haitakutosha mama (Riwaya) - Utamu 18+




Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio kama saa ya kichina huku jasho jingi likinitoka na kulowanisha shati langu la mtumba nililo linununua juzi juzi huku mwili nao ukishindwa kuzuia wasiwasi nilio nao
Nesi akafungua mlango ambao ndipo mama yangu aliingizwa nilipo mleta baada ya kuugua gafla ugonjwa ambao kwa elimu yangu ya darasa la saba wala siuelewi unaitwaje
"Wewe ndio uliye mleta huyu mama humo ndani? "
"Ndio nesi"
"Anakuita"
Nikaingia huku nikiwa na shauku ya kujua nini alicho niitia mama kwani tangu nyumbani alikuwa akikoroma kama mtu anaye kata roho
Nikakuta mama amelazwa kwenye kitanda huku kando yake akiwemo dokta mtu mzima wa makamo
"Eddy mwa. . nangu nata. . ka nikutume"
Mama alizungumza kwa sauti ya kukata kata kama redio inayo poteza freguency
"Wapi mama yangu? "
"Kwa mama Caro kule Majengo mapya"
"Nika mwambije? "
"Mwambie aje"
Nikamtazama mama kwa macho makali ya kumchunguza nikagundua kuwa hali yake ni mbaya ila ana jilazimisha kuzungumza na mimi ili kunirithisha tu
Nikatoka bila kuaga huku nikivaa ndala zangu vizuri zinazo chomoka chomoka mikanda yake
Kabla sijatoka katika kordo ya hospitali kuna dada akanigusa mkono
"Kaka unaitwa na yule dokta"
Nikageuka ninapo toka nikakuta yule dokta aliyekuwa wodini amesima na kwa ishara akaniita
"Naam dokta"
"Ina bidi ufanye haraka kwani ugonjwa wa mama yako unahitaji kuwahiwa la sivyo tutampoteza"
"Sawa dokta ila mama anaumwa na nini? "
"Anaumwa na ugonjwa wa moyo pamoja na kisukari"
Moyo ukanipasuka nikajikuta nikichomoka kama mshale na kuanza kukimbia kwa kasi huku ndala nikizishika mkononi
Nikasimama kwenye geti kubwa la jumba la kifahari la mama Caro, kwa wenge nikajikva nikigonga kwa kutumia lapa
Mlinzi akafungua huku akiwa ameshika mbwa mkubwa na mkali ambaye mara zote nikitumwa kwenye hilo jumba ninaishia mlangoni kwa kumuogopa
"Vipi tena Eddy mbona juu juu"
"Kaka Salimu wee acha tu mama Caro nimemkuta? "
"Ndio yupo ndani tena ameingia muda si mrefu"
Nikaingia ndani nikiwa ninapiga hatua ndefu na za haraka hadi lango la kuingilia ndani
Nikaminya kengele nikasubiri kwa dakika kathaa mlango ukajifungua wenyewe sikustuka kwani unatumia umeme
Nikakuta mama Caro akishuka kwenye ngazi za ghorofani nikamsalimia
"Mama amelazwa hospitali anakuhitaji"
"Ana tatizo gani? "
"Dokta ameniambia kuwa ana kisukari na ugonjwa wa moyo"
"Mungu wangu. . twende haraka"
Tukatoka hadi nje na kuingia kwenye gari yake aina ya RANGE ROVER ambayo kwa mara ya kwanza ndio nina ipanda na kuigusa
Kwa mwendo wa gari lake tukafika hospitali haraka tukapitiliza hadi wodini
Hatukumkuta mama kwenye kitanda alicho lazwa wote tukajikuta tumepatwa na butwaa
Tukaelekea hadi ofisini mwa dokta huku machozi yakini lenga lenga
"Dokta kuna mgonjwa wangu mnene wastani hivi. . "
Dokta akamnyamazisha mama Caro kwa ishara ya kumnyooshea mkono
"Mgonjwa wenu hatupo naye tena"
Kizungu zungu kikali kika nikamata na kuanguka chini na kupoteza fahamu
