mengi sana wengine wanaweza toka na kwenda ile shule ya jirani ya wavul
Maneno haya ya babu G yalizidi kunitia hofu na kupoteza kabisa nia yangu ya kwenda kulala kwa babu. Nilitafakari wazo lake la kulala kwake na kujikuta nalikubali. “Sawa babu G nipeleke basi kwako nikalale ili kesho niwahi kuhamka”.
“Safi kama umekubali kwenda kulala kwangu huwezi kulala mwenyewe. Wewe ni mtoto wa kiume lazima usiku huu ujilipe mshahara au unaridhaika na viposho unavyopewa?
“Sasa nitalala na nani?” niliuliza kwa sahauku.
“Wapo wengi sana wanaohitaji kukunwa mimi nimewakuna mpaka nimechoka lakini kamwe siwezi kuwamaliza. . Mjukuu wangu najua huyajui mapenzi na unataka kujifunza kuhusu mapenzi lakini cha kujua ni kwamba mapenzi ni vitendo hivyo utajifunza kwa vitendo. Nambie unataka msichana wa namna gani usiku huu?, . . Mweupe, mweusi maji ya kunde. Aliyenona mwenye makalio makumbwa au kimbaumbau. Mrefu au mfupi…
Babu G alaiongea utafikiri hao wanawake yeye ndo kawaumba. Kidogo na mimi nilianza kuhamasika na na upuuzi wa mzee huyo. Hapo mawazo ya ngono kwa haraka haraka yakaniletea jina la Boke. Nilijikuta natamka jina hilo mbele ya babu G. Babu G alicheka sana na kuniambia huyo hapana kwa sababu ni malaya sana na yeye ameshapita.
“Mjuukuuu wangu wewe unatakiwa nikupe demu ambaye hayajui sana mapenzi alafu ukishakuwa fundi ndo unaanza kuangaika na hao makurubembe. Ila nitakuletea yule ambaye alikupa namba yule naamini mtaendana. Hajamaliza kuongea niliona kuna binti alikuwa anakuja na macho yalinitoka kujua ni nani huyo usiku huo?.
Masikni alikuwa ni Boke binti ambaye binafsi nilitokea kumkubali sana. Nilibaki nimetaharuki nikisubiri kwa hamu na jamu nione binti huyo atasema nini. Alimvuta babu G pembeni na walianza kuongea maneno ambayo sikuyasikia vizuri. Ni kama walikubaliana jambo kisha binti huyo akaondoka. Nilimmezea mate maana umbo lake hata usiku huo lilijichora. Alijaliwa kwa kweli na kama wakati huo ninekuwa fundi nisingejali kama babu G kashapita u la. Nilibaki kula kwa macho ukizingatia na nguo alizovaa usiku huo wakusimama walisimama. Huyo kwa mwendo wa madaha bint huyo alairudi bwenini. Bado nilikuwa najiuliza maswali ambayo yalikosa majibu. Kwanza mabweni yalikuwa na matroni sasa inakuwaje mabinti wanatoka wanakuja mpaka huku kwa mlinzi?. Pili Babu G yeye kazi yake ni kulinda wezi hasa wanaotoka nje sasa mbona yeye anageuka kuwa mwizi. ? “Umeona sasa mjukuu wangu haya ndo maisha, unakula kuku na mayai yake. ” Sasa ili jina lako lisije likachafuka wewe chukua hizi funguo tangulia kule kwangu. . Kuna mawili huenda ukakuta mlango umefungwa au upo wazi. Ukikuta upo wazi ingia na ukikuta umefungwa fungua uingie. Pia unaweza kukuta kuna chakula au hakipo. Ukikuta chakula kipo kula ukikuta hakipo kaanga hata mayai ule. Kuna mawili unaweza kukuta vinavyokupendeza na vizivyo kupendeza ukikuta visivyo kupendeza basi vumilia ila usiniangushe mjukuu wangu. Babu G aliyaongea hayo huku akinikabidhi funguo. Nilichukua ile funguo huku nikiyatafakari yale maneno yake. Nilitaka kumwambia kuwa naogopa kwenda mwenyewe nikaogopa kwa maana angeanza kuniponda. Mzee huyu huwa na matusi ya rejareja hivyo nilijikaza kiume.
Huyo nikaanza kupiga hatua na kuiendea nyumba ya babu G. Nilipita sehemu zenye mwanga huku nikijipa ujasiri kuwa hakuna cha kunitisha. Hapakuwa mbali sana maana ni pembezoni tu mwa fensi ya shule. Sehemu hiyo kulikuwa na kigiza maana taa ya nje haikuwashwa. Sijui ni kwa nini lakini huenda labda ilikuwa ni mbinu ya mzee huyo. Niliuendea mlango na kugusa kitasa. . “Kwinyoo kwinyooo mlango ulifunguka ishara kuwa ulikuwa wazi. Niliingia huku pua zangu zikikaribishwa na marashi murua ya kuvutia. Nilishangaa na kujiuliza mzee huyo ameanza lini kutumia marashi tena ya kike. Giza lilikuwa limetawala kwenye chumba hicho hivyo ilinilazimu kuwasha tochi ya simu kabla ya kuitafuta swichi ya taaa. Niliipata na kuiwasha. Chumba kikawa cheupe.
