Ivi
wewe mwalimu unaakili kweli au umeshalogwa. Halima alianza kumpa makavu mwalimu
Abdull. "Wewe mwalimu nzima lakini umekaa kishamba shamba tu. . jiangalie
juu mpaka chini wewe ni wakukupa namba yangu. . jee ni yanini hebu niambie. na
ukirejea tena kuniomba namba ya simu darasa zima na shule mzima itajua kama
mimi ni waaina gani sawa. . kwa heri. . aliaga na kuanza kutembea huku sketi
yake ya kitambaa cha mpira ikimbiringishika kwa mwendo wa kuchezesha kiuno. .
Wakati anaondoka Mwalimu Abdull alipigwa na bumbuwazi. . . asijue nini
lakufanya na taratibu alirejea ofisini. Kutokana na mughumi alokua nao na
mawazo kichwani kwake alishindwa hata ni kumjibu mwalimu bi Aisha kwamba tayari
alishamaliziana na Halima. Halima aliingia darasani na kuendelea na majukumu
mengine. . lakini moyo wake wote ulikuwa unashughulika na Hassan. . alijisemea
moyoni mwake . . jee nitaanzaje anzaje kumteka Hassan katika moyo wangu. . au
nimtamkie dhahir watu wote wajue. . dah kama ni mtihani basi huu ndio mgumu. .
maneno hayo ni ya halima alikua akijiwaziya. Upande wa pili nako mambo yalikua
moto kwani mwalimu bi Aisha licha ya umri kuwa mkubwa kwa Hassan lakini alisha
zama katika moyo wa Hassan. . . alijiuliza ivi Halima na Hassan niwapenzi au
vp. . . alitamani arudi tena darasani ili aongee na Hassan. . lakini nafsi
ilimsuta. . . aliwaza na kuwazua mwisho uvumilivu ulimshinda aliamua leo leo
amwite Hassan ili amuambie ukweli kwamba anampenda. . . . mara alikumbuka
kwamba ilikua amepanga kuongea na Halima. . . Bi Aisha alitoka nje ya ofisi
kuangalia jee Halima anamsubiri au vp. . cha ajabu hakuwepo Halima wala mwalimu
Abdull ktk eneo alilo waacha kitu kilichompa mshangao Mwalimu Bi Aisha.
"Waimeendea wapi hawa au mwalimu Abdull kesha jibebea zigo lile. . maanake
hachelewi kutongoza wanafunzi mwalimu huyu"mwalimu bi Aisha alijisemea
peke ake. . Lakini mara akamuona akamuona mwalimu Abdull anatoka ofisini huku
akiwa eweka mkoba wake mgongoni na helment mkonono akiashiria wazi anaenda
zake. Vp mwalim mbona unaondoka mapema. . au unapromiss na yule bint. . . mwalimu
Bi Aisha alimuuliza mwalim Abdull. Chaajabu Mwalim Abdull hakujibu kitu
chochote alibaki kama bubu tu. . Mwalimu bi. Aisha alishangaa sana kuona
mwalimu mwenzake yupo katika hali ile. . . lakini ukweli ni kuwa mwalimu Abdull
maneno alo ambiwa na Halima yamempata. alijiskia mnyonge. . . ajiskia kichwa
kina muuma. . . aliwaza jee Halima atampataje. ? Mwalimu Abdull alipanda
pikipiki yake nataratibu aliondoka shule huku kichwani akiwa na msongo wa
mawazo. . . Mwalimu bi Aisha nae alirudi ofisini huku na yeye kichwani akiwa na
suali moja tu jee atampataje Hassan. . . . . Halima akiwa amekaa na shoga yake
Asia darasani alitamani asogee alipokaa Hassan lakini akikumbuka kituko alicho
kifanya cha kumpa denda wakati mwalimu yumo darasani alijiskia aibu. . . . Alimshauri
shoga yake ili aende akampeleke lilipo dawati la Hassan ili akamuombe radhi. .
. Asiali alimkubalia na taratibu walisogea alipoketi Hassan ambaye alikua bize
na kusoma. . Asalam alykum Hassan. Asia alitoa salam kumpatia Hassan. .
