Naitwa
Meshack, mtoto wa pekee katika familia ya mzee kelvin, sikubahatika kulelewa na
wazazi wangu wote kwa sababu mama yangu mzazi alifariki kipindi tu anajifungua
mimba yangu, hivyo nikalelewa na ndugu na wadada wa kazi ambao baba aliwaleta
nyumbani. Nilibahatika kukua salama mpaka nikaanza kujielewa, sasa wakati
nimekua kijana mzima, baba aliniita na kuniambia kwamba, "mwanangu tangu
mama yako afariki sijawai kabisa kuishi na mwanamke ndani, na niliogopa maana
nilikuwa nakuona wewe bado mdogo, hivyo nikahisi huenda mama yako wa kambo
angeweza kukutesa, na nilitamani sana ukisha kua mkubwa hivi, ndipo nitafute
mwanamke ili nimuoe na tuishi nae hapa nyumbani" sikuwa na kipingamizi
chochote, maana tayari baba alikuwa kaisha amua, kweli baba alioa na tukaanza
kuishi vizuri tu pale nyumbani, baada ya kama miaka miwili mimi nikiwa na kazi
yangu, siku moja nilikuja nyumbani nimechoka sana hivyo nikaingia ndani kwangu,
nikawasha taa ili nijiande kwenda kuoga niweze kula kisha nipumzike, kusudi
kesho niendelee na majukumu mengine. Niliingia bafuni nikaoga, wakati narudi
chumbani kwangu nilishangaa sana kuona taa imezimwa, nilihisi labda umeme
umekatika hivyo nikaanza kuisogelea swichi kusudi niwashe tena, mara ghafla
nikiwa gizani, nilishangaa kuona nakumbatiwa mgongoni na mikono lainii, huku
ikie…….
Nini kitaendelea, kutana na mwanamke anayeingia katika mapenzi na mwanae… ni kisa kirefu, tafadhali usikose
Whatsapp +255 758 018 597
Nini kitaendelea, kutana na mwanamke anayeingia katika mapenzi na mwanae… ni kisa kirefu, tafadhali usikose
Whatsapp +255 758 018 597
0 Comments
Karibu sana, tuma ujumbe whatsapp +255 758 018 597 kujipatia simulizi zetu
Emoji