Nilipigwa na butwaa na macho yangu yalikataa kuamini kile ambacho nilikuwa nikikiona. Binti ambaye aliachia mapaja yake wazi alikuwa amejilaza kwenye kitanda. Mpaja meupe peee na makalio yaliyojibinua yalitosha kabisa kuivuruga akili yangu. Mapigo ya moyo yaliongezeka na nilishindwa kuelewa huyo mwanamke ni nani na ameingiaje humo. Binti hakujigeuza wala kujitingisha aliendelea kulala hivyo hivyo ishara kuwa tayari alishapitiwa na usingizi. Haikuhitaji kuona sura ili kukiri na kugundua kuwa alikuwa amejaliwa na Mungu. Nilikuwa kama vile nimepigwa na ganzi na kushindwa kuelewa nifanye nini. Njaa yote iliyokuwa ikinisumbua iliniishia. Macho yakakataa kubanduka kwenye mwili wa binti huyo.
Kwa kuwa alikuw amejifanya amelala mimi niliamua kuendelea na kazi ya kutetea tumbo langu. Niliangailia kama kulikuwa kuna chakula kwenye nyumba hiyo. Bahati mbaya hakukuwa na chakula. Nikakukumbuka kuwa niliambiwa kuna mawili kukuta chakula au kukosa. Nikikuta natakiwa nile nikikosa basi nikaange mayai. Niliangaza huku na kule na kwa haraka na kwa macho ya njaa niliweza kuyaona hayo mayai. Kwa kuwa yalikuwa ni mayai ya kienyeji nilichukua ya kutosha na kuanza ufundi wangu.
Yaah kwenye sekta ya mapishi pia nipo vizuri. Nilikinukisha na kufanya chumba kizima kunukia harufu ya mayai na sio marashi tena ya yule mlimbwende aliyekuwa amejilaza pale kitandani kwa mitego.
Yaliiva na kwa jinsi nilivyokuwa na njaa sikutaka kusubiri alianza kuyala kwa bahati nzuri hapo pembeni kulikuwa na zile soda kumbwa. Nilitafuta glass na kujimiminia. Mara nilisikia mtu akijigeuzageuza hapo kitandani. Yeaha harufu ya mayai ilifanya yake. Na mimi nilijifanya sina habari niliendelea kula huku nikiongeza spidi ili niweze kushiba. Mrembo yule ambye nilikuwa simjui jina alijinyanyua hapo kitandani. “Mambo Ticha Jose”alitoa salamu mlimbwende huyo ambaye kiukweli mimi nilikuwa simjui jina inagawa sura haikuwa ngeni. Nilimuona kwenye darasa la form six. “Poa mambo vipi”
“Poa tu kumbe unajau kupiga hivyo. . Yaani nilishapitiw ana usingizi harufu ya mayai ndo imenishtua… Aliongea binti huyo huku akipikichapikicha macho yake.
“Kwaida karibu na wewe ule. ”Nilimwambaia huku nikimsogezea sahani.
Binti hakujivunga alijinyanyua hapo kitandani kizembezembe. Mungu wangu duhhh si matusi khanga aliyokuwa amejisitiri ilidondoka na kubaki na taiti ya ndani. Niliona visivyo stahili kuonwa. Hakuwa na habari wala hakujali alijisogeza akanawa mkono na kuanza kula. Mawazo yalienda mbali na sasa uchu wa ngono ulizidi kunitawala. Hofu kuu iliniingia na badala ya kuwaza raha ambazo nitazipa endapo nitashiriki mapenzi na binti huyo nilikuwa nawaza maradhi yanayotokana na kufanya mapenzi kama ukimwi, kisonono na gonoreha.
Mara sim yangu iliita na nilipaogalia alikuw anai Babu G.
“Vipi mjukuu wangu umepata chakula nilichokuandalia?” aliuliza babu G. .
Sikujua ni chakula gani alichokuwa akikiulizia babu huyo. Nilicheka na kumwambia ndio. Akanambia nisimwangushe hapo ndo sehemu ya kujifunzia. Basi babu G alikata simu yake. Nikabaki mimi na binti huyo. Niliamuona akipiga hatua na kuuendea mlango na kuufunga. Hakuwa na hofu wala wasiwasi zaidi alinisogelea… Huyu mwanafunzi alimfanya nini mwalimu wa watu?.. Whatsapp +255 758 018 597
Instagram bofya link hapa chini
https://www.instagram.com/swahilisimulizi/


Post a Comment

0 Comments