Waalykum salam hamjambo. . Hassan alijibu. Hatujambo. . . waliitikia wote
wawili. . Baadae Halima alimbania jicho Asia ili awaache waaongee na Hassan. .
Asia alifahamu na alizuga taratibu aliondoka Huku akiwa anatafuna kucha zake
mrembo Halima aliaza kuomba msamaha. . HASSAN naomba unisame my. . Halima
alimuambia Hassan. Nimekusamehe sawa lakini siku yapili usirudie sipendi mimi
mambo hayo. . Hassan alijibu. Ahsante nashkuru. . Halima aliitikia na yeye. .
Baadae kimya kilitawala huku Halima akiwa anatafuna kucha zake huku machozi
yanamwagika. . . . mawazo yalimpeleka mbali. . alikumbuka kipande fulan cha
move ya titanic. . . moyoni alijiimbia nyimbo ya celina dion . . . . .
"""moyo wake ulijiimbia na kujikuta yupo katika furaha ya moyo.
. dah mapenzi jamani sio mchezo. . . Halima aliimba kimoyo moyo. . .
"""Every night in my dreamsI see you, I hear youThat is how I
know you go onFar across the distance
And spaces between usYou have come to show you go onNear, far, wherever you areI believe that the heart does go onOnce more you open the door
And you're here in my heartAnd my heart will go on and onLove can touch us one timeAnd last for a lifetimeAnd never let go till we're goneLove was when I loved youOne true time I hold toIn my life we'll always go onNear, far, wherever you areI believe that the heart does go onOnce more you open the doorAnd you're here in my heart
And my heart will go on . . . Mwisho Hassan aligundua kwamba Halima ilikua analia. . . Halima. . . . Halima. . . . vipi mbona unalia. . . Hassan aliuliza kwa upoleee. . . . . . na. . . . na. . . . na. . . nakupenda Hassan. . . . Halima uvumilivu ulimshinda alimtamkia maneno hayo Hassan. . . tobaaaaaa. Hassan alibaki ameganda tu asijui nini chakujibu. . Mara Mwalimu bi Aisha aliingia darasani kwani nae uvumilivu ulimshinda na kuamua moja kwa moja aje darasani kumuona Hassan. . . . Alipo ingia tu. . . . Hakuamini macho yake. . . Ilekuingia tu hakuamini macho yake. . mwalimu bi Aisha alimia moyoni kutokana na kile alicho kikuta kwani nidhahiri kuna jambo baina ya Halima na Hassan. alikumbuka siku ya mwanzo darasani kituko kilicho tokea jinsi HALIMA alivyo mfanyia Hassan . . kitendo kile cha busu tena la mdomoni alichofanyiwa HASSAN kilimuumiza sana . . bi Aisha na leo hii tena anawaona katika hali ya upamoja aliumia sana. . Halima njoo. . . Bi Aisha ilimwita Halima. . Halima bila ya ajizi alifuata mwito huku wanafunzi wengi hasa wale mafisadi fisadi wakimkodolea macho na kufatilia kwa karibu kujua nini kinaendelea. . Halima na Mwalimu bi Aisha walifutana mpaka katika darasa fulani ambalo halina wanafunzi kwa kipindi hicho na kukaa kitako. . Halima naomba tuongee nna maongezi na wewe kidogo. . alianzisha stori mwalimu bi Aisha. Ok ongea tu hamna shida. . Halima alijibu lakini huku akionesha ishara ya dharau flan ivi. "Mwalimu Abdull amenituma nije kwako jee . . unaniruhusu niseme kile alonituma au vp?mwalimu bi Aisha alimuuliza Halima. Ivi badala ya ualimu umeshaanza na kazi nyingine ya ukuadi. . au unataka umaarufu kupitia kwangu. . sikiliza wewe mwalimu uchwara nakuomba unikome tena unikome. . . kama unaham ya mwalim Abdull chukua wewe au