***
Nikazinduka huku nikiwa sielewi na wapi nilipo huku tumbo langu likiwa na njaa sana
Kumbu kumbu za mazingira niliyopo zikaanza kunifahamisha kuwa hapo nipo hospitali
Nikaanza kupiga kelele za kuomba msaada, wakaingia manesi wawili na kuanza kunituliza na kurekebisha sindano ya dripu iliyo chomoka mkononi mwangu
Nikatuli huku nikibubujikwa na machozi,
"Nesi naombeni nikamzike mama yangu tayari nimesha pona"
"Kaka ni wiki moja imepita tangu uletwe hapa"
"Na nani? "
"Na mama mmoja nnene kiasi na mrefu"
Nikatambua atakuwa ni mama Caro, Baada ya masaa mawili mama Caro akaja huku akiwa amebeba chakula
Nikamsalimi na akaanza kunilisha chakula taratibu huku akinibembeleza
Kutokana na njaa kali sikuwa na jinsi ya kukila chakula cha mama Caro, japo mimi ni mwembamba ila nikazidi kuwa mwembamba na mwili wangu kupoteza nguvu
Siku iliyo fwata nikaruhusiwa kutoka hospitalini na tukaelekea nyumbani kwa mama Caro
"Eddy afya yako ikikaa sawa utakwenda kuliona kaburi la mama ehee"
"Sasa kwanini mumzike kabla ya mimi kujua? "
"Eddy hatukuwa na jinsi kwani wewe hatukujua kama utapona au laa kwani iliniladhimu nikupeleke hospitali ya gharama kuyaokoa maisha yako"
Nikajikuta sina cha kuzungumza zaidi ya kusema asante,
Akanionyesha chumba changu cha kulala kutokana muda ulikuwa umekwenda nikapanda kitandani na kulala huku mawazo yangu yakiwa yanamuwaza mama yangu
Nikiwa usingizini nikaota watu wengi wakiwa wanalipiga mawe jeneza la mama yangu na wengi wao ni walevi walio kuwa wakija katika baa ya mbege ya mama
Mmoja wao akanifwata na kunipa jiwe kubwa nimponde mama yangu la kichwa la sivyo wananiua kwa kunipiga
Nikastuka usingizini huku nikipiga makelele nikiliita jina la mama
Nikastuka mlango ukifunguliwa na mama Caro akaingia huku akiwa amevaa night dreas inayo muonyesha chupi aliyo ivaa
"Vipi Eddy? "
"Ni ndoto tu"
"Ndio unapiga kelele hivyo? "
"Nisamehe mama"
"Hakuna haja ya kuniomba msamaha Eddy"
Mama Caro akakaa pembeni yangu na kunipitishia mkono kiunoni huku mwengine akipapasa nywele za kifuani mwangu
Nikakohoa kidogo kumstua mama Caro ila hakustuka akazidi kuushusha mkono wake hadi tumboni kwangu
"Ma. . . ma"
Alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiuchukua mkono wangu na kuuweka juu ya maziwa yake makubwa kiasi
"Mi. . . mi naumw. . a"
Nilizungumza huku mapigo ya moyo yakianza kunidunda taratibu
Mama Caro akaushusha mkono wake hadi kwenye koki yangu iliyo simama na kuanza kuiminya minya kama mtu anaye chagua embe tosa kwenye genge

akapitisha mkono wake hadi kwenye koki yangu iliyo simama na kuanza kuiminya minya kama mtu anaye chagua maembe baoni
Mama Caro akaitoa koki yangu nje nikamuona akiitazama kwa macho yenye uchu mpaka udenda ukamwagika
"Mama mi naumwa mwenzio"
Niliendelea kujitetea huku sauti yangu ikaanza kunilegea kama gari inayopanda mlima huku ikikata kata mawasiliano na kwenye injini
Mama Caro akaanza kuichua koki yangu..
Jimama Hili lilimfanya nini katoto cha watu? Whatsapp - +255 758 018 597


Post a Comment

0 Comments