Faraja ya Haba (Riwaya) - Utamu 18+




"swai.... Ivi wewe ni mwanaume wa aina gani, upendwe vipi jamani swai... Nakupenda swai, nimekukubalia lile ombi lako la kunioa"
Aliongea Zahra, lakini swai alikuwa bize na simu,... Zahra aliinyakuwa ile simu huku akisema
"ina maana hii unaisikiliza sana kuliko mimi"
Aliendelea kuongea baada ya kuona kimya kimetanda katika kinywa cha swai,...
"kwani wakati mimi nakufuata nilikuwa na fujo za aina hiii... Mara ya kwanza Uliniokotesha chupi yako pale bafuni.."
Aliongea swai, kisha Zahra akadakia
"lakini kwani uliiokota swai.. Si niliiokota mwenyewe siku ile... Basi Nisamehe"
Aliongea Zahra kisha swai akaendelea
"ziku zilizofuatia... Ukaniuliza kazi yangu, nikakujibu vyema kabisa... Je wewe uliniambiaje.... Eti kazi yangu hata rangi ya kucha zako siwezi kununua,... Ukaniangalia juu mpaka chini.. Sio wewe"
Swalehe alikuwa akimkumbushia miezi ya nyuma, vitimbi alivyo mfanyia swai...
"lakini ni kawaida mwanaume kupewa changamoto swai... Please, moyo wangu unaishi kwako"
"sikia Zahra.... Mimi sikutaki tena, yaani sasa hivi nakuona kama takataka vile... Sikutaki.. Narudia tena,... Si ku ta ki, umeielewa?"
Aliongea Swalehe tena kwa msisitizo wa hali ya juu,
"kosa langu"
"unalijua mwenyewe, na sitaki mazoea na wewe... Sitaki..."
"sawa.... Eti sasa hivi chupi hazikusumbui eee..."
Zahra aliongea ujinga, mana kumbe anaanika michupi yake akidhani swai atasisimka na kwenda kumtongoza,.. Sasa kumbe ujinga aliofanya, ni kweli zile chupi ni mpya, afu Swalehe na chupi mpya, wala hazimtishi... Sasa Zahra sjui kanunua sjui kakopa... Anaanika tano tano.. Kumi kumi... Utafikiri mhudumu wa gesti...
"mimi sijui"
"mbona siku ile ulitetemeka kwa kuona nguo yangu... Nashangaa nimekuekea mlangoni kabisa lakini umekazaaa... Mpaka umekwenda kushtaki"
"Zahra, naomba utoke ndani kwangu... Tusije gombana buree"
"kutoka nitatoka... Lakini jua nakupenda swai... Nakupenda kweli swai na mama yako anajua hilo"
"anajua yeye.. Kwani si ana watoto wawili wa kiume... Atakuozesha kwa kaka yangu"
Aliongea Swalehe huku Zahra akitoka kwa hasira, mana maneno ya Swalehe yalikuwa yakimkera katika moyo wake,...
Baada ya masaa mawili kupita,.. Manyunyu ya mvua alianza kunyesha, Zahra kwa kusudi zake akampigia Swalehe simu... Zahra alipewa namba ya swai na mama yake Swalehe, na swai anaijua namba ya Zahra kwa maana alishawahi kumsumbua nayo mpaka ikafika hatua kaiblock namba hio... Sasa leo katumia namba nyingine...
"hallo, nani mwenzangu"
Swai aliuliza baada ya kupokea simu hio
"Samahani, ni mimi Zahra... Swai... Naomba unitolee hizo nguo zangu.. Nakuja kuzichukua ndani kwako"
Zahra alimwambia swai kuwa aanue hizo chupi, kisha atakwenda kuzichukua ndani kwa swai..
"ivi Zahra, una akili timamu wewe... Yaani mimi niamke hapa nianze kuanua nguo zako za ndani eti kisa zisiloe.... Ebu toa uchizi bwana"
"swai, kweli mvua italoesha afu zishaanza kukauka jamani swai nisaidie jamani"
"sitaki bwana... Na sitaki unipigie simu"
Aliongea swai huku akikata simu,.. Ni dhahiri kweli Swalehe hamtaki tena Zahra,.. Na alimpenda sana kwa uvaaji wake wa heshima, lakini baada ya kumletea nyodo sasa hamtaki tena
Sasa ilipofika jioni umeme ulikata,.. Sasa Zahra kwa hasira alitoka huko kwao mpaka kwenye mlango wa swai
"wewe toa hela ya umeme... Wewe ndio unatumia umeme kuliko watu wote humu ndani,... Na hiki kidude chako hapa nje ndio kinatudanganya... Funguaaaaaaa"