kampe mama yako. . . Halima alifoka kama nyoka alotiwa mafuta ya taa. . Halima alinyanyuka na kumsogelea bi Aisha ambaye nikama amechomoa moto. . alipo mfikia alimuwekea kidole usoni na kumsukuma huko. . . . "mtu mzima hasutwiiii looooh shetani mkubwa wee"halafu halima akatoka mbio darasani mule. Mwalimu wa watu bi Aisha alibakini na mshangao. . . hakujua nini cha kufanya. . alitaka kumuunganisha Halima kwa mwalim Abdull ingwa hakumtuma lakini lengo likiwa ni yeye apate nafasi ya kuingia kwa Hassan ambae tayar Halima alisha penda lakini juhudi zake ziligonga mwamba. alitaman Halima arudi ili amueleze ukweli kwamba yeye anampenda Hassan. . . lakini wapi Halima huyooooo anatokomea mwelekeo wa darasa lake. . alijifikiria ni vipi na wapi atampata Hassan. . . . hakufikiri kua Hassan ni mwanafunzi wake. . mapenzi hayachagu wala hayana rika. mwisho usingizi ulimchukua mwalimu bi Aisha. . Muda wa kuondoka shule uliwadia wanafunzi wote waliondoka na hata waalimu pia waliondoka. . na geti lilikomewa bila ya kujua kwamba mwalimu bi Aisha alijilalia darasani. . Njiani huku wakielea lilipo gari zuri la kifahari Asia na Halima walikua wakiongea na kucheka lakini Asia aligundua kua rafiki yake yaani Halima hakua na furaha. . Vip my mbona leo huna furaha tatizo nini. . ?Asia alimuuliza Halima. Dah rafiki inabidi nikuambie tu . . . mwenzako nimezama katika penzi zito. . . Halima bila ya aibu alifunguka kumuambia Asia. . Umezama?mbona sijakuelewa shost ?haya umezama wapi tena. Halima????Asia alimuuliza Halima kwa mshangao. . . "Sikiliza Asia . . mwenzako nampenda Hassan . . yaani niko tayari kwa chochote kile mbele ya Hassan. . sisikii sioni. . naweza hata kuuwa mtu kwa sababu ya Hassan. Alizidi kusisitiza Halima. Pole sana rafiki lakini jee ushamwambia HASSAN kwamba unampenda?Asia alitupia suali hilo kwa Halima. Dah rafiki bado sijamueleza HASSAN kwamba nampenda na kibaya zaid sijui nianzie wapi. . . darasan nilipokua namuomba msamaha nilimuanzia kumueleza lakini bado haja nielewa. . Sasa jee unanishaurije rafiki yangu. Kabla hawaja ingia garini walipata taarifa mbaya ya ajali iliyompata mwalim Abdull. . Wanafunzi na waalimu wengi walihuzunika kusikia mwalimu abdull amepata ajali lakini kwa upande wa Halima wala hakujali na hakua na mshangao wowote. . . Jee mwalimu abdull ilikuaje akapata ajali. ?Wakati anaondoka shule mwalimu Abdull hakuwa sawa na hii nikutokana na kushambuliwa kwa maneno na Halima. sababu ilikua ameamua kutaka kumtongoza . . . na ukweli nikwamba mwalimu Abdull alitokezea kumpenda Halima. . . hivyo alipookataliwa na kuona ishara ya kutokubaliwa na Halima basi ilimlazimu aelekee nyumbani kupunzika. . bahati mbaya kwa vile alikua na mawazo kichwani huku anaendesha pikipki yake ilikwenda kugonga gari aina ya fuso kwa nyuma. . . bahati mbaya mwalimu Abdull anguka na kuumia vibaya sana na amelazwa ktk chumba cha wagonjwa mahtuti. . Wanafunzi wengi na waalim walimiminika hospitali kumjulia hali mwalimu wao mpendwa. . . mwalim Abdull. miongoni mwao ni Hassan ambae haelewi chochote kinacho endelea. juu yake. . Asia alimshawishi Halima iliwaende kumuona mwalim Abdull. Halima alikubali ijapo kua ni kwa shingo upande. . walipo fika ilikua wanaruhusiwa kuingia chumbani mmoja mmoja. . ilifika zamu ya Halima kuingia . . dah. . . bora asingali ruhusiwa kuingia kwa sababu hakua na nia njema. . alipofika tu jambo la mwanzo alondosha mashine ya kupumulia usoni mwa mwalimu Abdull. . hapo mwalimu Abdull alianza kutoa puunzi na hakuhimili kupumua. . Halima alipo ona atakata roho aliirudisha na kumuwekea. . baadae akaanza kumtukana. . "wee bwege umeona faida ya kunitaka mimi. . . jee umeona gharama yangu. . ndio nakuambia ukome ukomae kunifata fata mimi. . . mimi sio wa mchezo mchezo. . utakufa bwege weyeeee . . . kuwa makini na mimi vyengine ni maji marefu havipiti visamaki vidogo vidogo kama wee. . . mbwa mkubwa wee. . na bahati yako hukufa lakini ni onyo hilo. . kwa heri nakutakia mapunziko mema. . . Halima alimalizia kumtukana na kumsimanga mwalimu Abdull. . Halafu huyo akatoka. . . wakati wote huo mwalimu Abdull hakua na lakusema. . kwani alikua mahtuti hajijui hajitambui. . . Mwalimu bi Aisha ilifika jioni saa kumi na mbili kama hajashtuka. . . mlinzi wa shule wa zamu alifika na kwa siku hiyo ilikua ni mgeni kabisaaaa. . na alikua ni mtumiaji unga. mlinzi alianza kukagua darasa moja baada ya jingine mwisho alifika darasa alilokua bi Aisha. . mlinzi yule alipatwa na mshangao. . . aliwaza huyu ni nani mbona kalala darasani . . . alifikiri ni mwanafunzi kwani sura na umbo lake mwalimu bi Aisha alionekana mtoto mdogo yaani mwari. . . na hasa kwa kua hajaolewa ndio zaidi. . . mlinzi alifiki nini chakufanya mwisho alipata wazo la kumbaka. . ali chomoa panga lake na kuligonga katika dawati ambalo mwalimu bi Aisha kalala. . mwalimu bi Aisha alistushwa na mshindo ule wa panga hivyo alistuka haraka. . . Tulia hivyo hivyo ukipiga kelele nakukata kwa panga . . hunijui skujui. . Dah maskini Mwalimu bi Aisha . . . ilibidi atii amri kwa ajili ya kuokoa roho yake. . . Naomba ufate maelekezo yangu. . . sawa. . alitoa amri mlizi. ok sawa usinipige. . . . Bi Aisha alianza ku…..Whtspp – +255 758 018 597
And spaces between usYou have come to show you go onNear, far, wherever you areI believe that the heart does go onOnce more you open the door
And you're here in my heartAnd my heart will go on and onLove can touch us one timeAnd last for a lifetimeAnd never let go till we're goneLove was when I loved youOne true time I hold toIn my life we'll always go onNear, far, wherever you areI believe that the heart does go onOnce more you open the doorAnd you're here in my heart
And my heart will go on . . . Mwisho Hassan aligundua kwamba Halima ilikua analia. . . Halima. . . . Halima. . . . vipi mbona unalia. . . Hassan aliuliza kwa upoleee. . . . . . na. . . . na. . . . na. . . nakupenda Hassan. . . . Halima uvumilivu ulimshinda alimtamkia maneno hayo Hassan. . . tobaaaaaa. Hassan alibaki ameganda tu asijui nini chakujibu. . Mara Mwalimu bi Aisha aliingia darasani kwani nae uvumilivu ulimshinda na kuamua moja kwa moja aje darasani kumuona Hassan. . . . Alipo ingia tu. . . . Hakuamini macho yake. . . Ilekuingia tu hakuamini macho yake. . mwalimu bi Aisha alimia moyoni kutokana na kile alicho kikuta kwani nidhahiri kuna jambo baina ya Halima