Aliongea Zahra tena kwa kupiga kelele, mpaka nyumba ya pili huko wanasikia,.. Swai hakujibu kitu bali aliamka kisha akafungua mlango wake.... Sasa ile anafungua tu mlango Zahra kaingia kwa kumsukuma Swalehe.... Mbaya zaidi Zahra alikuwa mwenye kanga moja peke yake,..
"Zahra unafanya nini na giza hili"
"sikia swai.. Tayari nimeshapiga makelele na watu wamejua naingia kwako, chupi hii hapa nimeichana chana kama ushahidi, sasa ukisema fyoko... Napiga kelele unanibaka,... Swai? Leo nataka nilale hapa kwako, unifanye utakavyo mimi nipo tayari,... Kama moyo unaishi kwako, iweje mwili niuache mbali,.... Swai, leo nataka unikamue utakavyo"
Katika mahusiano ya sasa hivi, hata wanawake wamekuwa watongozaji hodari, tena ni wabaya sana kwenye mistari yao,.. Mwanamke akiamua kumtongoza mwanaume,... Aisee hata mwanaume haoni ndani,... Lakini sasa hakuna hasira wala chuki pale mwanaume akitongoza na kukataliwa,.. Ila kuna hasira na chuki pale mwanamke anapomtongoza mwanaume na kukataliwa, na ndio mana ni ngumu mwanamke kumtongoza mwanaume, mana akikataliwa anajiona kituko flani hivi, na anaweza kujenga bifu na wewe kama mnaonana mara kwa mara.. Lakini kwa sisi wanaume tukikataliwa hua tunaona ni simpo tu, cha zaidi labda tuanze kusema tu, ooohh kwanza mbaya, huna chura, sjui sura huna.... Tukisha sema hivyo tu, ujue hapo ndio basi,... Lakini kwa mwanamke, linamkaa kifuani na kujiona yeye si lolote mana katongoza afu kakataliwa... Inamuuma sana, tena sana, anaweza hata kujiua kama kweli alimpenda mtu na akakataa...
Sasa Zahra leo kaamua kujibakisha, (kujipeleka kubakwa na Swalehe) mana ameongea yote, kamuanikia mpaka chupi mpya mlangoni kwake ili swai asisimke nazo aweze kumkubalia, lakini pia akagonga mwamba, sasa leo kaamua kuja mwenyewe tena chupi ikiwa mkononi tena imechanika mithili ya mwanamke aliobakwa,.. Wakati huo Swalehe aliwasha taa za solar, mana umeme umekatika tu na wala sio luku,... Lakini Zahra kaja kudai hela...
"Kama moyo unaishi kwako, iweje mwili niuache mbali,.... Swai, leo nataka unikamue utakavyo"
Aliongea zaru baada ya kuingia kwa Swalehe bila idhini yake,... Swai kweli kaona kachupi kamerushwa kitandani akiwa na maana wanatakiwa wakafuate kale kachupi kule...
"utoe nguo yako na uondoke"
Aliongea swai lakini wakati huo mashine yake ilishakuwa ngumu,.. Mana yake tayari hisia zimesha panda,.....
"swai, hivi wewe ni mwanaume wa aina gani... Kwa jinsi nilivyo, kuna wanaume ambao wanatamani angalao wapate nafasi ya kuwa chupi niwavae, leo nakuletea mwenyewe unaniringia"
Aliongea zaru, na kweli zaru alikuwa msichana mrembo sana na mwenye umbile la kipekee,... Lakini sasa ni mcharuko sana...
"huyo mwanaume mwenye fikra hizo, ni mjinga... Ni bora niwe chupi ya kichaa ila sio wewe... Sasa skia, chukua kinguo chako kile, na uangalie pale kwenye mita yangu nadaiwa kiasi gani nikupe uende..."
Aliongea swai huku zaru akamuangaliaaaa..... Mara swai karukiwa, sasa kwa vile hakutegemea kirukiwa,.. Alijikuta kadondokea kwenye sofa, afu zaru akaja kwa juu,... Na ni kweli zaru hakua hata na chupi, hivyo kwa zile purukushani za hapo kwenye sofa,.. Ile kanga ilikuwa ikifunguka funguka..
"hivi swai unajiona we mzuri sana eee??.... Hebu ona ub…** wako ulivyo simama"
Aliongea kisha akai…..
Whatsapp +255 758 018 597
ENGLISH COURSE
Kama upo nje ya Dar utapata huduma kwa Whatsapp. Namba ni
+255 758 018 597.
Kwa wasiojua kabisa hata kusoma vizuri pia tunawapokea.


Post a Comment

0 Comments