na Hassan. alikumbuka siku ya mwanzo darasani kituko kilicho tokea jinsi HALIMA alivyo mfanyia Hassan . . kitendo kile cha busu tena la mdomoni alichofanyiwa HASSAN kilimuumiza sana . . bi Aisha na leo hii tena anawaona katika hali ya upamoja aliumia sana. . Halima njoo. . . Bi Aisha ilimwita Halima. . Halima bila ya ajizi alifuata mwito huku wanafunzi wengi hasa wale mafisadi fisadi wakimkodolea macho na kufatilia kwa karibu kujua nini kinaendelea. . Halima na Mwalimu bi Aisha walifutana mpaka katika darasa fulani ambalo halina wanafunzi kwa kipindi hicho na kukaa kitako. . Halima naomba tuongee nna maongezi na wewe kidogo. . alianzisha stori mwalimu bi Aisha. Ok ongea tu hamna shida. . Halima alijibu lakini huku akionesha ishara ya dharau flan ivi. "Mwalimu Abdull amenituma nije kwako jee . . unaniruhusu niseme kile alonituma au vp?mwalimu bi Aisha alimuuliza Halima. Ivi badala ya ualimu umeshaanza na kazi nyingine ya ukuadi. . au unataka umaarufu kupitia kwangu. . sikiliza wewe mwalimu uchwara nakuomba unikome tena unikome. . . kama unaham ya mwalim Abdull chukua wewe au kampe mama yako. . . Halima alifoka kama nyoka alotiwa mafuta ya taa. . Halima alinyanyuka na kumsogelea bi Aisha ambaye nikama amechomoa moto. . alipo mfikia alimuwekea kidole usoni na kumsukuma huko. . . . "mtu mzima hasutwiiii looooh shetani mkubwa wee"halafu halima akatoka mbio darasani mule. Mwalimu wa watu bi Aisha alibakini na mshangao. . . hakujua nini cha kufanya. . alitaka kumuunganisha Halima kwa mwalim Abdull ingwa hakumtuma lakini lengo likiwa ni yeye apate nafasi ya kuingia kwa Hassan ambae tayar Halima alisha penda lakini juhudi zake ziligonga mwamba. alitaman Halima arudi ili amueleze ukweli kwamba yeye anampenda Hassan. . . lakini wapi Halima huyooooo anatokomea mwelekeo wa darasa lake. . alijifikiria ni vipi na wapi atampata Hassan. . . . hakufikiri kua Hassan ni mwanafunzi wake. . mapenzi hayachagu wala hayana rika. mwisho usingizi ulimchukua mwalimu bi Aisha. . Muda wa kuondoka shule uliwadia wanafunzi wote waliondoka na hata waalimu pia waliondoka. . na geti lilikomewa bila ya kujua kwamba mwalimu bi Aisha alijilalia darasani. . Njiani huku wakielea lilipo gari zuri la kifahari Asia na Halima walikua wakiongea na kucheka lakini Asia aligundua kua rafiki yake yaani Halima hakua na furaha. . Vip my mbona leo huna furaha tatizo nini. . ?Asia alimuuliza Halima. Dah rafiki inabidi nikuambie tu . . . mwenzako nimezama katika penzi zito. . . Halima bila ya aibu alifunguka kumuambia Asia. . Umezama?mbona sijakuelewa shost ?haya umezama wapi tena. Halima????Asia alimuuliza Halima kwa mshangao. . . "Sikiliza Asia . . mwenzako nampenda Hassan . . yaani niko tayari kwa chochote kile mbele ya Hassan. . sisikii sioni. . naweza hata kuuwa mtu kwa sababu ya Hassan. Alizidi kusisitiza Halima. Pole sana rafiki lakini jee ushamwambia HASSAN kwamba unampenda?Asia alitupia suali hilo kwa Halima. Dah rafiki bado sijamueleza HASSAN kwamba nampenda na kibaya zaid sijui nianzie wapi. . . darasan nilipokua namuomba msamaha nilimuanzia kumueleza lakini bado haja nielewa. . Sasa jee unanishaurije rafiki yangu. Kabla hawaja ingia garini walipata taarifa mbaya ya ajali iliyompata mwalim Abdull. . Wanafunzi na waalimu wengi walihuzunika kusikia mwalimu abdull amepata ajali lakini kwa upande wa Halima wala hakujali na hakua na mshangao wowote. . . Jee mwalimu abdull ilikuaje akapata ajali. ?Wakati anaondoka shule mwalimu Abdull hakuwa sawa na hii nikutokana na kushambuliwa kwa maneno na Halima. sababu ilikua ameamua kutaka kumtongoza . . . na ukweli nikwamba mwalimu Abdull alitokezea kumpenda Halima. . . hivyo alipookataliwa na kuona ishara ya kutokubaliwa na Halima basi ilimlazimu aelekee nyumbani kupunzika. . bahati mbaya kwa vile alikua na mawazo kichwani huku anaendesha pikipki yake ilikwenda kugonga gari aina ya fuso kwa nyuma. . . bahati mbaya mwalimu Abdull anguka na kuumia vibaya sana na amelazwa ktk chumba cha wagonjwa mahtuti. . Wanafunzi wengi na waalim walimiminika hospitali kumjulia hali mwalimu wao mpendwa. . . mwalim Abdull. miongoni mwao ni Hassan ambae haelewi chochote kinacho endelea. juu yake. . Asia alimshawishi Halima iliwaende kumuona mwalim Abdull. Halima alikubali ijapo kua ni kwa shingo upande. . walipo fika ilikua wanaruhusiwa kuingia chumbani mmoja mmoja. . ilifika zamu ya Halima kuingia . . dah. . . bora asingali ruhusiwa kuingia kwa sababu hakua na nia njema. . alipofika tu jambo la mwanzo alondosha mashine ya kupumulia usoni mwa mwalimu Abdull. . hapo mwalimu Abdull alianza kutoa puunzi na hakuhimili kupumua. . Halima alipo ona atakata roho aliirudisha na kumuwekea. . baadae akaanza kumtukana. . "wee bwege umeona faida ya kunitaka mimi. . . jee umeona gharama yangu. . ndio nakuambia ukome ukomae kunifata fata mimi. . . mimi sio wa mchezo mchezo. . utakufa bwege weyeeee . . . kuwa makini na mimi vyengine ni maji marefu havipiti visamaki vidogo vidogo kama wee. . . mbwa mkubwa wee. . na bahati yako hukufa lakini ni onyo hilo. . kwa heri nakutakia mapunziko mema. . . Halima alimalizia kumtukana na kumsimanga mwalimu Abdull. . Halafu huyo akatoka. . . wakati wote huo mwalimu Abdull hakua na lakusema. . kwani alikua mahtuti hajijui hajitambui. . . Mwalimu bi Aisha ilifika jioni saa kumi na mbili kama hajashtuka. . . mlinzi wa shule wa zamu alifika na kwa siku hiyo ilikua ni mgeni kabisaaaa. . na alikua ni mtumiaji unga. mlinzi alianza kukagua darasa moja baada ya jingine mwisho alifika darasa alilokua bi Aisha. . mlinzi yule alipatwa na mshangao. . . aliwaza huyu ni nani mbona kalala darasani . . . alifikiri ni mwanafunzi kwani sura na umbo lake mwalimu bi Aisha alionekana mtoto mdogo yaani mwari. . . na hasa kwa kua hajaolewa ndio zaidi. . . mlinzi alifiki nini chakufanya mwisho alipata wazo la kumbaka. . ali chomoa panga lake na kuligonga katika dawati ambalo mwalimu bi Aisha kalala. . mwalimu bi Aisha alistushwa na mshindo ule wa panga hivyo alistuka haraka. . . Tulia hivyo hivyo ukipiga kelele nakukata kwa panga . . hunijui skujui. . Dah maskini Mwalimu bi Aisha . . . ilibidi atii amri kwa ajili ya kuokoa roho yake. . . Naomba ufate maelekezo yangu. . . sawa. . alitoa amri mlizi. ok sawa usinipige. . . . Bi Aisha alianza ku…..Whtspp – +255 758 018 597
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji